< 1 Nyakati 1 >
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenán, Mahalalél, Jered,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henoh, Matuzalem, Lameh,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noe, Sem, Ham in Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Jafetovi sinovi: Gomer, Magóg, Madáj, Javán, Tubál, Mešeh in Tirás.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Gomerjevi sinovi: Aškenáz, Rifát in Togarmá.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Javánovi sinovi: Elišá, Taršíš, Kitéjec in Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Hamovi sinovi: Kuš, Micrájim, Put in Kánaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Kuševi sinovi: Sebá, Havilá, Sabtá, Ramá in Sabtehá. Ramájeva sinova: Šebá in Dedán.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Kuš je zaplodil Nimróda. Ta je začel postajati mogočen na zemlji.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Micrájim je zaplodil Ludima, Anamima, Lehabima, Nafthima,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Patrusima, Kasluhima (iz katerega so izvirali Filistejci) in Kaftoréjca.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Kánaan je zaplodil svojega prvorojenca Sidóna in Heta,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
tudi Jebusejca, Amoréjca, Girgašéjca,
Hivéjca, Arkéjca, Sinéjca,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
Arvádejca, Cemaréjca in Hamatéjca.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Semovi sinovi: Elám, Asúr, Arpahšád, Lud, Arám, Uc, Hul, Geter in Mešeh.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arpahšád je zaplodil Šelá in Šelá je zaplodil Eberja.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Eberju sta bila rojena dva sinova. Ime prvega je bilo Peleg, ker je bila v njegovih dneh zemlja razdeljena. Ime njegovega brata je bilo Joktán.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joktán je zaplodil Almodáda, Šelefa, Hacarmáveta, Jeraha,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
tudi Hadoráma, Uzála, Diklá,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebála, Abimaéla, Šebája,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ofírja, Havilá in Jobába. Vsi ti so bili Joktánovi sinovi.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arpahšád, Šelá,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram; isti je Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Abrahamovi sinovi: Izak in Izmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
To so njihovi rodovi: Izmaelov prvorojenec Nebajót, potem Kedár, Adbeél, Mibsám,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mišmá, Dumá, Masá, Hadád, Temá,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetúr, Nafíš in Kedma. To so Izmaelovi sinovi.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Torej sinovi Abrahamove priležnice Ketúre: rodila je Zimrána, Jokšána, Medána, Midjána, Jišbáka in Šuaha. Jokšánova sinova sta: Šebá in Dedán.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Midjánovi sinovi: Efá, Efer, Henoh, Abidá in Eldaá. Vsi ti so Ketúrini sinovi.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham je zaplodil Izaka. Izakova sinova: Ezav in Izrael.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Ezavovi sinovi: Elifáz, Reguél, Jeúš, Jalám in Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Elifázovi sinovi: Temán, Omár, Cefi, Gatám, Kenáz, Timná in Amálek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Reguélovi sinovi: Nahat, Zerah, Šamá in Mizá.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Seírjevi sinovi: Lotán, Šobál, Cibón, Aná, Dišón, Ecer in Dišán.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Lotánovi sinovi: Horí, Homám; in Timna je bila Lotánova sestra.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Šobálovi sinovi: Alián, Manáhat, Ebál, Šefí, in Onám. Cibónovi sinovi: Ajá in Aná.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Anájevi sinovi: Dišón. Dišónovi sinovi: Amrám, Ešbán, Jitrán in Kerán.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Ecerjevi sinovi: Bilhán, Zaaván in Jakan. Dišánovi sinovi: Uc in Arán.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Torej ti so kralji, ki so kraljevali v edomski deželi, preden je katerikoli kralj kraljeval nad Izraelovi otroci: Beórjev sin Bela; in ime njegovega mesta je bilo Dinhába.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Ko je bil Bela mrtev, je namesto njega zakraljeval Jobáb, Zerahov sin iz Bocre.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Ko je bil Jobáb mrtev, je namesto njega zakraljeval Hušám, iz dežele Temáncev.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Ko je bil Hušám mrtev, je namesto njega zakraljeval Hadád, Bedádov sin, ki je na moábskem polju udaril Midján, in ime tega mesta je bilo Avít.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Ko je bil Hadád mrtev, je namesto njega zakraljeval Samlá iz Masréke.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Ko je bil Samlá mrtev, je namesto njega zakraljeval Šaúl iz Rehobóta pri reki.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Ko je bil Šaúl mrtev, je namesto njega zakraljeval Ahbórjev sin Báal Hanán.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Ko je bil Báal Hanán mrtev, je namesto njega zakraljeval Hadád, in ime njegovega mesta je bilo Pagú; in ime njegove žene je bilo Mehetabéla, hči Me Zahábove hčere Matréde.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Tudi Hadád je umrl. Edómski vojvode so bili: vojvoda Timná, vojvoda Aliá, vojvoda Jetét,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
vojvoda Oholibáma, vojvoda Elá, vojvoda Pinón,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
vojvoda Kenáz, vojvoda Temán, vojvoda Mibcár,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
vojvoda Magdiél in vojvoda Irám. To so edómski vojvode.