< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adamo, Set, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Maalaleèl, Iared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch, Matusalemme, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noè, Sem, Cam e Iafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Figli di Iafet: Gomer, Magòg, Media, Grecia, Tubal, Mesech e Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Figli di Gomer: Ascanàz, Rifat e Togarmà.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Figli di Grecia: Elisà, Tarsìs, quelli di Cipro e quelli di Rodi.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Figli di Cam: Etiopia, Egitto, Put e Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Figli di Etiopia: Seba, Avila, Sabta, Raemà e Sabtecà. Figli di Raemà: Saba e Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Etiopia generò Nimròd, che fu il primo eroe sulla terra.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Egitto generò i Ludi, gli Anamiti, i Leabiti, i Naftuchiti,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
i Patrositi, i Casluchiti e i Caftoriti, dai quali derivarono i Filistei.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Canaan generò Sidòne suo primogenito, Chet,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
il Gebuseo, l'Amorreo, il Gergeseo,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
l'Eveo, l'Archita, il Sineo,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
l'Arvadeo, lo Zemareo e l'Amateo.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Figli di Sem: Elam, Assur, Arpacsàd, Lud e Aram. Figli di Aram: Uz, Cul, Gheter e Mesech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arpacsàd generò Selàch; Selàch generò Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
A Eber nacquero due figli, uno si chiamava Peleg, perché ai suoi tempi si divise la terra, e suo fratello si chiamava Ioktàn.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Ioktàn generò Almodàd, Salef, Cazarmàvet, Ièrach,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Adoràm, Uzàl, Diklà,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebàl, Abimaèl, Saba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ofir, Avila e Iobàb; tutti costoro erano figli di Ioktàn.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arpacsàd, Selàch,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nacor, Terach,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, cioè Abramo.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Figli di Abramo: Isacco e Ismaele.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Ecco la loro discendenza: Primogenito di Ismaele fu Nebaiòt; altri suoi figli: Kedàr, Adbeèl, Mibsàm,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mismà, Duma, Massa, Cadàd, Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Ietur, Nafis e Kedma; questi furono discendenti di Ismaele.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Figli di Keturà, concubina di Abramo: essa partorì Zimràn, Ioksàn, Medan, Madian, Isbak e Suach. Figli di Ioksàn: Saba e Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Figli di Madian: Efa, Efer, Enoch, Abibà ed Eldaà; tutti questi furono discendenti di Keturà.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abramo generò Isacco. Figli di Isacco: Esaù e Israele.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Figli di Esaù: Elifàz, Reuèl, Ieus, Ialam e Core.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Figli di Elifàz: Teman, Omar, Zefi, Gatam, Kenaz, Timna e Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Figli di Reuèl: Nacat, Zerach, Sammà e Mizza.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Figli di Seir: Lotàn, Sobàl, Zibeòn, Ana, Dison, Eser e Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Figli di Lotàn: Corì e Omàm. Sorella di Lotàn: Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Figli di Sobàl: Alvan, Manàcat, Ebal, Sefi e Onam. Figli di Zibeòn: Aia e Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Figli di Ana: Dison. Figli di Dison: Camràn, Esban, Itràn e Cheràn.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Figli di Eser: Bilàn, Zaavàn, Iaakàn. Figli di Dison: Uz e Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Ecco i re che regnarono nel paese di Edom, prima che gli Israeliti avessero un re: Bela, figlio di Beòr; la sua città si chiamava Dinàba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Morto Bela, divenne re al suo posto Iobàb, figlio di Zerach di Bozra.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Morto Iobàb, divenne re al suo posto Cusàm della regione dei Temaniti.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Morto Cusàm, divenne re al suo posto Hadàd figlio di Bedàd, il quale sconfisse i Madianiti nei campi di Moab; la sua città si chiamava Avit.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Morto Hadàd, divenne re al suo posto Samlà di Masrekà.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Morto Samlà, divenne re al suo posto Saul di Recobòt, sul fiume.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Morto Saul, divenne re al suo posto Baal-Canàn, figlio di Acbòr.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Morto Baal-Canàn, divenne re al suo posto Hadàd; la sua città si chiamava Pai; sua moglie si chiamava Mechetabèl, figlia di Matred, figlia di Mezaàb.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Morto Hadàd, in Edom ci furono capi: il capo di Timna, il capo di Alva, il capo di Ietet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
il capo di Oolibamà, il capo di Ela, il capo di Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
il capo di Kenaz, il capo di Teman, il capo di Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
il capo di Magdièl, il capo di Iram. Questi furono i capi di Edom.

< 1 Nyakati 1 >