< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
आदम, शेत, एनोश,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
केनान, माहालालेल, यारेद,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
हनोख, मेथुसेलाह, लामेख, नोआ.
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
नोआ के पुत्र: शेम, हाम और याफेत.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
याफेत के पुत्र: गोमर, मागोग, मेदिया, यावन, तूबल, मेशेख तथा तिरास थे.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
गोमर के पुत्र: अश्केनाज, रिफात तथा तोगरमाह थे.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
यावन के पुत्र: एलिशाह, तरशीश, कित्तिम तथा दोदानिम थे.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
हाम के पुत्र: कूश, मिस्र, पूट तथा कनान हुए.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
कूश के पुत्र: सेबा, हाविलाह, सबताह, रामाह और सबतेका. रामाह के पुत्र: शीबा और देदान.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
कूश उस निमरोद का पिता था जो पृथ्वी पर पहले वीर व्यक्ति के रूप में मशहूर हुआ.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
मिस्र के पुत्र: लूदिम, अनामिम, लेहाबिम, नाफतुहि,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
पथरूस, कस्लूह और काफ़तोर (जिनसे फिलिस्तीनी राष्ट्र निकले).
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
कनान का पहला पुत्र सीदोन फिर हित्ती,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
यबूसी, अमोरी, गिर्गाशी,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
हिव्वी, आरकी, सीनी,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
अरवादी, ज़ेमारी और हामाथी.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
शेम के पुत्र: एलाम, अशहूर, अरफाक्साद, लूद तथा अराम थे. अराम के पुत्र: उज़, हूल, गेथर तथा मेशेख थे.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
अरफाक्साद शेलाह का पिता था, शेलाह एबर का.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
एबर के दो पुत्र हुए: एक का नाम पेलेग, क्योंकि उनके समय में पृथ्वी का बंटवारा हुआ. उनके भाई का नाम योकतान था.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
योकतान के पुत्र: अलमोदाद, शेलेफ, हासारमेबेथ, जेराह,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
हादरोम, उजाल, दिखलाह,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
ओबाल, अबीमाएल, शीबा,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
ओफीर, हाविलाह और योबाब. ये सभी योकतान के पुत्र थे.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
शेम, अरफाक्साद, शेलाह,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
एबर, पेलेग, रेउ,
26 Serugi, Nahori, Tera,
सेरुग, नाहोर, तेराह,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
अब्राम (अर्थात् अब्राहाम).
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
अब्राहाम के पुत्र थे: यित्सहाक और इशमाएल.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
उनकी वंशावली इस प्रकार है: इशमाएल का पहलौठा था: नेबाइयोथ और दूसरे पुत्र थे, केदार, अदबील, मिबसाम,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
मिशमा, दूमाह, मास्सा, हदद, तेमा,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
येतुर, नाफिश और केदेमाह. ये इशमाएल के पुत्र थे.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
केतुराह जो अब्राहाम की रखैल थी, उसके पुत्र थे: ज़िमरान, योकशान, मेदान, मिदियान, इशबक और शुआह. योकशान के पुत्र थे, शीबा और देदान.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
मिदियान के पुत्र: एफाह, एफ़र, हनोख, अविदा तथा एलदाह थे. ये सब केतुराह से पैदा हुए थे.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
अब्राहाम यित्सहाक के पिता थे. यित्सहाक के पुत्र थे: एसाव और इस्राएल.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
एसाव के पुत्र थे: एलिफाज़, रियुएल, योउश, यालम और कोराह.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
एलिफाज़ के पुत्र थे: तेमान, ओमर, ज़ेफो, गाताम, केनाज़; तिम्ना और अमालेक.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
रियुएल के पुत्र थे: नाहाथ, ज़ेराह, शम्माह और मिज्जाह.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
सेईर के पुत्र थे: लोतन, शोबल, ज़िबेओन, अनाह, दिशोन, एज़र और दिशान.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
लोतन के पुत्र: होरी और होमाम. लोतन की बहन का नाम तिम्ना था.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
शोबल के पुत्र थे: अलवान, मानाहाथ, एबल, शेफो और ओनम. ज़िबेओन के पुत्र: अइयाह और अनाह.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
अनाह का पुत्र था दिशोन. दिशोन के पुत्र: हेमदान, एशबान, इथरान और चेरन.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
एज़र के पुत्र: बिलहान, त्सावन और आकन. दिशान के पुत्र: उज़ और अरान.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
इसके पहले कि इस्राएल पर किसी राजा का शासन होता, एदोम देश पर राज्य करनेवाले राजा ये थे: बेओर का पुत्र बेला, उसके द्वारा शासित नगर का नाम था दिनहाबाह.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
बेला के मरने के बाद, उसके स्थान पर बोज़राहवासी ज़ेराह का पुत्र योबाब राजा बना.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
योबाब के मरने के बाद, उसके स्थान पर तेमानियों के देश का व्यक्ति हुशम राजा बना.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
हुशम के मरने के बाद, उसके स्थान पर बेदद का पुत्र हदद राजा बना. उसने मोआब देश में मिदियानी सेना को हरा दिया. उसके द्वारा शासित नगर का नाम था आविथ.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
हदद के मरने के बाद, उसके स्थान पर मसरेकाह का सामलाह राजा बना.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
सामलाह के मरने के बाद, फरात नदी पर बसे रेहोबोथ का निवासी शाऊल उनके स्थान पर राजा बना.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
शाऊल के मरने के बाद, उसके स्थान पर अखबोर का पुत्र बाल-हनन राजा बना.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
बाल-हनन मरने के बाद, उसके स्थान पर हदद राजा बना. उस नगर का नाम पाऊ था तथा उसकी पत्नी का नाम मेहेताबेल था. वह मातरेद की पुत्री थी और मातरेद मेत्साहब की पुत्री थी.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
तब हदद की भी मृत्यु हो गई. एदोम देश के नायकों के नाम ये है: नायक तिम्ना, अलवाह, यथेथ,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
ओहोलिबामाह, एलाह, पिनोन,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
केनाज़, तेमान, मिबज़ार,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
मगदिएल, इराम. ये सभी एदोम देश के प्रधान हुए.

< 1 Nyakati 1 >