< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henoch, Methusalah, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Sem, Ham und Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Die Söhne Japheths waren: Gomer, Magog, Madai, Jawan, Thubal, Mesech und Thiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Und die Söhne Gomers: Askenas, Diphath und Thogarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Und die Söhne Jawans: Elisa, Tharsis, die Kitthiter und die Rodaniter.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Die Söhne Hams waren: Kusch und Mizraim, Put und Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Und die Söhne Kuschs: Seba, Hawila, Sabtha, Ragma und Sabthecha; und die Söhne Ragmas: Seba und Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Kusch war der Vater Nimrods; dieser war der erste Gewaltherrscher auf der Erde.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Und Mizraim war der Stammvater der Luditer, der Anamiter, der Lehabiter, der Naphthuhiter,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
der Pathrusiter, der Kasluhiter – von denen die Philister ausgegangen sind – und der Kaphthoriter.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Kanaan aber hatte zu Söhnen: Sidon, seinen Erstgeborenen, und den Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
ferner die Jebusiter, Amoriter, Girgasiter,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
Hewiter, Arkiter, Siniter,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
Arwaditer, Zemariter und Hamathiter.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Die Söhne Sems waren: Elam, Assur, Arpachsad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether und Mesech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arpachsad aber war der Vater Selahs, und Selah war der Vater Ebers.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Und dem Eber wurden zwei Söhne geboren: der eine hieß Peleg, weil zu seiner Zeit die Bevölkerung der Erde sich teilte, und sein Bruder hieß Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Und Joktan hatte zu Söhnen: Almodad, Seleph, Hazarmaweth, Jerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Seba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ophir, Hawila und Jobab; diese alle waren Söhne Joktans.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arpachsad, Selah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Regu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Therah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, das ist Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Die Söhne Abrahams waren: Isaak und Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Dies ist ihr Stammbaum: der Erstgeborene Ismaels Nebajoth; sodann Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma, Duma, Massa, Hadad, Thema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphis und Kedma; das sind die Söhne Ismaels.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Und die Söhne der Ketura, der Nebenfrau Abrahams: sie gebar Simran, Joksan, Medan, Midian, Jisbak und Suah. Und die Söhne Joksans waren: Seba und Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Und die Söhne Midians: Epha, Epher, Hanoch, Abida und Eldaa. Diese alle waren Söhne oder Enkel der Ketura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham aber war der Vater Isaaks; die Söhne Isaaks waren: Esau und Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Die Söhne Esaus waren: Eliphas, Reguel, Jegus, Jaglam und Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Die Söhne des Eliphas waren: Theman, Omar, Zephi, Gaetham, Kenas, Thimna und Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Die Söhne Reguels waren: Nahath, Serah, Samma und Missa. –
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Und die Söhne Seirs: Lotan, Sobal, Zibeon, Ana, Dison, Ezer und Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Und die Söhne Lotans: Hori und Homam; und die Schwester Lotans war Thimna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Die Söhne Sobals waren: Aljan, Manahath, Ebal, Sephi und Onam; und die Söhne Zibeons: Ajja und Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Die Söhne Anas waren: Dison; und die Söhne Disons: Hamran, Esban, Jithran und Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Die Söhne Ezers waren: Bilhan, Saawan und Jaakan. Die Söhne Disans waren: Uz und Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Und dies sind die Könige, die im Lande Edom geherrscht haben, ehe ein König über die Israeliten herrschte: Bela, der Sohn Beors; seine Stadt hieß Dinhaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Nach dem Tode Belas wurde Jobab, der Sohn Serahs, aus Bozra, König an seiner Statt.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Nach dem Tode Jobabs wurde Husam aus dem Lande der Themaniter König an seiner Statt.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Nach dem Tode Husams wurde Hadad, der Sohn Bedads, König an seiner Statt, derselbe, der die Midianiter auf der Hochebene der Moabiter schlug; seine Stadt hieß Awith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Nach dem Tode Hadads wurde Samla aus Masreka König an seiner Statt.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Nach dem Tode Samlas wurde Saul aus Rehoboth am Euphratstrom König an seiner Statt.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Nach dem Tode Sauls wurde Baal-Hanan, der Sohn Achbors, König an seiner Statt.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Nach dem Tode Baal-Hanans wurde Hadad König an seiner Statt: seine Stadt hieß Pagi, und seine Frau hieß Mehetabeel, eine Tochter Matreds, eine Enkelin Mesahabs. –
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Nach dem Tode Hadads waren die Häuptlinge der Edomiter: der Häuptling Thimna, der Häuptling Alja, der Häuptling Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
der Häuptling Oholibama, der Häuptling Ela, der Häuptling Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
der Häuptling Kenas, der Häuptling Theman, der Häuptling Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
der Häuptling Magdiel, der Häuptling Iram. Dies sind die Häuptlinge der Edomiter.

< 1 Nyakati 1 >