< 1 Nyakati 1 >
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan Mahalalel Jared.
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch Methuselah Lamech.
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah Shem Ham and Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
[the] sons of Japheth Gomer and Magog and Madai and Javan and Tubal and Meshech and Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
And [the] sons of Gomer Ashkenaz and Diphath and Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
And [the] sons of Javan [were] Elishah and Tarshish Kittim and Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
[the] sons of Ham Cush and Mizraim Put and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
And [the] sons of Cush Seba and Havilah and Sabta and Raamah and Sabteca and [the] sons of Raamah Sheba and Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
And Cush he fathered Nimrod he he began to be a mighty [man] on the earth.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
And Mizraim he fathered ([the] Ludites *Q(K)*) and [the] Anamites and [the] Lehabites and [the] Naphtuhites.
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
And [the] Pathrusites and [the] Casluhites whom they came forth from there [the] Philistines and [the] Caphtorites.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
And Canaan he fathered Sidon firstborn his and Heth.
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
And the Jebusite[s] and the Amorite[s] and the Girgashite[s].
And the Hivite[s] and the Arkite[s] and the Sinite[s].
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
And the Arvadite[s] and the Zemarite[s] and the Hamathite[s].
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
[the] sons of Shem Elam and Asshur and Arphaxad and Lud and Aram and Uz and Hul and Gether and Meshech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
And Arphaxad he fathered Shelah and Shelah he fathered Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
And to Eber it was born two sons [the] name of one [was] Peleg for in days his it was divided the earth and [the] name of brother his [was] Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
And Joktan he fathered Almodad and Sheleph and Hazarmaveth and Jerah.
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
And Hadoram and Uzal and Diklah.
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
And Ebal and Abimael and Sheba.
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
And Ophir and Havilah and Jobab all these [were] [the] sons of Joktan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Shem - Arphaxad Shelah.
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram he [is] Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
[the] sons of Abraham Isaac and Ishmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
These [were] generations their [the] firstborn of Ishmael Nebaioth and Kedar and Adbeel and Mibsam.
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma and Dumah Massa Hadad and Tema.
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur Naphish and Kedemah these they [were] [the] sons of Ishmael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
And [the] sons of Keturah [the] concubine of Abraham she bore Zimran and Jokshan and Medan and Midian and Ishbak and Shuah and [the] sons of Jokshan Sheba and Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
And [the] sons of Midian Ephah and Epher and Hanoch and Abida and Eldaah all these [were] [the] sons of Keturah.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
And he fathered Abraham Isaac. [the] sons of Isaac Esau and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
[the] sons of Esau Eliphaz Reuel and Jeush and Jalam and Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
[the] sons of Eliphaz Teman and Omar Zephi and Gatam Kenaz and Timna and Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
[the] sons of Reuel Nahath Zerah Shammah and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
And [the] sons of Seir Lotan and Shobal and Zibeon and Anah and Dishon and Ezer and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
And [the] sons of Lotan Hori and Homam and [was] [the] sister of Lotan Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
[the] sons of Shobal Alyan and Manahath and Ebal Shephi and Onam. And [the] sons of Zibeon Aiah and Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
[the] sons of Anah Dishon. And [the] sons of Dishon Hamran and Eshban and Ithran and Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
[the] sons of Ezer Bilhan and Zaavan Jaakan [the] sons of Dishon Uz and Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
And these [were] the kings who they reigned in [the] land of Edom before reigned a king of [the] people of Israel Bela [the] son of Beor and [the] name of city his [was] Dinhabah.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
And he died Bela and he reigned in place of him Jobab [the] son of Zerah from Bozrah.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
And he died Jobab and he reigned in place of him Husham from [the] land of the Temanite[s].
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
And he died Husham and he reigned in place of him Hadad [the] son of Bedad who struck down Midian in [the] region of Moab and [the] name of city his ([was] Avith. *Q(K)*)
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
And he died Hadad and he reigned in place of him Samlah from Masrekah.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
And he died Samlah and he reigned in place of him Shaul from Rehoboth the river.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
And he died Shaul and he reigned in place of him Baal-Hanan [the] son of Achbor.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
And he died Baal-Hanan and he reigned in place of him Hadad and [the] name of city his [was] Pai and [the] name of wife his [was] Mehetabel [the] daughter of Matred [the] daughter of Me-Zahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
And he died Hadad. And they were [the] chiefs of Edom chief Timna chief (Alvah *Q(K)*) chief Jetheth.
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Chief Oholibamah chief Elah chief Pinon.
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Chief Kenaz chief Teman chief Mibzar.
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Chief Magdiel chief Iram these [were] [the] chiefs of Edom.