< 1 Nyakati 1 >
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Iered,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henoch, Methushelah, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, She, Ham, and Iapheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
The sonnes of Iapheth were Gomer, and Magog, and Madai, and Iauan, and Tubal, and Meshech, and Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
And the sonnes of Gomer, Ashchenaz, and Iphath and Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Also the sonnes of Iauan, Elishah and Tarshishah, Kittim, and Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
The sonnes of Ham were Cush, and Mizraim, Put and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
And the sonnes of Cush, Siba and Hauilah, and Sabta, and Raamah, and Sabtecha. Also the sonnes of Raamah were Sheba and Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
And Cush begate Nimrod, who began to be mightie in the earth.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
And Mizraim begate Ludim and Anamim, Lehabim, and Naphtuhim:
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Pathrusim also, and Casluhim, of whome came the Philistims, and Caphtorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Also Canaan begate Zidon his first borne, and Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
And the Iebusite, and the Amorite, and the Girgashite,
And the Hiuuite, and the Arkite, and the Simite,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
And the Aruadite, and the Zemarite, and the Hamathite.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
The sonnes of Shem were Elam and Asshur, and Arpachshad, and Lud, and Aram, and Vz, and Hul, and Gether, and Meshech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Also Arpachshad begate Shelah, and Shelah begate Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Vnto Eber also were borne two sonnes: the name of the one was Peleg: for in his dayes was ye earth deuided: and his brothers name was Ioktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Then Ioktan begate Almodad and Sheleph, and Hazermaueth and Ierah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
And Hadoram and Vzal and Diklah,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
And Ebal, and Abimael, and Sheba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
And Ophir, and Hauilah and Iobab: all these were the sonnes of Ioktan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Shem, Arpachshad, Shelah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, which is Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
The sonnes of Abraham were Izhak, and Ishmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
These are their generations. The eldest sonne of Ishmael was Nebaioth, and Kedar, and Adbeel, and Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Ietur, Naphish and Kedemah: these are the sonnes of Ishmael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
And Keturah Abrahams concubine bare sonnes, Zimran, and Iokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah: and the sonnes of Iokshan, Sheba, and Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
And the sonnes of Midian were Ephah, and Ephar, and Henoch, and Abida, and Eldaah: All these are the sonnes of Keturah.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
And Abraham begate Izhak: the sonnes of Izhak, Esau, and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
The sonnes of Esau were Eliphaz, Reuel, and Ieush, and Iaalam, and Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
The sonnes of Eliphaz, Teman, and Omar, Zephi, and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
The sonnes of Reuel, Nahath, Zerah, Shammah and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
And the sonnes of Seir, Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, and Dishon, and Ezer, and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
And the sonnes of Lotan, Hori, and Homam, and Timna Lotans sister.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
The sonnes of Shobal were Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi, and Onam. And the sonnes of Zibeon, Aiah and Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
The sonne of Anah was Dishon. And the sonnes of Dishon, Amran, and Eshban, and Ithran, and Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
The sonnes of Ezer were Bilhan, and Zaauan, and Iaakan. The sonnes of Dishon were Vz, and Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
And these were the Kings that reigned in the land of Edom, before a King reigned ouer the children of Israel, to wit, Bela the sonne of Beor, and the name of his citie was Dinhabah.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Then Bela died, and Iobab the sonne of Zerah of Bozrah reigned in his stead.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
And whe Iobab was dead, Hussham of the land of the Temanites reigned in his stead.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
And when Hussham was dead, Hadad the sonne of Bedad which smote Midian in the fielde of Moab, reigned in his steade, and the name of his citie was Auith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
So Hadad dyed, and Samlah of Mashrecah reigned in his stead.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
And Samlah dyed, and Shaul of Rehoboth by the riuer reigned in his stead.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
And when Shaul was dead, Baal-hanan the sonne of Achbor reigned in his stead.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
And Baal-hanan dyed, and Hadad reigned in his stead, and the name of his citie was Pai, and his wiues name Mehetabel the daughter of Matred the daughter of Mezahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Hadad dyed also, and there were dukes in Edom, duke Timna, duke Aliah, duke Ietheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Duke Aholibamah, duke Elah, duke Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Duke Kenaz, duke Teman, duke Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Duke Magdiel, duke Iram: these were the dukes of Edom.