< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enosh;
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch, Methuselah, Lamech;
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Shem, Ham, and Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
The sons of Japheth: Gomer and Magog and Madai and Javan and Tubal and Meshech and Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
And the sons of Gomer: Ashkenaz and Diphath and Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
And the sons of Javan: Elishah and Tarshish, Kittim and Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
The sons of Ham: Cush and Egypt, Put and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
And the sons of Cush: Seba and Havilah and Sabta and Raama and Sabteca. And the sons of Raamah: Sheba and Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
And Cush was the father of Nimrod: he was the first to be a great man in the earth.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
And Egypt was the father of the Ludim and the Anamim and the Lehabim and the Naphtuhim
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
And the Pathrusim and the Casluhim and the Caphtorim (from whom came the Philistines).
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
And Canaan was the father of Zidon, his oldest son, and Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
And the Jebusite and the Amorite and the Girgashite,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
And the Hivite and the Arkite and the Sinite,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
And the Arvadite and the Zemarite and the Hamathite.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
The sons of Shem: Elam and Asshur and Arpachshad and Lud and Aram and Uz and Hul and Gether and Meshech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
And Arpachshad was the father of Shelah, and Shelah was the father of Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
And Eber had two sons: the name of the one was Peleg, because in his days a division was made of the earth; and his brother's name was Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
And Joktan was the father of Almodad and Sheleph and Hazarmaveth and Jerah
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
And Hadoram and Uzal and Diklah
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
And Ebal and Abimael and Sheba
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
And Ophir and Havilah and Jobab. All these were the sons of Joktan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Shem, Arpachshad, Shelah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Terah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram (that is Abraham).
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
The sons of Abraham: Isaac and Ishmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
These are their generations: the oldest son of Ishmael, Nebaioth; then Kedar and Adbeel and Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma and Dumah, Massa, Hadad and Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphish, and Kedemah. These are the sons of Ishmael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
And the sons of Keturah, Abraham's servant-wife: she was the mother of Zimran and Jokshan and Medan and Midian and Ishbak and Shuah. And the sons of Jokshan: Sheba and Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
And the sons of Midian: Ephah and Epher and Hanoch and Abida and Eldaah. All these were the sons of Keturah.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
And Abraham was the father of Isaac. The sons of Isaac: Esau and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
The sons of Esau: Eliphaz, Reuel and Jeush and Jalam and Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
The sons of Eliphaz: Teman and Omar, Zephi and Gatam, Kenaz and Timna and Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
And the sons of Seir: Lotan and Shobal and Zibeon and Anah and Dishon and Ezer and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
And the sons of Lotan: Hori and Homam; and Timna was Lotan's sister.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
The sons of Shobal: Alian and Manahath and Ebal, Shephi and Onam. And the sons of Zibeon: Aiah and Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
The sons of Anah: Dishon. And the sons of Dishon: Hamran and Eshban and Ithran and Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
The sons of Ezer: Bilhan and Zaavan, Jaakan. The sons of Dishan: Uz and Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Now these are the kings who were ruling in the land of Edom, before there was any king over Israel: Bela, the son of Beor; his town was named Dinhabah.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
At his death, Jobab, the son of Zerah of Bozrah, became king in his place.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
At the death of Jobab, Husham, from the land of the Temanites, became king in his place.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
And at the death of Husham, Hadad, the son of Bedad, who overcame Midian in the field of Moab, became king; his town was named Avith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
And at the death of Hadad, Samlah of Masrekah became king in his place.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
And at the death of Samlah, Shaul of Rehoboth by the river became king in his place,
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
And at the death of Shaul, Baal-hanan, the son of Achbor, became king in his place.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
And at the death of Baal-hanan, Hadad became king in his place; his town was named Pai, and his wife's name was Mehetabel, the daughter of Matred, the daughter of Me-zahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
And Hadad came to his end. Now the chiefs of Edom were: the chief of Timna, the chief of Aliah, the chief of Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
The chief of Oholibamah, the chief of Elah, the chief of Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
The chief of Kenaz, the chief of Teman, the chief of Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
The chief of Magdiel, the chief of Iram. These are the chiefs of Edom.

< 1 Nyakati 1 >