< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adamu, Seti, Enosi
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoki, Metusela, Lameki, Nowa.
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Ana a Nowa, Semu, Hamu ndi Yafeti.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Ana aamuna a Yafeti anali: Gomeri, Magogi, Madai, Yavani, Tubala, Mesaki ndi Tirasi.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Ana aamuna a Gomeri anali: Asikenazi, Rifati ndi Togarima
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Ana aamuna a Yavani anali: Elisa, Tarisisi, Kitimu ndi Rodanimu.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Ana aamuna a Hamu anali: Kusi, Miziraimu, Puti ndi Kanaani
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Ana aamuna a Kusi anali: Seba, Havila, Sabita, Raama ndi Sabiteka Ana aamuna a Raama anali: Seba ndi Dedani.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Kusi anali abambo a Nimurodi amene anali wankhondo wamphamvu kwambiri pa dziko lapansi.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Igupto ndiye kholo la Aludi, Aanami, Alehabu, Anafutu,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Apaturusi, Akasilu (kumene kunachokera Afilisti) ndi Akafitori.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Kanaani anabereka mwana wake wachisamba Sidoni, ndipo anaberekanso Ahiti,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
Ayebusi, Aamori, Agirigasi
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
Ahivi, Aariki, Asini
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
Aaravadi, Azemari ndi Ahamati.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Ana aamuna a Semu anali: Elamu, Asuri, Aripakisadi, Ludi ndi Aramu. Ana aamuna a Aramu anali: Uzi, Huri, Geteri ndi Mesaki.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Aripakisadi anabereka Sela ndipo Selayo anabereka Eberi:
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Eberi anabereka ana aamuna awiri: wina anamutcha Pelegi, chifukwa pa nthawiyo anthu a pa dziko lapansi anagawikana. Dzina la mʼbale wake linali Yokitani.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Yokitani anabereka Alimodadi, Selefi, Hazari-Maveti, Yera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikila
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obali, Abimaeli, Seba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ofiri, Havila ndi Yobabu. Onsewa anali ana aamuna a Yokitani.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Semu, Aripakisadi, Sela
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serugi, Nahori, Tera
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
ndi Abramu (amene ndi Abrahamu).
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Ana a Abrahamu ndi awa: Isake ndi Ismaeli.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Zidzukulu zake zinali izi: Nebayoti ndiye anali mwana woyamba wa Ismaeli, kenaka Kedara, Adibeeli, Mibisamu,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misima, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Yeturi, Nafisi ndi Kedema. Awa anali ana a Ismaeli.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Ana a Ketura mzikazi wa Abrahamu anali awa: Zimurani, Yokisani, Medani, Midiyani, Isibaki ndi Suwa. Ana a Yokisani ndi awa: Seba ndi Dedani
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Ana aamuna a Midiyani anali, Efai, Eferi, Hanoki, Abida ndi Elida. Onsewa anali zidzukulu za Ketura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abrahamu anabereka Isake. Ana a Isake anali awa: Esau ndi Israeli.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Ana aamuna a Esau anali awa: Elifazi, Reueli, Yeusi, Yolamu ndi Kora.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Ana a Elifazi anali awa: Temani, Omari, Zefo, Gatamu ndi Kenazi: Amene anabereka ndi Timna: Amaleki.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Ana a Reueli anali awa: Nahati, Zera, Sama ndi Miza.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Ana a Seiri anali awa: Lotani, Sobala, Zibeoni, Ana, Disoni, Ezeri ndi Disani.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Ana aamuna a Lotani anali awa: Hori ndi Homamu. Timna anali mlongo wake wa Lotani.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Ana aamuna a Sobala anali awa: Alivani, Manahati, Ebala, Sefo ndi Onamu. Ana aamuna a Zibeoni anali awa: Ayiwa ndi Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Mwana wa Ana anali Disoni. Ana a Disoni anali awa: Hemudani, Esibani, Itirani ndi Kerani
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Ana aamuna a Ezeri anali awa: Bilihani, Zaavani ndi Yaakani. Ana aamuna a Disani anali awa: Uzi ndi Arani.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Awa ndi mafumu amene ankalamulira dziko la Edomu, mfumu iliyonse ya Israeli isanayambe kulamulira kumeneko: Bela mwana wa Beori, mzinda wake ankawutcha Dinihaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Bela atamwalira, Yobabu mwana wa Zera wochokera ku Bozira analowa ufumu mʼmalo mwake.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Yobabu atamwalira, Husamu wochokera ku dziko la Atemani, analowa ufumu mʼmalo mwake.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Husamu atamwalira, Hadadi mwana wa Bedadi, amene anagonjetsa Amidiyani mʼdziko la Mowabu, analowa ufumu mʼmalo mwake. Mzinda wake unkatchedwa Aviti.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Hadadi atamwalira, Samila wochokera ku Masireka analowa ufumu mʼmalo mwake.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Samila atamwalira, Sauli wochokera ku Rehoboti wa ku Mtsinje analowa ufumu mʼmalo mwake.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Sauli atamwalira, Baala-Hanani mwana wa Akibori analowa ufumu mʼmalo mwake.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Pamene Baala-Hanani anamwalira, Hadadi analowa ufumu mʼmalo mwake. Mzinda wake unkatchedwa Pau, ndipo dzina la mkazi wake linali Mehatabeli mwana wa Matiredi, mwana wamkazi wa Me-Zahabu.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Hadadi anamwaliranso. Mafumu a ku Edomu anali: Timna, Aliva, Yeteti,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenazi, Temani, Mibezari,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Magidieli ndi Iramu. Awa anali mafumu a ku Edomu.

< 1 Nyakati 1 >