< Sefania 2 >
1 Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja, enyi taifa lisilo na aibu,
Zberite se skupaj, da, zberite se skupaj, oh narod, ki ni zaželen.
2 kabla ya wakati ulioamriwa haujafika na siku ile inayopeperusha kama makapi, kabla hasira kali ya Bwana haijaja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana haijaja juu yenu.
Preden se rodi odlok, preden dan mine kakor pleve, preden pride nad vas kruta Gospodova jeza, preden pride nad vas dan Gospodove jeze.
3 Mtafuteni Bwana, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi, ninyi ambao hufanya lile analoamuru. Tafuteni haki, tafuteni unyenyekevu; labda mtahifadhiwa siku ya hasira ya Bwana.
Iščite Gospoda, vsi vi krotki na zemlji, ki ste vršili njegovo sodbo, iščite pravičnost, iščite krotkost. Morda bo, da boste skriti na dan Gospodove jeze.
4 Gaza utaachwa na Ashkeloni utaachwa magofu. Wakati wa adhuhuri Ashdodi utaachwa mtupu na Ekroni utangʼolewa.
Kajti Gaza bo zapuščena in Aškelón opustošenje. Ašdód bodo izgnali opoldan in Ekrón bo izkoreninjen.
5 Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari, enyi Wakerethi; neno la Bwana liko dhidi yenu, ee Kanaani, nchi ya Wafilisti. “Mimi nitawaangamiza, na hakuna atakayebaki.”
Gorje prebivalcem morske obale, narodu Keretéjcev! Gospodova beseda je zoper tebe, oh Kánaan, dežela Filistejcev, celo uničil te bom, da tam ne bo nobenega prebivalca.
6 Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi, patakuwa mahali pa wachungaji na mazizi ya kondoo.
Morska obala bodo pašniki in koče za pastirje in staje za trope.
7 Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda, hapo watapata malisho. Wakati wa jioni watajilaza chini katika nyumba za Ashkeloni. Bwana Mungu wao atawatunza, naye atawarudishia wafungwa wao.
Obala bo za preostanek Judove hiše. Pasli se bodo na njej. V aškelónskih hišah bodo zvečer legli, kajti Gospod, njihov Bog, jih bo obiskal in odvrnil njihovo ujetništvo.
8 “Nimeyasikia matukano ya Moabu nazo dhihaka za Waamoni, ambao waliwatukana watu wangu na kutoa vitisho dhidi ya nchi yao.
»Slišal sem grajo Moába in zasramovanja Amónovih otrok, s katerimi so grajali moje ljudstvo in se poveličevali zoper njihovo mejo.
9 Hakika, kama niishivyo,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, “hakika Moabu itakuwa kama Sodoma, Waamoni kama Gomora: mahali pa magugu na mashimo ya chumvi, nchi ya ukiwa milele. Mabaki ya watu wangu watawateka nyara; mabaki ya taifa langu watarithi nchi yao.”
Zato kakor jaz živim, « govori Gospod nad bojevniki, Izraelov Bog: »Zagotovo bo Moáb kakor Sódoma in Amónovi otroci kakor Gomóra, celó gojenje kopriv in solne jame in nenehno opustošenje. Preostanek mojega ljudstva jih bo oplenil in preostanek mojega ljudstva jih bo vzel v last.«
10 Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao, kwa kutukana na kudhihaki watu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote.
To bodo imeli zaradi svojega ponosa, ker so grajali in se poveličevali zoper ljudstvo Gospoda nad bojevniki.
11 Bwana atakuwa wa kuhofisha kwao atakapoangamiza miungu yote ya nchi. Mataifa katika kila pwani yatamwabudu, kila moja katika nchi yake.
Gospod jim bo strašen, kajti izstradal bo vse bogove zemlje in ljudje ga bodo oboževali, vsak iz svojega kraja, celó vsi otoki poganov.
12 “Ninyi pia, ee Wakushi, mtauawa kwa upanga wangu.”
»Tudi vi Etiopijci boste umorjeni z mojim mečem.«
13 Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini na kuangamiza Waashuru, akiiacha Ninawi ukiwa na pakame kama jangwa.
Svojo roko bo iztegnil zoper sever in uničil Asirijo in Ninive bo naredil opustošenje in suho kakor divjina.
14 Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale, viumbe vya kila aina. Bundi wa jangwani na bundi waliao kwa sauti nyembamba wataishi juu ya nguzo zake. Mwangwi wa kuita kwao utapita madirishani, kifusi kitakuwa milangoni, boriti za mierezi zitaachwa wazi.
Tropi se bodo ulegli v njegovi sredi, vse živali narodov, tako kormoran kot bobnarica bosta prenočevala v njegovih zgornjih prekladah. Njihov glas bo prepeval na oknih, opustošenje bo na pragih, kajti odkril bo cedrovo oblogo.
15 Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha wakijisikia salama. Ulisema moyoni mwako, “Mimi ndimi, na wala hapana mwingine ila mimi.” Jinsi gani umekuwa gofu, mahali pa kulala wanyama pori! Wote wanaopita kando yake wanauzomea na kutikisa mkono kwa dharau.
To je veseleče se mesto, ki je brezskrbno prebivalo, ki je v svojem srcu govorilo: ›Jaz sem in poleg mene ni nikogar.‹ Kako je postalo opustošenje, kraj za živali, da se uležejo v njem! Vsak, kdor gre mimo njega, ga bo izžvižgal in zamahnil s svojo roko.«