< Sefania 2 >

1 Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja, enyi taifa lisilo na aibu,
Ohledejte sebe, ohledejte, pravím, ó národe nemilý,
2 kabla ya wakati ulioamriwa haujafika na siku ile inayopeperusha kama makapi, kabla hasira kali ya Bwana haijaja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana haijaja juu yenu.
Prvé než uložení přijde, a den jako plevy pomine, prvé než přijde na vás prchlivost hněvu Hospodinova, prvé než přijde na vás den hněvu Hospodinova.
3 Mtafuteni Bwana, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi, ninyi ambao hufanya lile analoamuru. Tafuteni haki, tafuteni unyenyekevu; labda mtahifadhiwa siku ya hasira ya Bwana.
Hledejte Hospodina všickni tiší země, kteříž soud jeho činíte; hledejte spravedlnosti, hledejte tichosti. Snad se ukryjete v den hněvu Hospodinova.
4 Gaza utaachwa na Ashkeloni utaachwa magofu. Wakati wa adhuhuri Ashdodi utaachwa mtupu na Ekroni utangʼolewa.
Nebo Gáza bude opuštěno, a Aškalon zpustne; Azot o polednách zaženou, a Akaron vykořeněn bude.
5 Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari, enyi Wakerethi; neno la Bwana liko dhidi yenu, ee Kanaani, nchi ya Wafilisti. “Mimi nitawaangamiza, na hakuna atakayebaki.”
Běda těm, kteříž bydlí v krajině pomořské, národu Ceretejských. Slovo Hospodinovo proti vám jest, ó země Kananejská Filistinských, že tě tak zahladím, aby nebylo žádného obyvatele.
6 Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi, patakuwa mahali pa wachungaji na mazizi ya kondoo.
I bude krajina pomořská místo ovčinců, jam pastýřských a stájí dobytka.
7 Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda, hapo watapata malisho. Wakati wa jioni watajilaza chini katika nyumba za Ashkeloni. Bwana Mungu wao atawatunza, naye atawarudishia wafungwa wao.
Bude také i ostatku domu Judského krajinou, kdež by pásli. V domích Aškalonu u večer léhati budou, když je navštíví Hospodin Bůh jejich, a přivede zase zajaté jejich.
8 “Nimeyasikia matukano ya Moabu nazo dhihaka za Waamoni, ambao waliwatukana watu wangu na kutoa vitisho dhidi ya nchi yao.
Slyšelť jsem hanění Moábských a utrhání synů Ammonitských, kterýmiž haněli můj lid, a honosili se na pomezí jejich.
9 Hakika, kama niishivyo,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, “hakika Moabu itakuwa kama Sodoma, Waamoni kama Gomora: mahali pa magugu na mashimo ya chumvi, nchi ya ukiwa milele. Mabaki ya watu wangu watawateka nyara; mabaki ya taifa langu watarithi nchi yao.”
Protož živ jsem já, praví Hospodin zástupů, Bůh Izraelský, že Moáb jako Sodoma bude, a synové Ammonitští jako Gomora, místem kopřiv a domem solným a pustinou až na věky. Ostatkové lidu mého rozchvátají je, a pozůstalí z lidu mého dědičně je obdrží.
10 Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao, kwa kutukana na kudhihaki watu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote.
To jim pro pýchu jejich, že zhaněli a zpínali se nad lid Hospodina zástupů.
11 Bwana atakuwa wa kuhofisha kwao atakapoangamiza miungu yote ya nchi. Mataifa katika kila pwani yatamwabudu, kila moja katika nchi yake.
Hrozný jim bude Hospodin; nebo způsobí, aby zhubeněli všickni bohové země. I bude se jemu klaněti každý z místa svého, všickni ostrovové národu.
12 “Ninyi pia, ee Wakushi, mtauawa kwa upanga wangu.”
Také i vy, Mouřenínové, mečem mým zbiti budete.
13 Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini na kuangamiza Waashuru, akiiacha Ninawi ukiwa na pakame kama jangwa.
Nebo vztáhne ruku svou na půlnoci, a zhubí Assyrii, a obrátí Ninive v pustinu, a v suchost jako poušť.
14 Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale, viumbe vya kila aina. Bundi wa jangwani na bundi waliao kwa sauti nyembamba wataishi juu ya nguzo zake. Mwangwi wa kuita kwao utapita madirishani, kifusi kitakuwa milangoni, boriti za mierezi zitaachwa wazi.
I budou u prostřed něho léhati stáda, všecky šelmy národů, pelikán i výr na makovicích jeho nocovati budou; hlas zníti bude na okně, pustina na veřeji, když cedroví jeho obnaží.
15 Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha wakijisikia salama. Ulisema moyoni mwako, “Mimi ndimi, na wala hapana mwingine ila mimi.” Jinsi gani umekuwa gofu, mahali pa kulala wanyama pori! Wote wanaopita kando yake wanauzomea na kutikisa mkono kwa dharau.
Takovéť bude to město plésající, kteréž sedí bezpečně, říkaje v srdci svém: Já jsem, a kromě mne není žádného více. Jakť jest učiněno pusté, peleší šelmám! Kdožkoli půjde skrze ně, ckáti bude a zmítati rukou svou.

< Sefania 2 >