< Sefania 2 >

1 Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja, enyi taifa lisilo na aibu,
Dilia da hame gogosiasu fi! Dilia asigi dawa: su moloma!
2 kabla ya wakati ulioamriwa haujafika na siku ile inayopeperusha kama makapi, kabla hasira kali ya Bwana haijaja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana haijaja juu yenu.
Dilia da gisi a: le fasi defele amo biosa: besa: le, amola Hina Gode Ea gia: i bagade ougi hou dilima doaga: sa: besa: le, dilia asigi dawa: su moloma!
3 Mtafuteni Bwana, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi, ninyi ambao hufanya lile analoamuru. Tafuteni haki, tafuteni unyenyekevu; labda mtahifadhiwa siku ya hasira ya Bwana.
Hina Godema sinidigima! Soge ganodini asaboi dunu amo da Gode Ea hamoma: ne sia: i nabawane hamosa, dilia Hina Godema sinidigima! Moloidafa hamoma amola Hina Gode ba: ma: ne, dilia hou fofonoboma! Amabela? Dilia da amo esoga, Hina Gode da Ea ougi hou ba: ma: ne olelesea, se nabasu hame ba: mu.
4 Gaza utaachwa na Ashkeloni utaachwa magofu. Wakati wa adhuhuri Ashdodi utaachwa mtupu na Ekroni utangʼolewa.
Ga: isa amola A: segelone moilai bai bagade ela ganodini dunu afae esalebe hame ba: mu. Asedode moilai bai bagade dunu da eso afaega esomogoa gadili sefasi dagoi ba: mu. Egelone moilai bai bagade dunu fi da gadili sefasi dagoi ba: mu.
5 Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari, enyi Wakerethi; neno la Bwana liko dhidi yenu, ee Kanaani, nchi ya Wafilisti. “Mimi nitawaangamiza, na hakuna atakayebaki.”
Dilia Filisidini dunu amo da hano wayabo bagade bega: esala! Dilia amola da wadela: lesi dagoi ba: mu. Hina Gode da dilima se nabasu imunusa: ilegei dagoi. E da dili huluane wadela: lesili, dilia dunu afae esalebe hame ba: mu.
6 Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi, patakuwa mahali pa wachungaji na mazizi ya kondoo.
Dilia soge huluane hano wayabo gadenene da dunu hame esalebe, moifufu sogebi fawane ba: mu. Amogawi sibi ouligisu dunu ilia diasu amola sibi gagoi amo fawane dialebe ba: mu.
7 Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda, hapo watapata malisho. Wakati wa jioni watajilaza chini katika nyumba za Ashkeloni. Bwana Mungu wao atawatunza, naye atawarudishia wafungwa wao.
Amola Yuda fi hame bogoi esalebe dunu da misini, dilia soge lale fimu. Ilia sibi amola bulamagau wa: i da amogawi afugisimu. Amola dunu da A: segelone moilai bai bagade diasu ili ganodini golamu. Amola ilia Hina Gode da ili ouligimu, amola ilia da bu hahawane bagade gaguiwane fifi lalumu.
8 “Nimeyasikia matukano ya Moabu nazo dhihaka za Waamoni, ambao waliwatukana watu wangu na kutoa vitisho dhidi ya nchi yao.
Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, “Moua: be amola A: mone fi dunu da Na fi dunu ilima gadele sia: su, amola ilima dafama: ne sia: su amola ilia soge lama: ne hidale nodone sia: su, Na da nabi dagoi.
9 Hakika, kama niishivyo,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, “hakika Moabu itakuwa kama Sodoma, Waamoni kama Gomora: mahali pa magugu na mashimo ya chumvi, nchi ya ukiwa milele. Mabaki ya watu wangu watawateka nyara; mabaki ya taifa langu watarithi nchi yao.”
Na da Isala: ili fi ilia Fifi Ahoanusu Godedafa! Amola Na da dafawanedafa amane ilegele sia: sa. Na da Sodame amola Goumola moilai bai bagade wadela: lesi, amo defele Na da Moua: be amola A: mone wadela: lesimu. Ilia sogega da sali dogosu gelabo bagohame ba: mu amola wadela: lesi dagoiba: le bu hahamomu da hamedei ba: mu. Wadela: i gisi da amo soge dedebomu. Na fi dunu (Isala: ili fi) amo da hame bogoi esalebe, da Moua: be amola A: mone ilia liligi amola ilia soge gegene lamu.”
10 Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao, kwa kutukana na kudhihaki watu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Moua: be amola A: mone fi dunu da gasa fili, Hina Gode Bagadedafa amo Ea fi dunu ilima gadele bagade sia: i. Amaiba: le, ilia da se iasu bagade ba: mu.
11 Bwana atakuwa wa kuhofisha kwao atakapoangamiza miungu yote ya nchi. Mataifa katika kila pwani yatamwabudu, kila moja katika nchi yake.
Hina Gode da ili bagade beda: ma: ne hamomu. E da osobo bagade ogogosu ‘gode’ liligi huluane dafawane wadela: lesimu. Amasea, fifi asi gala dunu huluanedafa da ilia soge afae afae ganodini, Ema nodone sia: ne gadomu.
12 “Ninyi pia, ee Wakushi, mtauawa kwa upanga wangu.”
Amola Hina Gode da Idioubia fi dunu medole legemu.
13 Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini na kuangamiza Waashuru, akiiacha Ninawi ukiwa na pakame kama jangwa.
Hina Gode da Ea gasaga, amo Asilia soge wadela: lesimu. E da Ninefe moilai bai bagade wadela: lesimu. Amo da dunu hame esalebe, mugului dagoi, hano hamedene hafoga: i soge agoane ba: mu.
14 Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale, viumbe vya kila aina. Bundi wa jangwani na bundi waliao kwa sauti nyembamba wataishi juu ya nguzo zake. Mwangwi wa kuita kwao utapita madirishani, kifusi kitakuwa milangoni, boriti za mierezi zitaachwa wazi.
Amasea, amoga da bulamagau, sibi wa: i amola ohe fi hisu hisu ilia fawane esalebe ba: mu. Ea mugulubi amo ganodini da baou esalumu. Ilia da diasu logo holei gelabodili gugumuni imunu. Ninefe moilai bai bagade dobea fei dolo ifa da hiougili fasi dagoi ba: mu.
15 Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha wakijisikia salama. Ulisema moyoni mwako, “Mimi ndimi, na wala hapana mwingine ila mimi.” Jinsi gani umekuwa gofu, mahali pa kulala wanyama pori! Wote wanaopita kando yake wanauzomea na kutikisa mkono kwa dharau.
Ninefe fi dunu ilisu da gasa bagade amola hahawane gaga: i dagoi ilisu dawa: sa. Ilia moilai bai bagade da osobo bagade moilai bai bagade huluane baligi dagoi ilisu dawa: sa. Be ilia moilai bai bagade da wadela: lesi dagoi ba: mu. Ea sogebi da dunu hame esalebe hamedei soge agoane ba: mu, amola amo ganodini sigua ohe fi fawane esalebe ba: mu. Dunu huluane da amo sogebi bobaligisia, fofogadigili hagamu.

< Sefania 2 >