< Zekaria 1 >

1 Katika mwezi wa nane wa mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia, mwana wa Ido, kusema:
Darius vaipoh kumni le lha get channa Iddo themgao chapa Berechiah chapa Zechariah komma Pakai thupeh ahung lhungin hitin aseije.
2 “Bwana aliwakasirikia sana baba zako wa zamani.
Napateu chunga Pakai alung hang lheh jingin ahi.
3 Kwa hiyo waambie watu: Hivi ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemavyo: ‘Nirudieni mimi,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitawarudia ninyi,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Hijeh chun amaho kommah chun thaneipen Pakaiyin hitin ati, achutileh keijong nangho kom a kahung kile kitding ahi tin thaneipen Pakaiyin aseije.
4 Msiwe kama baba zenu, ambao manabii waliotangulia waliwatangazia: Hivi ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemavyo: ‘Geukeni, mziache njia zenu mbaya na matendo yenu maovu.’ Lakini hawakunisikiliza wala kufuata maelekezo yangu, asema Bwana.
Napu napateo bangin chonhih’un, amaho jaha chu themgao hon lhang asap piuve, thaneipen Pakaiyin aseijin ase lamma nachon nauva kon leh thilse na bolnauva kon in hungkile kit’uvintin aseije. Ahivangin amahon angai pouvin khohsah injong anei pouve, tin Pakaiyin aseije.
5 Wako wapi baba zako sasa? Nao manabii, je, wanaishi milele?
Napu napateu chu tuahi hoilamma umma hitauvem? Amaho leh themgao ho chu sotpeha thigamma ahitauve.
6 Je, maneno yangu na amri zangu nilizowaagiza manabii watumishi wangu, hayakuwapata baba zenu?” “Kisha walitubu na kusema, ‘Bwana Mwenye Nguvu Zote ametutenda sawasawa na njia zetu na matendo yetu yalivyostahili, kama alivyokusudia kufanya.’”
Ahinlah epi hijongleh kalhachate themgao komma kana phondoh ho jouse chu napu napateu khanglaijin kaseibang bangin ana guilhung sohtan ahi. Hiche dungjui chun amahon kisih in alungu ana heijun, Eihon thaneipen Pakaija kon in imudiu lom imu tauve, Aman kahin bolding ahi ati dungjuijin ahin tongdoh tan ahi.
7 Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, yaani mwezi uitwao Shebati, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido.
Darius leng chan kumni lhinna shebath lha kehni somni leh ni li channin, themgao Iddo chapa Berachia chapa Zechariah komma Pakai thupeh ahung lhung in ahi.
8 Wakati wa usiku nilipata maono, mbele yangu alikuwepo mtu akiendesha farasi mwekundu! Alikuwa amesimama katikati ya miti ya mihadasi kwenye bonde. Nyuma yake walikuwepo farasi wekundu, wa kikahawia na weupe.
Keiman phaicham khatnah huisum thing laha sakol sankhat anadingin achung a pasal khat ana tou chu jan nin gaovin kanamun ahi. Anunglamma chun sakol asan, abuong chuleh akaang jong ana ummin ahi.
9 Nikauliza, “Hivi ni vitu gani bwana wangu?” Malaika aliyekuwa akizungumza na mimi akanijibu, “Nitakuonyesha kuwa ni nini.”
Keiman kakomma thusei vantil komma chun “ka Pakai hiche sakol hoipenhi ipi vetsah naham katin ahileh vantil chun na hetsah nang’e ati.
10 Kisha yule mtu aliyesimama katikati ya miti ya mihadasi akaeleza, “Ni wale ambao Bwana amewatuma waende duniani kote.”
Hichun huisum thing laha ding mipa hin adonbut in, hicheng pihi Pakaiyin leiset pumpi khol le dinga asohdoh ahiuve ati.
11 Nao wakatoa taarifa kwa yule malaika wa Bwana, aliyekuwa amesimama katikati ya miti ya mihadasi, “Tumepita duniani kote na kukuta ulimwengu wote umepumzika kwa amani.”
Huisum phung laha ding Pakai vantil komma chun sakol chunga tou adangho chun aseijun, “keihon leiset pumpi ka khollun, leiset chunghi lungmong in aum nauve”atiuve.
12 Kisha malaika wa Bwana akasema, “Bwana Mwenye Nguvu Zote, utazuia mpaka lini rehema kutoka Yerusalemu na miji ya Yuda, ambayo umeikasirikia kwa miaka hii sabini?”
Hichehi ajah phatnin Pakai vantil chu hitihin ataove. Vo hatchungnung Pakai kum som sagi sung ahi nangma Jerusalem leh Judah khopiho chunga hung lung hanga nahitam, itih chan gei hi amaho chunga khotona na musah loulai ding ham.
13 Kwa hiyo Bwana akazungumza maneno ya upole na ya kufariji kwa malaika aliyezungumza nami.
Keikoma thusei vantil komma chun Pakaiyin lungmonna thucheng in ana donbut in ahi.
14 Kisha malaika yule aliyekuwa akizungumza nami akasema, “Tangaza neno hili: Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nina wivu sana kwa ajili ya Yerusalemu na Sayuni,
Hitichun kakihoulimpi vantil chun kakomma hitin anasei jin ahi. Hatchungnung Pakai chun hitin aseije. Keiman Jerusalem le Zion phatna dinghi gelkhoh naleh khotona kanei lheh jing in ahi.
15 lakini nimeyakasirikia sana mataifa yanayojisikia kuwa yako salama. Nilikuwa nimewakasirikia Israeli kidogo tu, lakini mataifa hayo yaliwazidishia maafa.’
Keiman tu tua chamna leh lungmonga um namdang ho komma kalung ahang lheh jeng in kamite chunga vang kaha lunghan pon ahi. Namdang hohin aha bolset val tauvin ahi.
16 “Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Nitairudia Yerusalemu kwa rehema na huko nyumba yangu itajengwa tena. Nayo kamba ya kupimia itanyooshwa Yerusalemu,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Hijeh chun Pakaiyin hitin aseiye, keima Jerusalema khotona neijin kahung kile tai. Kahouin kisa phading Chuleh Jerusalem kithah semphat ding ahi. tin hatchungnung Pakaiyin aseiye.
17 “Endelea kutangaza zaidi kwamba: Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Miji yangu itafurika tena ustawi na Bwana atamfariji tena Sayuni na kumchagua Yerusalemu.’”
Hatchungnung Pakijin jong hitin aseiye, Israel khopi ho bulhingset a hung kile dohding chuteng leh Pakai Zion alung monsahding chuleh Jerusalema dinga alahlut ding ahi.
18 Kisha nikatazama juu, na pale mbele yangu nikaona pembe nne!
Hijouchun kadah in kavetleh saki li kamui
19 Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Ni nini hivi?” Akanijibu, “Hizi ni zile pembe zilizowatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu.”
Keima eiki houlimpi vantil kom achun hichehi ipi tina ham tia kadohleh, aman eidonbut in,” hiche saki hohin chitin namtin laha Judah, Israel chuleh Jerusalem ana lhocheh a chu ahiuve.
20 Kisha Bwana akanionyesha mafundi wanne.
Chuin Pakaiyin thihkheng them mili eivetsah e.
21 Nikauliza, “Hawa wanakuja kufanya nini?” Akanijibu, “Hizi ndizo pembe zilizowatawanya Yuda ili asiwepo atakayeweza kuinua kichwa chake, lakini mafundi wamekuja kuzitia hofu na kuzitupa chini hizi pembe za mataifa ambayo yaliinua pembe zao dhidi ya nchi ya Yuda na kuwatawanya watu wake.”
Amaho hi ipi dinga hung hiuvam tia ka doh leh, vantil chun eidonbut in, hiche saki le nam ho hi Judahte muntinna ana thecheh ana sunem ho chu ahiuve. Tun hiche thihkheng them hohin hiche nam hohi kichatsah a sonlhu ding leh sumang dinga hung ahiuve ati.

< Zekaria 1 >