< Zekaria 7 >

1 Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu.
Kral Darius'un krallığının dördüncü yılının dokuzuncu ayı olan Kislev ayının dördüncü günü RAB Zekeriya'ya seslendi.
2 Watu wa Betheli walikuwa wamemtuma Shareza na Regem-Meleki pamoja na watu wao, kumsihi Bwana
Beytel halkı, Her Şeye Egemen RAB'bin Tapınağı'ndaki kâhinlerle peygamberlere, “Yıllardır yaptığımız gibi beşinci ay oruç tutup ağlayalım mı?” diye sormuş ve RAB'be yalvarmaları için Sareser'i, Regem-Melek'i ve adamlarını göndermişti.
3 kwa kuwauliza makuhani wa nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote na manabii, “Je, imempasa kuomboleza na kufunga katika mwezi wa tano, kama ambavyo nimekuwa nikifanya kwa miaka mingi?”
4 Kisha neno la Bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema:
Her Şeye Egemen RAB bana dedi ki,
5 “Waulize watu wote wa nchi na makuhani, ‘Je, mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba kwa miaka sabini iliyopita, mlifunga kweli kwa ajili yangu?
“Bütün ülke halkına ve kâhinlere sor: ‘Yetmiş yıldır beşinci ve yedinci aylarda oruç tutup dövündüğünüzde gerçekten benim için mi oruç tuttunuz?
6 Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu?
Yiyip içerken kendiniz için yiyip içmiyor muydunuz?
7 Je, haya sio maneno ya Bwana aliyosema kupitia manabii waliotangulia, wakati Yerusalemu pamoja na miji inayoizunguka ilipokuwa katika hali ya utulivu na ya mafanikio, wakati Negebu na Shefala zikiwa zimekaliwa na watu?’”
Yeruşalim'le çevresindeki kentler gönenç içinde yaşarken, Negev ve Şefela insanlarla doluyken, RAB'bin önceki peygamberler aracılığıyla açıkladığı sözler bunlar değil mi?’”
8 Neno la Bwana likamjia tena Zekaria:
RAB Zekeriya'ya yine seslendi:
9 “Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni rehema na huruma ninyi kwa ninyi.
“Her Şeye Egemen RAB diyor ki, ‘Gerçek adaletle yargılayın; birbirinize sevgi ve sevecenlik gösterin.
10 Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu ninyi kwa ninyi.’
Dul kadına, öksüze, yabancıya, yoksula baskı yapmayın. Yüreğinizde birbirinize karşı kötülük tasarlamayın.’
11 “Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao.
“Ama atalarımız dinlemek istemediler; inatla sırtlarını çevirdiler, duymamak için kulaklarını tıkadılar.
12 Wakaifanya mioyo yao migumu kama jiwe gumu na hawakuisikiliza sheria au maneno ambayo Bwana Mwenye Nguvu Zote aliyatuma kwa njia ya Roho wake kupitia manabii waliotangulia. Kwa hiyo Bwana Mwenye Nguvu Zote alikasirika sana.
Kutsal Yasa'yı ve Her Şeye Egemen RAB'bin kendi Ruhu'yla gönderdiği, önceki peygamberler aracılığıyla ilettiği sözleri dinlememek için yüreklerini taş gibi sertleştirdiler. Bu yüzden Her Şeye Egemen RAB onlara çok öfkelendi.
13 “‘Wakati nilipoita, hawakusikiliza, kwa hiyo walipoita, sikusikiliza,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
“‘Madem ben çağırınca dinlemediler’ diyor Her Şeye Egemen RAB, ‘Onlar çağırınca, ben de onları dinlemeyeceğim.
14 ‘Niliwatawanya kwa upepo wa kisulisuli miongoni mwa mataifa yote, mahali ambapo walikuwa wageni. Nchi ikaachwa ukiwa nyuma yao kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuingia au kutoka. Hivi ndivyo walivyoifanya ile nchi iliyokuwa imependeza kuwa ukiwa.’”
Onları tanımadıkları ulusların arasına fırtına gibi dağıttım. Geride bıraktıkları ülke öyle ıssız kaldı ki, oraya kimse gidip gelemez oldu. Güzelim ülkeyi viraneye çevirdiler.’”

< Zekaria 7 >