< Zekaria 7 >

1 Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu.
Et en la quatrième année du règne de Darius, le quatrième jour du neuvième mois de chaseleu, la parole du Seigneur vint à Zacharie.
2 Watu wa Betheli walikuwa wamemtuma Shareza na Regem-Meleki pamoja na watu wao, kumsihi Bwana
Sarasar et Arbeséer, le roi et ses hommes, envoyèrent en Béthel pour prier le Seigneur;
3 kwa kuwauliza makuhani wa nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote na manabii, “Je, imempasa kuomboleza na kufunga katika mwezi wa tano, kama ambavyo nimekuwa nikifanya kwa miaka mingi?”
disant aux prêtres du temple du Seigneur tout-puissant et aux prophètes: Les saintes offrandes sont entrées ici le cinquième mois, comme il a déjà été fait en un grand nombre d'années.
4 Kisha neno la Bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema:
Et la parole du Seigneur, Dieu des armées, vint à moi, disant:
5 “Waulize watu wote wa nchi na makuhani, ‘Je, mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba kwa miaka sabini iliyopita, mlifunga kweli kwa ajili yangu?
Parle à tout le peuple de la terre et aux prêtres, et dis-leur: Quand vous avez jeûné et pleuré les cinquième et septième mois de ces soixante-dix années, est-ce pour Moi que vous avez jeûné?
6 Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu?
Et quand vous avez mangé et bu, n'est-ce pas pour vous que vous mangiez et buviez?
7 Je, haya sio maneno ya Bwana aliyosema kupitia manabii waliotangulia, wakati Yerusalemu pamoja na miji inayoizunguka ilipokuwa katika hali ya utulivu na ya mafanikio, wakati Negebu na Shefala zikiwa zimekaliwa na watu?’”
N'est-ce point là ce que vous a dit le Seigneur, par les prophètes d'autrefois, lorsque Jérusalem était habitée et prospérait, ainsi que les villes d'alentour, et que les montagnes et la plaine regorgeaient d'habitants?
8 Neno la Bwana likamjia tena Zekaria:
Et la parole du Seigneur vint à Zacharie, disant:
9 “Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni rehema na huruma ninyi kwa ninyi.
Voici ce que dit le Seigneur, maître de toutes choses: Soyez justes quand vous jugez, et que chacun soit compatissant et miséricordieux envers son frère.
10 Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu ninyi kwa ninyi.’
Gardez-vous d'opprimer la veuve, l'orphelin, l'étranger, le pauvre; et ne conservez point en vos cœurs un mauvais souvenir des méchancetés de vos frères.
11 “Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao.
Et ils ne le voulurent point entendre, et ils lui tournèrent le dos avec mépris, et pour ne point ouïr ils se bouchèrent les oreilles.
12 Wakaifanya mioyo yao migumu kama jiwe gumu na hawakuisikiliza sheria au maneno ambayo Bwana Mwenye Nguvu Zote aliyatuma kwa njia ya Roho wake kupitia manabii waliotangulia. Kwa hiyo Bwana Mwenye Nguvu Zote alikasirika sana.
Et ils se firent des cœurs désobéissants, au point d'être indociles à Ma loi et aux paroles que leur envoyait le Seigneur tout-puissant, par Son Esprit et par les prophètes d'autrefois. Et le Seigneur tout-puissant en eut un grand courroux.
13 “‘Wakati nilipoita, hawakusikiliza, kwa hiyo walipoita, sikusikiliza,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Or voici ce qui arrivera, dit le Seigneur tout-puissant: le Seigneur a parlé et ils n'ont point écouté; de même, quand ils crieront, Je ne les écouterai pas.
14 ‘Niliwatawanya kwa upepo wa kisulisuli miongoni mwa mataifa yote, mahali ambapo walikuwa wageni. Nchi ikaachwa ukiwa nyuma yao kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuingia au kutoka. Hivi ndivyo walivyoifanya ile nchi iliyokuwa imependeza kuwa ukiwa.’”
Et Je les chasserai; et Je les disperserai parmi les nations qu'ils n'ont point connues; et derrière eux la terre sera dénuée d'allants et venants; et ils auront voué à la destruction une terre que J'avais choisie.

< Zekaria 7 >