< Zekaria 7 >
1 Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu.
and to be in/on/with year four to/for Darius [the] king to be word LORD to(wards) Zechariah in/on/with four to/for month [the] ninth in/on/with Chislev
2 Watu wa Betheli walikuwa wamemtuma Shareza na Regem-Meleki pamoja na watu wao, kumsihi Bwana
and to send: depart Bethel Bethel Sharezer Sharezer and Regem-melech Regem-melech and human his to/for to beg [obj] face of LORD
3 kwa kuwauliza makuhani wa nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote na manabii, “Je, imempasa kuomboleza na kufunga katika mwezi wa tano, kama ambavyo nimekuwa nikifanya kwa miaka mingi?”
to/for to say to(wards) [the] priest which to/for house: temple LORD Hosts and to(wards) [the] prophet to/for to say to weep in/on/with month [the] fifth to dedicate like/as as which to make: do this like/as what? year
4 Kisha neno la Bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema:
and to be word LORD Hosts to(wards) me to/for to say
5 “Waulize watu wote wa nchi na makuhani, ‘Je, mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba kwa miaka sabini iliyopita, mlifunga kweli kwa ajili yangu?
to say to(wards) all people [the] land: country/planet and to(wards) [the] priest to/for to say for to fast and to mourn in/on/with fifth and in/on/with seventh and this seventy year to fast to fast me I
6 Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu?
and for to eat and for to drink not you(m. p.) [the] to eat and you(m. p.) [the] to drink
7 Je, haya sio maneno ya Bwana aliyosema kupitia manabii waliotangulia, wakati Yerusalemu pamoja na miji inayoizunguka ilipokuwa katika hali ya utulivu na ya mafanikio, wakati Negebu na Shefala zikiwa zimekaliwa na watu?’”
not [obj] [the] word which to call: call out LORD in/on/with hand: by [the] prophet [the] first: previous in/on/with to be Jerusalem to dwell and at ease and city her around her and [the] Negeb and [the] Shephelah to dwell
8 Neno la Bwana likamjia tena Zekaria:
and to be word LORD to(wards) Zechariah to/for to say
9 “Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni rehema na huruma ninyi kwa ninyi.
thus to say LORD Hosts to/for to say justice: judgement truth: true to judge and kindness and compassion to make: do man: anyone with brother: compatriot his
10 Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu ninyi kwa ninyi.’
and widow and orphan sojourner and afflicted not to oppress and distress: evil man: anyone brother: compatriot his not to devise: devise in/on/with heart your
11 “Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao.
and to refuse to/for to listen and to give: put shoulder to rebel and ear their to honor: dull from to hear: hear
12 Wakaifanya mioyo yao migumu kama jiwe gumu na hawakuisikiliza sheria au maneno ambayo Bwana Mwenye Nguvu Zote aliyatuma kwa njia ya Roho wake kupitia manabii waliotangulia. Kwa hiyo Bwana Mwenye Nguvu Zote alikasirika sana.
and heart their to set: make thorn from to hear: hear [obj] [the] instruction and [obj] [the] word which to send: depart LORD Hosts in/on/with spirit his in/on/with hand: by [the] prophet [the] first: previous and to be wrath great: large from with LORD Hosts
13 “‘Wakati nilipoita, hawakusikiliza, kwa hiyo walipoita, sikusikiliza,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
and to be like/as as which to call: call to and not to hear: hear so to call: call to and not to hear: hear to say LORD Hosts
14 ‘Niliwatawanya kwa upepo wa kisulisuli miongoni mwa mataifa yote, mahali ambapo walikuwa wageni. Nchi ikaachwa ukiwa nyuma yao kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuingia au kutoka. Hivi ndivyo walivyoifanya ile nchi iliyokuwa imependeza kuwa ukiwa.’”
and to rage them upon all [the] nation which not to know them and [the] land: country/planet be desolate: destroyed after them from to pass and from to return: repent and to set: make land: country/planet desire to/for horror: destroyed