< Zekaria 6 >

1 Nikatazama juu tena: nikaona mbele yangu magari manne ya vita yakija kutoka kati ya milima miwili, milima ya shaba!
در یک رؤیای دیگر چهار ارابه دیدم که از میان دو کوه مسی بیرون آمدند.
2 Gari la kwanza lilivutwa na farasi wekundu, la pili lilivutwa na farasi weusi,
ارابهٔ اول به‌وسیلۀ اسبهای سرخ، ارابهٔ دوم به‌وسیلۀ اسبهای سیاه،
3 la tatu lilivutwa na farasi weupe na gari la nne lilivutwa na farasi wa madoadoa ya kijivu, wote wenye nguvu.
ارابهٔ سوم به‌وسیله اسبهای سفید و ارابهٔ چهارم به‌وسیلۀ اسبهای ابلق کشیده می‌شدند.
4 Nikamuuliza malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Hawa ni nani bwana wangu?”
از فرشته پرسیدم: «ای سرورم، اینها چه هستند؟»
5 Malaika akanijibu, “Hizi ni roho nne za mbinguni zisimamazo mbele ya uwepo wa Bwana wa dunia yote, zinatoka kwenda kufanya kazi yake.
جواب داد: «اینها چهار روح آسمانی هستند که در حضور خداوند تمامی زمین می‌ایستند و اینک برای انجام فرمان او به حرکت درآمده‌اند.
6 Gari linalovutwa na farasi weusi linaelekea katika nchi ya kaskazini, la farasi weupe linaelekea magharibi na la farasi wa madoadoa ya kijivu linaelekea kusini.”
اسبهای سیاه به طرف شمال، اسبهای سفید به طرف غرب و اسبهای ابلق به طرف جنوب خواهند رفت.»
7 Wakati hao farasi wenye nguvu walipokuwa wakitoka, walikuwa wakijitahidi kwenda duniani kote. Akasema, “Nenda duniani kote!” Kwa hiyo wakaenda duniani kote.
اسبهای قوی بیتابی می‌کردند که حرکت کنند و در سراسر زمین بگردند. خداوند فرمود: «بروید و گشت خود را آغاز کنید.» پس آنها راه افتادند و تمام زمین را گشتند.
8 Kisha akaniita, “Tazama, wale wanaokwenda kuelekea nchi ya kaskazini wamepumzisha Roho yangu katika nchi ya kaskazini.”
آنگاه خداوند مرا احضار کرد و فرمود: «آنهایی که به سرزمین شمال رفتند، حکم مرا اجرا کرده خشم مرا در آنجا فرو نشاندند.»
9 Neno la Bwana likanijia kusema:
در پیامی دیگر خداوند به من فرمود:
10 “Chukua fedha na dhahabu kutoka kwa watu waliohamishwa, yaani Heldai, Tobia na Yedaya ambao wamefika kutoka Babeli. Siku iyo hiyo nenda nyumbani kwa Yosia mwana wa Sefania.
«حلدای، طوبیا و یدعیا از طرف یهودیان تبعید شده در بابِل، هدایایی از طلا و نقره آورده‌اند. هدایا را از آنها بگیر و به خانهٔ یوشیا (پسر صفنیا) برو و با آنها تاجی بساز. سپس تاج را بر سر یهوشع (پسر یهوصادق) کاهن اعظم بگذار.
11 Chukua fedha na dhahabu utengeneze taji, nawe uiweke kichwani mwa kuhani mkuu Yoshua, mwana wa Yehosadaki.
12 Umwambie, hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Huyu ndiye mtu ambaye jina lake ni Tawi, naye atachipua kutoka mahali pake na kujenga Hekalu la Bwana.
به او بگو که خداوند لشکرهای آسمان چنین می‌فرماید:”تو نمونه‌ای هستی از آن مردی که «شاخه» نامیده می‌شود. او از جایی که هست جوانه خواهد زد و خانهٔ خداوند را بازسازی خواهد کرد.
13 Ni yeye atakayejenga Hekalu la Bwana, naye atavikwa utukufu na ataketi kumiliki katika kiti cha enzi naye atakuwa kuhani katika kiti chake cha enzi. Hapo patakuwa amani kati ya hao wawili.’
اوست آنکه خانهٔ خداوند را بنا می‌کند و از شکوه پادشاهی برخوردار می‌شود. او در مقام کاهن و پادشاه حکمرانی خواهد کرد، و بین این دو مقام هماهنگی کامل خواهد بود.“
14 Taji itatolewa kwa Heldai, Tobia, Yedaya na Heni mwana wa Sefania kama kumbukumbu ndani ya Hekalu la Bwana.
سپس، این تاج را به عنوان هدیه‌ای از طرف حلدای، طوبیا، یدعیا و یوشیا در خانهٔ خداوند بگذار تا یادگاری باشد.»
15 Wale walio mbali sana watakuja na kusaidia kulijenga Hekalu la Bwana, nanyi mtajua ya kwamba Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma kwenu. Hili litatokea ikiwa mtamtii Bwana Mungu wenu kwa bidii.”
مردمی که در جاهای دور دست زندگی می‌کنند، خواهند آمد و در بازسازی خانهٔ خداوند کمک خواهند کرد؛ آنگاه خواهید دانست که خداوند لشکرهای آسمان مرا نزد شما فرستاده است. این هنگامی اتفاق خواهد افتاد که شما از خداوند، خدای خویش کاملاً اطاعت کنید.

< Zekaria 6 >