< Zekaria 5 >

1 Nikatazama tena: na hapo mbele yangu kulikuwa na kitabu kilichoruka!
بار دیگر به آسمان چشم دوختم و طوماری را در حال پرواز دیدم.
2 Akaniuliza, “Unaona nini?” Nikamjibu, “Naona kitabu kinachoruka chenye, urefu wa dhiraa ishirini na upana wa dhiraa kumi.”
فرشته از من پرسید: «چه می‌بینی؟» جواب دادم: «طوماری می‌بینم به طول ده متر و عرض پنج متر که در حال پرواز است.»
3 Akaniambia, “Hii ni laana inayotoka kwenda juu ya nchi yote, kwa kuwa kufuatana na yale yaliyoandikwa katika upande mmoja, kila mwizi atafukuziwa mbali, pia kufuatana na yaliyo upande wa pili, kila aapaye kwa uongo atafukuziwa mbali.
گفت: «این طومار لعنتهای خدا را در بردارد و آنها را به سراسر جهان می‌برد. نوشتهٔ روی آن نشان می‌دهد که تمام دزدان و دروغگویان محکوم به مرگ هستند.»
4 Bwana Mwenye Nguvu Zote asema, ‘Nitaituma hiyo laana, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi na nyumba ya huyo aapaye kwa uongo kwa Jina langu. Itabaki katika nyumba yake na kuiharibu, pamoja na mbao zake na mawe yake.’”
خداوند لشکرهای آسمان می‌فرماید که این لعنتها را به خانهٔ کسانی که دزدی می‌کنند و آنهایی که به نام او قسم دروغ می‌خورند، می‌فرستد تا بر خانه‌هایشان قرار بگیرد و آنها را به کلی نابود کند.
5 Kisha yule malaika aliyekuwa akizungumza nami akanijia na kuniambia, “Tazama juu uone ni nini kile kinachojitokeza.”
فرشته بار دیگر ظاهر شد و گفت: «بالا را نگاه کن. چیز دیگری در حال پرواز است.»
6 Nikamuuliza, “Ni kitu gani?” Akanijibu, “Ni kikapu cha kupimia.” Kisha akaongeza kusema, “Huu ni uovu wa watu katika nchi nzima.”
پرسیدم: «آن چیست؟» جواب داد: «یک بشکهٔ بزرگ است. این بشکه پر است از گناهانی که سراسر زمین را فرا گرفته‌اند.»
7 Kisha kifuniko kilichotengenezwa kwa madini ya risasi kilichokuwa kimefunika kile kikapu, kiliinuliwa na ndani ya kile kikapu alikuwako mwanamke ameketi!
ناگهان سرپوش سنگین سربی بشکه کنار رفت و من توانستم زنی را که در بشکه نشسته بود ببینم!
8 Akasema, “Huu ni uovu,” tena akamsukumia ndani ya kikapu na kushindilia kifuniko juu ya mdomo wa kikapu.
فرشته گفت: «آن زن نشانهٔ فساد و شرارت است.» آنگاه زن را به داخل بشکه هل داد و دوباره سرپوش سربی را روی آن گذاشت.
9 Kisha nikatazama juu: na pale mbele yangu, walikuwepo wanawake wawili, wakiwa na upepo katika mabawa yao! Walikuwa na mabawa kama ya korongo, nao wakainua kile kikapu na kuruka nacho kati ya mbingu na nchi.
سپس دو زن دیگر دیدم که بالهایی شبیه بالهای لک‌لک داشتند و پرواز می‌کردند. آنها آمده، بشکه را برداشتند و پروازکنان با خود بردند.
10 Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Wanakipeleka wapi hicho kikapu?”
از فرشته پرسیدم: «بشکه را کجا می‌برند؟»
11 Akanijibu, “Wanakipeleka katika nchi ya Babeli na kujenga nyumba kwa ajili yake. Itakapokuwa tayari, kikapu kitawekwa pale mahali pake.”
جواب داد: «آن را به بابِل می‌برند تا جایگاهی برای آن بسازند و بشکه را در آن قرار دهند.»

< Zekaria 5 >