< Zekaria 3 >

1 Kisha akanionyesha Yoshua, kuhani mkuu, akiwa amesimama mbele ya malaika wa Bwana, naye Shetani amesimama upande wake wa kuume ili amshtaki.
And the Lord schewide to me the greet prest Jhesu, stondynge bifore the aungel of the Lord; and Sathan stood on his riythalf, that he schulde be aduersarie to hym.
2 Bwana akamwambia Shetani, “Bwana akukemee Shetani! Bwana, ambaye ameichagua Yerusalemu, akukemee! Je, mtu huyu siyo kijinga kinachowaka kilichonyakuliwa kwenye moto?”
And the Lord seide to Sathan, The Lord blame in thee, Sathan, and the Lord that chees Jerusalem, blame in thee. Whether this is not a deed broond rauyschid fro the fier?
3 Wakati huu, Yoshua alikuwa amevaa nguo chafu alipokuwa amesimama mbele ya malaika.
And Jhesus was clothid with foule clothis, and stood bifor the face of the aungel.
4 Malaika akawaambia wale waliokuwa wamesimama mbele yake, “Mvueni hizo nguo zake chafu.” Kisha akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakuvika mavazi ya kitajiri.”
Which answeride, and seide to hem that stoden bifor hym, and he seide, Do ye awei foule clothis fro him. And he seide to hym, Lo! Y haue don awei fro thee thi wickidnesse, and Y haue clothid thee with chaungynge clothis.
5 Kisha nikasema, “Mvike kilemba kilicho safi kichwani mwake.” Kwa hiyo wakamvika kilemba safi kichwani na kumvika yale mavazi mengine, wakati malaika wa Bwana akiwa amesimama karibu.
And he seide, Putte ye a clene mytre on his heed. And thei puttiden a cleene mytre on his heed, and clothide him with clothis. And the aungel of the Lord stood,
6 Malaika wa Bwana akamwamuru Yoshua:
and the aungel of the Lord witnesside to Jhesu,
7 “Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami nitakupa nafasi miongoni mwa hawa wasimamao hapa.
and seide, The Lord of oostis seith these thingis, If thou schalt go in my weies, and schalt kepe my kepynge, also and thou schalt deme myn hous, and schalt kepe my porchis; and Y schal yyue to thee goeris, of these that now here stonden niy.
8 “‘Sikiliza, ee Yoshua kuhani mkuu, pamoja na wenzako walioketi mbele yako, ambao ni watu walio ishara ya mambo yatakayokuja: Ninakwenda kumleta mtumishi wangu, Tawi.
Here thou, Jhesu, greet preest, thou and thi frendis that dwellen bifore thee, for thei ben men signefiynge thing to comyng. Lo! sotheli Y schal brynge my seruaunt spryngynge up, ether Crist borun.
9 Tazama, jiwe nililoliweka mbele ya Yoshua! Kuna macho saba juu ya jiwe lile moja, nami nitachora maandishi juu yake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitaiondoa dhambi ya nchi hii kwa siku moja.
For lo! the stoon which Y yaf bifor Jhesu, on o stoon ben seuene iyen; and lo! Y schal graue the grauyng therof, seith the Lord of oostis, and Y schal do a wei the wickidnesse of that lond in o dai.
10 “‘Katika siku hiyo kila mmoja wenu atamwalika jirani yake akae chini ya mzabibu wake na mtini wake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”
In that dai, seith the Lord of oostis, a man schal clepe his frend vndur a vyn tre, and vndur a fige tre.

< Zekaria 3 >