< Zekaria 3 >
1 Kisha akanionyesha Yoshua, kuhani mkuu, akiwa amesimama mbele ya malaika wa Bwana, naye Shetani amesimama upande wake wa kuume ili amshtaki.
Vaihma kacue Joshua ni BAWIPA e kalvantami hmalah a kangdue e thoseh, Setan ni a taran teh ahnie aranglah a kangdue e thoseh, kai hah na patue.
2 Bwana akamwambia Shetani, “Bwana akukemee Shetani! Bwana, ambaye ameichagua Yerusalemu, akukemee! Je, mtu huyu siyo kijinga kinachowaka kilichonyakuliwa kwenye moto?”
BAWIPA e kalvantami nihaiyah Oe Setan, BAWIPA ni nang teh na yue lawi seh, Jerusalem khopui ka rawi tangcoung e BAWIPA ni nang hah teh na yue raw naseh. Hete tami teh hmai dawk hoi rayu e thingtu nahoehmaw telah Setan hanlah atipouh.
3 Wakati huu, Yoshua alikuwa amevaa nguo chafu alipokuwa amesimama mbele ya malaika.
Joshua ni kakhin e khohna hah a khohna hoi kalvantami hmalah a kangdue teh,
4 Malaika akawaambia wale waliokuwa wamesimama mbele yake, “Mvueni hizo nguo zake chafu.” Kisha akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakuvika mavazi ya kitajiri.”
Kalvantami ni kakhin khohna hah rading haw telah a hmalah kangdout e alouke taminaw hanlah atipouh. Joshua hanelah nange na yonnae ka thoung sak toe. Kamcu e khohna hoi na pathoup han atipouh.
5 Kisha nikasema, “Mvike kilemba kilicho safi kichwani mwake.” Kwa hiyo wakamvika kilemba safi kichwani na kumvika yale mavazi mengine, wakati malaika wa Bwana akiwa amesimama karibu.
Kai ni hai kathounge lupawk ahnie a lû dawk pawk sak awh, ka tie patetlah kathounge lupawk hah ahnie a lû dawk a pawk sak awh teh khohna hah a khohna sak awh. BAWIPA e kalvantami haiyah ahnimae ateng vah a kangdue.
6 Malaika wa Bwana akamwamuru Yoshua:
BAWIPA e kalvantami ni ransahu BAWIPA e kâpoenae bout a dei teh, Joshua koe kâlawk a poe e teh,
7 “Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami nitakupa nafasi miongoni mwa hawa wasimamao hapa.
Nang ni ka lamthung na dawn teh ka kâlawknaw na tarawi pawiteh kaie ka im lawkceng thainae hoi ka lentoenae im hai na khetyawt han. Na hmalah kangdout e tami tangawn hah lamthung kapâtuekung lah na o nahanlah kai ni na hmoun han.
8 “‘Sikiliza, ee Yoshua kuhani mkuu, pamoja na wenzako walioketi mbele yako, ambao ni watu walio ishara ya mambo yatakayokuja: Ninakwenda kumleta mtumishi wangu, Tawi.
Oe, vaihma kacue Joshua na hmalah kaawm e na huikonaw hoi cungtalah thai awh haw. Nangmouh teh mitnoutnae hoi kâkuen e lah na o awh. Kaie ka san lah kaawm e cakang ka tâco sak han.
9 Tazama, jiwe nililoliweka mbele ya Yoshua! Kuna macho saba juu ya jiwe lile moja, nami nitachora maandishi juu yake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitaiondoa dhambi ya nchi hii kwa siku moja.
Joshua hmalah ka hruek e talung hah khenhaw! Hote talung buet touh teh a mit sari touh padai vaiteh a khet han. Hote talung hai ka hem han. Hnin touh hoiyah hete ram e yon ka takhoe han telah ransahu BAWIPA ni ati.
10 “‘Katika siku hiyo kila mmoja wenu atamwalika jirani yake akae chini ya mzabibu wake na mtini wake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”
Hatnae hnin nah, nangmouh ni na imri buet touh hoi buet touh misurkung rahim, thaibunglung rahim na kâkaw awh han telah ransahu BAWIPA ni ati.