< Zekaria 14 >
1 Siku ya Bwana inakuja ambayo nyara zilizotekwa kwenu zitagawanywa miongoni mwenu.
Redzi, diena nāk Tam Kungam, ka tavs laupījums taps izdalīts tavā vidū.
2 Nitayakusanya mataifa yote huko Yerusalemu kupigana dhidi yake, mji utatekwa, nyumba zitavamiwa na kuporwa na wanawake watanajisiwa. Nusu ya mji watakwenda uhamishoni, lakini watakaobaki hawataondolewa kutoka mjini.
Jo Es sapulcināšu visus pagānus karā pret Jeruzālemi, un pilsēta taps uzņemta un nami postīti un sievas apsmietas. Un puse pilsētas aizies cietumā, bet tie atlikušie ļaudis pilsētā netaps izdeldēti.
3 Kisha Bwana atatoka na kupigana dhidi ya watu wa yale mataifa, kama apiganavyo siku ya vita.
Un Tas Kungs izies un karos pret šiem pagāniem, tā kā tai dienā, kad viņš karo, kaujas dienā.
4 Siku hiyo miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mizeituni, mashariki mwa Yerusalemu, nao Mlima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili kuanzia mashariki hadi magharibi, ukifanya bonde kubwa, nusu ya mlima ukisogea kuelekea kaskazini na nusu kuelekea kusini.
Un Viņa kājas tai dienā stāvēs uz Eļļas kalna, kas Jeruzālemes priekšā pret rītiem, un Eļļas kalns šķelsies divējos gabalos pret rīta un vakara pusi, tā ka tur būs ļoti liela ieleja, un viena kalna puse atkāpsies pret ziemeli, un otra pret dienvidu.
5 Nanyi mtakimbia kupitia katika bonde hilo la mlima wangu kwa kuwa litaenea hadi Aseli. Mtakimbia kama mlivyokimbia tetemeko la ardhi katika siku za Uzia mfalme wa Yuda. Kisha Bwana Mungu wangu atakuja na watakatifu wote pamoja naye.
Tad jūs bēgsiet Manu kalnu ielejā, (jo šī kalnu ieleja sniegsies līdz Ācelei) un jūs bēgsiet, kā jūs bēgāt no zemes trīcēšanas Uzijas, Jūda ķēniņa, dienās. Tad nāks Tas Kungs, mans Dievs, un visi svētie līdz ar Tevi.
6 Siku hiyo hakutakuwepo nuru, baridi wala theluji.
Un tai dienā nebūs gaismas, spīdekļi izzudīs.
7 Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na mchana wala usiku, siku ijulikanayo na Bwana. Jioni inapofika nuru itakuwepo.
Bet tā būs savāda diena, kas Tam Kungam zināma; tur nebūs nedz dienas, nedz nakts. Un notiks, ap vakara laiku būs gaisma.
8 Siku hiyo, maji yaliyo hai yatatiririka kutoka Yerusalemu, nusu kwenda kwenye bahari ya mashariki, na nusu kwenda kwenye bahari ya magharibi wakati wa kiangazi na wakati wa masika.
Un notiks tai dienā, dzīvs ūdens iztecēs no Jeruzālemes, viena puse pret rīta jūru un otra puse pret vakara jūru, un tas būs vasarā un ziemā.
9 Bwana atakuwa mfalme juu ya dunia yote. Katika siku hiyo atakuwepo Bwana mmoja na jina lake litakuwa jina pekee.
Un Tas Kungs būs ķēniņš pār visu zemi. Tai dienā Tas Kungs būs viens vienīgs, un Viņa vārds viens vienīgs.
10 Nchi yote kuanzia Geba, kaskazini mwa Yuda, hadi Rimoni, kusini mwa Yerusalemu, itakuwa kama Araba. Lakini Yerusalemu utainuliwa juu na kubaki mahali pake, toka Lango la Benyamini hadi mahali pa Lango la Kwanza, mpaka kwenye Lango la Pembeni na kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye mashinikizo ya divai ya mfalme.
Visa šī zeme taps darīta par klajumu, no Ģibejas līdz Rimonai, pret dienasvidu no Jeruzālemes. Un tā taps paaugstināta un dzīvos savā vietā, no Benjamina vārtiem līdz veco vārtu vietai, līdz Stūru vārtiem, no Kananeēļa torņa līdz ķēniņa vīna spaidam.
11 Utakaliwa na watu, kamwe hautaharibiwa tena, Yerusalemu utakaa salama.
Un tur dzīvos, un lāsta vairs nebūs, un Jeruzāleme dzīvos drošībā.
12 Hii ndiyo tauni ambayo Bwana atapiga nayo mataifa yote ambayo yalipigana dhidi ya Yerusalemu: Nyama ya miili yao itaoza wangali wamesimama kwa miguu yao, macho yao yataoza kwenye matundu yake na ndimi zao zitaoza vinywani mwao.
Un šī būs tā mocība, ar ko Tas Kungs mocīs visus ļaudis, kas pret Jeruzālemi karojuši: miesa satrūdēs viņiem uz kājām stāvot un viņu acis satrūdēs savos dobumos un viņu mēle satrūdēs viņu mutē.
13 Katika siku hiyo Bwana atawatia wanaume hofu kuu. Kila mwanaume atakamata mkono wa mwenzake nao watashambuliana.
Un notiks tai dienā, ka viņu starpā būs liela sajukšana no Tā Kunga, tā ka viens satvers otra roku, un cits pret citu pacels savu roku.
14 Yuda pia atapigana katika Yerusalemu. Utajiri wa mataifa yote yanayoizunguka Yerusalemu utakusanywa, wingi wa dhahabu, fedha na nguo.
Un Jūda karos Jeruzālemē, tā kā visapkārt savāks visu pagānu mantu, zeltu un sudrabu un drēbes lielā pulkā.
15 Tauni ya aina iyo hiyo itapiga farasi na nyumbu, ngamia na punda, nao wanyama wote walioko kwenye kambi za adui.
Tāda pat mocība būs zirgiem, zirgēzeļiem, kamieļiem un ēzeļiem un visiem lopiem, kas būs lēģeros, tā kā šī mocība.
16 Kisha walionusurika katika mataifa yote ambayo yaliushambulia Yerusalemu watakuwa wakipanda Yerusalemu kila mwaka kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote na kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
Un notiks, ka visi atlikušie no visām tautām, kas cēlušās pret Jeruzālemi, nāks ik gadus, pielūgt to ķēniņu, To Kungu Cebaot, un turēt lieveņu svētkus.
17 Ikiwa taifa lolote la dunia hawatakwenda Yerusalemu kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote, mvua haitanyesha kwao.
Un notiks, ja kāda no zemes ciltīm nenāks uz Jeruzālemi, pielūgt Ķēniņu, To Kungu Cebaot, tad lietus pār tiem nelīs.
18 Ikiwa watu wa Misri nao hawatakwenda kushiriki, hawatapata mvua. Bwana ataleta juu yao tauni ile ambayo itawapiga mataifa yale ambayo hayatakwenda kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
Un kad Ēģiptes cilts nenāks, tad lietus arī nelīs pār viņiem, un tā mocība būs pār tiem, ar ko Tas Kungs tautas mocīs, kas nenāks svētīt lieveņu svētkus.
19 Hii itakuwa adhabu ya Misri na adhabu ya mataifa yote yale ambayo hayatakwenda Yerusalemu kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
Šis Ēģiptei būs par grēku un visām tautām par grēku, kas nenāks svētīt lieveņu svētkus.
20 Katika siku hiyo, kengele zilizofungwa kwenye farasi zitaandikwa maneno haya: Takatifu kwa Bwana, navyo vyungu vya kupikia katika nyumba ya Bwana vitakuwa kama bakuli takatifu mbele ya madhabahu.
Tai dienā stāvēs uz zirgu zvārguļiem: svēts Tam Kungam, un tie podi Tā Kunga namā būs kā upuru kausi altāra priekšā.
21 Kila chungu kilichoko Yerusalemu na Yuda kitakuwa kitakatifu kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote na wote wanaokuja kutoa dhabihu watachukua baadhi ya vyungu hivyo na kupikia. Katika siku hiyo hatakuwepo tena mfanyabiashara katika nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Jo visi podi Jeruzālemē un Jūdā būs svēti Tam Kungam Cebaot, tā ka visi, kas grib upurēt, nāks un no tiem ņems un tanīs vārīs, un tai dienā Kanaānieša vairs nebūs Tā Kunga Cebaot namā.