< Zekaria 14 >

1 Siku ya Bwana inakuja ambayo nyara zilizotekwa kwenu zitagawanywa miongoni mwenu.
behold day to come (in): come to/for LORD and to divide spoil your in/on/with entrails: among your
2 Nitayakusanya mataifa yote huko Yerusalemu kupigana dhidi yake, mji utatekwa, nyumba zitavamiwa na kuporwa na wanawake watanajisiwa. Nusu ya mji watakwenda uhamishoni, lakini watakaobaki hawataondolewa kutoka mjini.
and to gather [obj] all [the] nation to(wards) Jerusalem to/for battle and to capture [the] city and to plunder [the] house: home and [the] woman (to lie down: have sex *Q(K)*) and to come out: come half [the] city in/on/with captivity and remainder [the] people not to cut: eliminate from [the] city
3 Kisha Bwana atatoka na kupigana dhidi ya watu wa yale mataifa, kama apiganavyo siku ya vita.
and to come out: come LORD and to fight in/on/with nation [the] they(masc.) like/as day (to fight he *L(abh)*) in/on/with day battle
4 Siku hiyo miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mizeituni, mashariki mwa Yerusalemu, nao Mlima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili kuanzia mashariki hadi magharibi, ukifanya bonde kubwa, nusu ya mlima ukisogea kuelekea kaskazini na nusu kuelekea kusini.
and to stand: stand foot his in/on/with day [the] he/she/it upon mountain: mount [the] (Mount of) Olives which upon face: before Jerusalem from front: east and to break up/open mountain: mount [the] (Mount of) Olives from half his east [to] and sea: west [to] valley great: large much and to remove half [the] mountain: mount north [to] and half his south [to]
5 Nanyi mtakimbia kupitia katika bonde hilo la mlima wangu kwa kuwa litaenea hadi Aseli. Mtakimbia kama mlivyokimbia tetemeko la ardhi katika siku za Uzia mfalme wa Yuda. Kisha Bwana Mungu wangu atakuja na watakatifu wote pamoja naye.
and to flee valley mountain: mount my for to touch valley mountain: mount to(wards) Azal and to flee like/as as which to flee from face: before [the] quaking in/on/with day Uzziah king Judah and to come (in): come LORD God my all holy with you
6 Siku hiyo hakutakuwepo nuru, baridi wala theluji.
and to be in/on/with day [the] he/she/it not to be light precious (and thickness *Q(K)*)
7 Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na mchana wala usiku, siku ijulikanayo na Bwana. Jioni inapofika nuru itakuwepo.
and to be day one he/she/it to know to/for LORD not day and not night and to be to/for time evening to be light
8 Siku hiyo, maji yaliyo hai yatatiririka kutoka Yerusalemu, nusu kwenda kwenye bahari ya mashariki, na nusu kwenda kwenye bahari ya magharibi wakati wa kiangazi na wakati wa masika.
and to be in/on/with day [the] he/she/it to come out: issue water alive from Jerusalem half their to(wards) [the] sea [the] eastern and half their to(wards) [the] sea [the] last in/on/with summer and in/on/with autumn to be
9 Bwana atakuwa mfalme juu ya dunia yote. Katika siku hiyo atakuwepo Bwana mmoja na jina lake litakuwa jina pekee.
and to be LORD to/for king upon all [the] land: country/planet in/on/with day [the] he/she/it to be LORD one and name his one
10 Nchi yote kuanzia Geba, kaskazini mwa Yuda, hadi Rimoni, kusini mwa Yerusalemu, itakuwa kama Araba. Lakini Yerusalemu utainuliwa juu na kubaki mahali pake, toka Lango la Benyamini hadi mahali pa Lango la Kwanza, mpaka kwenye Lango la Pembeni na kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye mashinikizo ya divai ya mfalme.
to turn: turn all [the] land: country/planet like/as Arabah from Geba to/for Rimmon south Jerusalem and to rise and to dwell underneath: stand her to/for from gate (Gate of) Benjamin till place gate [the] first: previous till gate [the] Corner and (Hananel) Tower (Tower of) Hananel till wine [the] king
11 Utakaliwa na watu, kamwe hautaharibiwa tena, Yerusalemu utakaa salama.
and to dwell in/on/with her and devoted thing not to be still and to dwell Jerusalem to/for security
12 Hii ndiyo tauni ambayo Bwana atapiga nayo mataifa yote ambayo yalipigana dhidi ya Yerusalemu: Nyama ya miili yao itaoza wangali wamesimama kwa miguu yao, macho yao yataoza kwenye matundu yake na ndimi zao zitaoza vinywani mwao.
and this to be [the] plague which to strike LORD [obj] all [the] people which to serve upon Jerusalem to rot flesh his and he/she/it to stand: stand upon foot his and eye his to rot in/on/with hole their and tongue his to rot in/on/with lip their
13 Katika siku hiyo Bwana atawatia wanaume hofu kuu. Kila mwanaume atakamata mkono wa mwenzake nao watashambuliana.
and to be in/on/with day [the] he/she/it to be tumult LORD many in/on/with them and to strengthen: hold man: anyone hand neighbor his and to ascend: establish hand his upon hand neighbor his
14 Yuda pia atapigana katika Yerusalemu. Utajiri wa mataifa yote yanayoizunguka Yerusalemu utakusanywa, wingi wa dhahabu, fedha na nguo.
and also Judah to fight in/on/with Jerusalem and to gather strength: rich all [the] nation around gold and silver: money and garment to/for abundance much
15 Tauni ya aina iyo hiyo itapiga farasi na nyumbu, ngamia na punda, nao wanyama wote walioko kwenye kambi za adui.
and so to be plague [the] horse [the] mule [the] camel and [the] donkey and all [the] animal which to be in/on/with camp [the] they(masc.) like/as plague [the] this
16 Kisha walionusurika katika mataifa yote ambayo yaliushambulia Yerusalemu watakuwa wakipanda Yerusalemu kila mwaka kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote na kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
and to be all [the] to remain from all [the] nation [the] to come (in): come upon Jerusalem and to ascend: rise from sufficiency year in/on/with year to/for to bow to/for king LORD Hosts and to/for to celebrate [obj] feast [the] booth
17 Ikiwa taifa lolote la dunia hawatakwenda Yerusalemu kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote, mvua haitanyesha kwao.
and to be which not to ascend: rise from with family [the] land: country/planet to(wards) Jerusalem to/for to bow to/for king LORD Hosts and not upon them to be [the] rain
18 Ikiwa watu wa Misri nao hawatakwenda kushiriki, hawatapata mvua. Bwana ataleta juu yao tauni ile ambayo itawapiga mataifa yale ambayo hayatakwenda kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
and if family Egypt not to ascend: rise and not to come (in): come and not upon them to be [the] plague which to strike LORD [obj] [the] nation which not to ascend: rise to/for to celebrate [obj] feast [the] booth
19 Hii itakuwa adhabu ya Misri na adhabu ya mataifa yote yale ambayo hayatakwenda Yerusalemu kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
this to be sin: punishment Egypt and sin: punishment all [the] nation which not to ascend: rise to/for to celebrate [obj] feast [the] booth
20 Katika siku hiyo, kengele zilizofungwa kwenye farasi zitaandikwa maneno haya: Takatifu kwa Bwana, navyo vyungu vya kupikia katika nyumba ya Bwana vitakuwa kama bakuli takatifu mbele ya madhabahu.
in/on/with day [the] he/she/it to be upon bell [the] horse holiness to/for LORD and to be [the] pot in/on/with house: temple LORD like/as bowl to/for face: before [the] altar
21 Kila chungu kilichoko Yerusalemu na Yuda kitakuwa kitakatifu kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote na wote wanaokuja kutoa dhabihu watachukua baadhi ya vyungu hivyo na kupikia. Katika siku hiyo hatakuwepo tena mfanyabiashara katika nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote.
and to be all pot in/on/with Jerusalem and in/on/with Judah holiness to/for LORD Hosts and to come (in): come all [the] to sacrifice and to take: take from them and to boil in/on/with them and not to be merchant still in/on/with house: temple LORD Hosts in/on/with day [the] he/she/it

< Zekaria 14 >