< Zekaria 14 >

1 Siku ya Bwana inakuja ambayo nyara zilizotekwa kwenu zitagawanywa miongoni mwenu.
BOEIPA kah khohnin lo li coeng ke. Te dongah na khui ah na kutbuem a tael pawn ni.
2 Nitayakusanya mataifa yote huko Yerusalemu kupigana dhidi yake, mji utatekwa, nyumba zitavamiwa na kuporwa na wanawake watanajisiwa. Nusu ya mji watakwenda uhamishoni, lakini watakaobaki hawataondolewa kutoka mjini.
Te dongah namtom boeih te caemtloek ham Jerusalem la ka coi ni. Khopuei te a loh vetih im a reth uh ni. Huta te a yalh rhoe a yalh puei uh vetih khopuei rhakthuem vangsawn la a khuen ni. Tedae pilnam kah a coih tah khopuei lamloh khoe mahpawh.
3 Kisha Bwana atatoka na kupigana dhidi ya watu wa yale mataifa, kama apiganavyo siku ya vita.
Te phoeiah BOEIPA te cet vetih namtom te a tloek ni. Te tlam ni caemrhal hnin ah tah a vathoh hnin kah bangla om ni.
4 Siku hiyo miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mizeituni, mashariki mwa Yerusalemu, nao Mlima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili kuanzia mashariki hadi magharibi, ukifanya bonde kubwa, nusu ya mlima ukisogea kuelekea kaskazini na nusu kuelekea kusini.
Te khohnin ah tah khothoeng neh Jerusalem dan kah olive tlang ah a kho neh pai ni. Olive tlang a rhakthuem ah khocuk lamloh khotlak duela rhek ni. Kolrhawk te bahoeng len ni. Tlang rhakthuem te tlangpuei la, a rhakthuem te tuithim la nong ni.
5 Nanyi mtakimbia kupitia katika bonde hilo la mlima wangu kwa kuwa litaenea hadi Aseli. Mtakimbia kama mlivyokimbia tetemeko la ardhi katika siku za Uzia mfalme wa Yuda. Kisha Bwana Mungu wangu atakuja na watakatifu wote pamoja naye.
Azel duela tlang kol a pha ham dongah ka tlang kol la na rhaelrham uh ni. Judah manghai Uzziah tue ah lingluei hmai lamloh na rhaelrham bangla na rhaelrham uh ni. Te vaengah ka Pathen BOEIPA tah hlangcim boeih neh nang taengla halo ni.
6 Siku hiyo hakutakuwepo nuru, baridi wala theluji.
Te khohnin a pha vaengah khosae neh tuikhal dingsuk khaw om sut mahpawh.
7 Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na mchana wala usiku, siku ijulikanayo na Bwana. Jioni inapofika nuru itakuwepo.
Te vaengah khohnin pakhat ni a om eh. Te te BOEIPA loh a ming coeng. Khothaih moenih, khoyin bal moenih. Hlaem tue a pha vaengah khaw vangnah om ni.
8 Siku hiyo, maji yaliyo hai yatatiririka kutoka Yerusalemu, nusu kwenda kwenye bahari ya mashariki, na nusu kwenda kwenye bahari ya magharibi wakati wa kiangazi na wakati wa masika.
Te khohnin a pha vaengah Jerusalem lamloh tui hing long vetih a rhakthuem te khocuk tuitunli la, a rhakthuem te khobawt tuitun la, khohal ah khaw, sikca ah khaw om ni.
9 Bwana atakuwa mfalme juu ya dunia yote. Katika siku hiyo atakuwepo Bwana mmoja na jina lake litakuwa jina pekee.
Te vaengah Yahweh tah diklai pum kah manghai la om ni. Te khohnin ah tah Yahweh pakhat bueng ni a ming a om eh.
10 Nchi yote kuanzia Geba, kaskazini mwa Yuda, hadi Rimoni, kusini mwa Yerusalemu, itakuwa kama Araba. Lakini Yerusalemu utainuliwa juu na kubaki mahali pake, toka Lango la Benyamini hadi mahali pa Lango la Kwanza, mpaka kwenye Lango la Pembeni na kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye mashinikizo ya divai ya mfalme.
Geba lamloh Jerusalem tuithim Rimmon hil, khohmuen boeih he kolken la poeh ni. Tedae Benjamin vongka lamloh lamhma vongka hmuen hil, bangkil vongka neh Hananel rhaltoengim kah manghai va-am hil tah a tai vetih amah hmuen la kho a sak ni.
11 Utakaliwa na watu, kamwe hautaharibiwa tena, Yerusalemu utakaa salama.
A khuikah khosa rhoek khaw yaehtaboeih la om voel pawt vetih Jerusalem khaw ngaikhuek la kho a sak ni.
12 Hii ndiyo tauni ambayo Bwana atapiga nayo mataifa yote ambayo yalipigana dhidi ya Yerusalemu: Nyama ya miili yao itaoza wangali wamesimama kwa miguu yao, macho yao yataoza kwenye matundu yake na ndimi zao zitaoza vinywani mwao.
Te vaengah lucik pai ni. Jerusalem aka muk pilnam boeih te BOEIPA loh a yawk sak ni. A kho dongah a pai pangthuem a saa rhong vetih a mik khaw a khui ah rhong ni. A ka dongah a lai khaw rhong ni.
13 Katika siku hiyo Bwana atawatia wanaume hofu kuu. Kila mwanaume atakamata mkono wa mwenzake nao watashambuliana.
Te khohnin a pha vaengah BOEIPA kah soekloeknah te amih taengah muep pai ni. Hlang loh a hui kah kut a hlaengtang vetih a kut loh a hui kah kut te a cuk thil ni.
14 Yuda pia atapigana katika Yerusalemu. Utajiri wa mataifa yote yanayoizunguka Yerusalemu utakusanywa, wingi wa dhahabu, fedha na nguo.
Judah khaw Jerusalem ah a tloek vetih kaepvai namtom cungkuem kah thadueng te a coi ni. Sui khaw, cak himbai khaw muep cungkuem ni.
15 Tauni ya aina iyo hiyo itapiga farasi na nyumbu, ngamia na punda, nao wanyama wote walioko kwenye kambi za adui.
Marhang, muli-marhang, kalauk neh laak kah lucik om ni. He lucik bang he rhaehhmuen ah aka om rhamsa boeih soah khaw om ni.
16 Kisha walionusurika katika mataifa yote ambayo yaliushambulia Yerusalemu watakuwa wakipanda Yerusalemu kila mwaka kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote na kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
Jerusalem la aka kun namtom cungkuem lamkah aka sueng boeih khaw om vetih kum khat kah kum a toep vaengah caempuei manghai Yahweh bawk ham neh pohlip khotue lam hamla cet uh ni.
17 Ikiwa taifa lolote la dunia hawatakwenda Yerusalemu kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote, mvua haitanyesha kwao.
Diklai koca lamlong tah caempuei manghai BOEIPA te bawk ham Jerusalem la cet pawt khaming. Te vaengah amih hamla khonal om mahpawh.
18 Ikiwa watu wa Misri nao hawatakwenda kushiriki, hawatapata mvua. Bwana ataleta juu yao tauni ile ambayo itawapiga mataifa yale ambayo hayatakwenda kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
Egypt koca tah cet pawt tih mop pawt mai ni. Te vaengah amih soah lucik om het mahpawt a? Te nen ni pohlip khotue lam hamla aka cet pawh namtom te BOEIPA loh a yawk sak.
19 Hii itakuwa adhabu ya Misri na adhabu ya mataifa yote yale ambayo hayatakwenda Yerusalemu kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.
Pohlip khotue lam hamla aka cet pawh Egypt kah tholhnah phu neh namtom boeih kah tholhnah phu la om ni.
20 Katika siku hiyo, kengele zilizofungwa kwenye farasi zitaandikwa maneno haya: Takatifu kwa Bwana, navyo vyungu vya kupikia katika nyumba ya Bwana vitakuwa kama bakuli takatifu mbele ya madhabahu.
Te khohnin ah tah marhang rhaloeng dongah khaw, BOEIPA K AH C IMCAIHNAH om vetih BOEIPA im kah umam khaw hmueihtuk hmai kah baelcak bangla om ni.
21 Kila chungu kilichoko Yerusalemu na Yuda kitakuwa kitakatifu kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote na wote wanaokuja kutoa dhabihu watachukua baadhi ya vyungu hivyo na kupikia. Katika siku hiyo hatakuwepo tena mfanyabiashara katika nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Jerusalem ah khaw, Judah ah khaw umam boeih dongah caempuei BOEIPA kah cimcaihnah om ni. Aka nawn boeih khaw kun uh vetih amamih lamkah a khuen uh te amah ah a thong uh ni. Te khohnin ah tah caempuei BOEIPA im ah Kanaan hnoyoi om voel mahpawh.

< Zekaria 14 >