< Zekaria 13 >
1 “Katika siku hiyo, chemchemi itafunguliwa kwa nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu, kuwatakasa dhambi na unajisi.
in/on/with day [the] he/she/it to be fountain to open to/for house: household David and to/for to dwell Jerusalem to/for sin and to/for impurity
2 “Katika siku hiyo, nitayakatilia mbali majina ya sanamu kutoka nchi, nayo hayatakumbukwa tena,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Nitaondoa manabii wao pamoja na roho ya uchafu katika nchi.
and to be in/on/with day [the] he/she/it utterance LORD Hosts to cut: eliminate [obj] name [the] idol from [the] land: country/planet and not to remember still and also [obj] [the] prophet and [obj] spirit [the] uncleanness to pass from [the] land: country/planet
3 Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.
and to be for to prophesy man: anyone still and to say to(wards) him father his and mother his to beget him not to live for deception to speak: speak in/on/with name LORD and to pierce him father his and mother his to beget him in/on/with to prophesy he
4 “Katika siku hiyo, kila nabii ataaibika kwa maono ya unabii wake. Hatavaa vazi la kinabii la nywele ili apate kudanganya watu.
and to be in/on/with day [the] he/she/it be ashamed [the] prophet man: anyone from vision his in/on/with to prophesy he and not to clothe clothing hair because to deceive
5 Atasema, ‘Mimi sio nabii. Mimi ni mkulima; ardhi imekuwa kazi yangu tangu ujana wangu.’
and to say not prophet I man to serve: labour land: soil I for man to buy me from youth my
6 Ikiwa mtu atamuuliza, ‘Majeraha haya yaliyo mwilini mwako ni ya nini?’ Atajibu, ‘Ni majeraha niliyoyapata katika nyumba ya rafiki zangu.’
and to say to(wards) him what? [the] wound [the] these between hand your and to say which to smite house: home to love: friend me
7 “Amka, ee upanga, dhidi ya mchungaji wangu, dhidi ya mtu aliye karibu nami!” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika, nami nitageuza mkono wangu dhidi ya walio wadogo,
sword to rouse upon to pasture my and upon great man neighbor my utterance LORD Hosts to smite [obj] [the] to pasture and to scatter [the] flock and to return: return hand my upon [the] be little
8 katika nchi yote,” asema Bwana, “theluthi mbili watapigwa na kuangamia; hata hivyo theluthi moja watabaki ndani yake.
and to be in/on/with all [the] land: country/planet utterance LORD lip: one third two in/on/with her to cut: eliminate to die and [the] third to remain in/on/with her
9 Hii theluthi moja nitaileta katika moto; nitawasafisha kama fedha isafishwavyo na kuwajaribu kama dhahabu. Wataliitia Jina langu nami nitawajibu; nitasema, ‘Hawa ni watu wangu,’ nao watasema, ‘Bwana ni Mungu wetu.’”
and to come (in): bring [obj] [the] third in/on/with fire and to refine them like/as to refine [obj] [the] silver: money and to test them like/as to test [obj] [the] gold he/she/it to call: call to in/on/with name my and I to answer [obj] him to say people my he/she/it and he/she/it to say LORD God my