< Zekaria 13 >

1 “Katika siku hiyo, chemchemi itafunguliwa kwa nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu, kuwatakasa dhambi na unajisi.
Paa hin Dag skal en Kilde vælde frem for Davids Hus og Jerusalems Indbyggere mod Synd og Urenhed.
2 “Katika siku hiyo, nitayakatilia mbali majina ya sanamu kutoka nchi, nayo hayatakumbukwa tena,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Nitaondoa manabii wao pamoja na roho ya uchafu katika nchi.
Og paa hin Dag, lyder det fra Hærskarers HERRE, udrydder jeg Afgudernes Navne af Landet, saa de ikke mer skal ihukommes; ogsaa Profeterne og Urenhedens Aand driver jeg ud af Landet.
3 Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.
Naar nogen da atter profeterer, skal hans egne Forældre, hans Fader og Moder, sige til ham: »Du har forbrudt dit Liv, thi du har talt Løgn i HERRENS Navn.« Og hans egne Forældre, hans Fader og Moder, skal gennembore ham, naar han profeterer.
4 “Katika siku hiyo, kila nabii ataaibika kwa maono ya unabii wake. Hatavaa vazi la kinabii la nywele ili apate kudanganya watu.
Paa hin Dag skal hver en Profet skamme sig over sine Syner, naar han profeterer, og han skal ikke klæde sig i laadden Kappe for at føre Folk bag Lyset,
5 Atasema, ‘Mimi sio nabii. Mimi ni mkulima; ardhi imekuwa kazi yangu tangu ujana wangu.’
men sige: »Jeg er ingen Profet; jeg er Bonde og har dyrket Jord fra min Ungdom.«
6 Ikiwa mtu atamuuliza, ‘Majeraha haya yaliyo mwilini mwako ni ya nini?’ Atajibu, ‘Ni majeraha niliyoyapata katika nyumba ya rafiki zangu.’
Og spørger man ham: »Hvad er det for Saar paa dit Bryst?« skal han sige: »Dem fik jeg i mine Boleres Hus.«
7 “Amka, ee upanga, dhidi ya mchungaji wangu, dhidi ya mtu aliye karibu nami!” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika, nami nitageuza mkono wangu dhidi ya walio wadogo,
Frem, Sværd, imod min Hyrde, mod Manden, som staar mig nær, saa lyder det fra Hærskarers HERRE. Hyrden vil jeg slaa, saa Faarehjorden spredes; mod Drengene løfter jeg Haanden.
8 katika nchi yote,” asema Bwana, “theluthi mbili watapigwa na kuangamia; hata hivyo theluthi moja watabaki ndani yake.
Og i hele Landet lyder det fra HERREN, skal to Tredjedele udryddes og udaande, men een Tredjedel skal levnes.
9 Hii theluthi moja nitaileta katika moto; nitawasafisha kama fedha isafishwavyo na kuwajaribu kama dhahabu. Wataliitia Jina langu nami nitawajibu; nitasema, ‘Hawa ni watu wangu,’ nao watasema, ‘Bwana ni Mungu wetu.’”
Og denne Tredjedel fører jeg i Ild og renser den, som man renser Sølv, prøver den, som man prøver Guld. Den skal paakalde mit Navn, og jeg svarer; jeg siger: »Den er mit Folk.« Og den skal sige: »HERREN er min Gud.«

< Zekaria 13 >