< Zekaria 13 >

1 “Katika siku hiyo, chemchemi itafunguliwa kwa nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu, kuwatakasa dhambi na unajisi.
Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, “Amo eso da doaga: sea, hano bubuga: su amoga Da: ibidi egaga fifi misi amola Yelusaleme esalebe dunu ilia wadela: i hou amola ogogole ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu, amo dodofemusa: da doasi dagoi ba: mu.
2 “Katika siku hiyo, nitayakatilia mbali majina ya sanamu kutoka nchi, nayo hayatakumbukwa tena,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Nitaondoa manabii wao pamoja na roho ya uchafu katika nchi.
Amo esoha, Na da ogogole loboga hamoi ‘gode’ ilia dio huluane Isala: ili sogega fadegale fasimu. Amola dunu huluanedafa da amo dio bu hamedafa dawa: mu. Nowa da balofede dunu hi sia: sea, Na da fadegale fasimu. Amola dunu ilia loboga hamoi ogogole ‘gode’ ilima sia: ne gadomusa: hanai asigi dawa: su, Na da fadegale fasimu.
3 Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.
Amasea, dunu afae da hi da balofede hamoma: ne sia: sa, ea amedafa amola edadafa da e medole legema: ne sia: mu. Bai e da Hina Gode Ea sia: amo sia: i dagoi, hi fawane sia: i. Be e da amomane ogogosu sia: fawane sia: i. E da balofede sia: sea, ea adadafa amola amedafa da e sone, medole legemu.
4 “Katika siku hiyo, kila nabii ataaibika kwa maono ya unabii wake. Hatavaa vazi la kinabii la nywele ili apate kudanganya watu.
Amo eso da doaga: sea, balofede dunu da esala ba: sea, gasa fili hame hamomu. E da balofede dunu ea hou agoane hame hamomu. E da eno dunuma ogogoma: ne, balofede dunu eboboi abula hame salimu.
5 Atasema, ‘Mimi sio nabii. Mimi ni mkulima; ardhi imekuwa kazi yangu tangu ujana wangu.’
Be amomane, e da amane sia: mu, ‘Na da balofede dunu hame. Na da ifabi ouligisu dunu. Na da na esalusu huluane amoga ifabi hawa: fawane hamosu.’
6 Ikiwa mtu atamuuliza, ‘Majeraha haya yaliyo mwilini mwako ni ya nini?’ Atajibu, ‘Ni majeraha niliyoyapata katika nyumba ya rafiki zangu.’
Amasea, enoga ema amane adole ba: sea, ‘Amo fa: ginisi dia bidegia gala, ilia bai da adila: ?’ e da bu adole imunu, ‘Na da amo fa: ginisi na sama ea diasua lai.’”
7 “Amka, ee upanga, dhidi ya mchungaji wangu, dhidi ya mtu aliye karibu nami!” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika, nami nitageuza mkono wangu dhidi ya walio wadogo,
Hina Gode da amane sia: sa, “Gegesu gobihei! Nedegima! Na hawa: hamosu Sibi Ouligisu dunu Ema doagala: ma! E fane legema! Amasea, sibi wa: i da afagogoi dagoi ba: mu. Na da Na fi dunuma doagala: mu.
8 katika nchi yote,” asema Bwana, “theluthi mbili watapigwa na kuangamia; hata hivyo theluthi moja watabaki ndani yake.
Amola Isala: ili soge ganodini momogi udiana amo ganodini mogi aduna da bogogia: mu.
9 Hii theluthi moja nitaileta katika moto; nitawasafisha kama fedha isafishwavyo na kuwajaribu kama dhahabu. Wataliitia Jina langu nami nitawajibu; nitasema, ‘Hawa ni watu wangu,’ nao watasema, ‘Bwana ni Mungu wetu.’”
Mogi afae hame bogoi esala, amo Na da silifa da laluga adoba: le noga: i hamosa amo defele, adoba: mu. Amasea, ilia da Nama sia: ne gadomu, amola Na da ilima dabe adole imunu. Na da ilima amane sia: mu, ‘Dilia da Na fidafa dunu.’ Amola ilia da Nama amane sia: mu, ‘Di da ninia Godedafa.’”

< Zekaria 13 >