< Zekaria 12 >
1 Hili ni neno la Bwana kuhusu Israeli. Bwana, yeye azitandaye mbingu, awekaye misingi ya dunia na aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake, asema:
»Breme o Gospodovi besedi za Izrael, « govori Gospod, ki razprostira nebo in polaga temelj zemlji in oblikuje človeškega duha znotraj njega.
2 “Nitakwenda kufanya Yerusalemu kuwa kikombe cha kuyumbisha mataifa yote yanayoizunguka. Yuda utazingirwa kwa vita na Yerusalemu pia.
»Glej, Jeruzalem bom naredil čašo trepetanja vsemu ljudstvu naokoli, ko bodo v obleganju tako zoper Juda in zoper Jeruzalem.
3 Katika siku hiyo, wakati mataifa yote ya dunia yatakapokusanyika dhidi yake, nitaufanya Yerusalemu kuwa jabali lisilosogezwa kwa mataifa yote. Wote watakaojaribu kulisogeza watajiumiza wenyewe.
Na tisti dan bom naredil [prestolnico] Jeruzalem obremenilni kamen za vse ljudstvo. Vsi, ki se bremenijo s tem, bodo razsekani na koščke, čeprav bo vse ljudstvo zemlje zbrano zoper njo.
4 Katika siku hiyo nitampiga kila farasi kwa hofu ya ghafula, naye ampandaye nitampiga kwa uwazimu,” asema Bwana. “Nitalielekeza jicho langu la ulinzi juu ya nyumba ya Yuda, nami nitawapofusha farasi wote wa mataifa.
Na tisti dan, « govori Gospod, »bom vsakega konja udaril z osuplostjo in njegovega jezdeca z norostjo in svoje oči bom odprl nad Judovo hišo in vsakega konja ljudstva bom udaril s slepoto.
5 Kisha viongozi wa Yuda watasema mioyoni mwao, ‘Watu wa Yerusalemu wana nguvu kwa sababu Bwana Mwenye Nguvu Zote ni Mungu wao.’
Voditelji Juda bodo v svojem srcu rekli: ›Prebivalci Jeruzalema bodo moja moč v Gospodu nad bojevniki, njihovem Bogu.‹
6 “Katika siku hiyo nitawafanya viongozi wa Yuda kuwa kama kigae cha moto ndani ya lundo la kuni, kama mwenge uwakao kati ya miganda. Watateketeza kulia na kushoto mataifa yote yanayowazunguka, lakini Yerusalemu utabaki salama mahali pake.
Na tisti dan bom naredil voditelje Juda kakor ognjeno ognjišče med lesom in ognjeno baklo v snopu in použili bodo vse ljudstvo naokoli, na desni roki in na levi in Jeruzalem bo ponovno naseljen na svojem lastnem kraju, celó v Jeruzalemu.
7 “Bwana atayaokoa makao ya Yuda kwanza, ili heshima ya nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu isiwe kubwa zaidi kuliko ile ya Yuda.
Gospod bo tudi najprej rešil Judove šotore, da se slava Davidove hiše in slava prebivalcev Jeruzalema ne bo poveličevala zoper Juda.
8 Katika siku hiyo, Bwana atawakinga wale waishio Yerusalemu, ili kwamba aliye dhaifu kupita wote miongoni mwao awe kama Daudi, nayo nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama Malaika wa Bwana akiwatangulia.
Na tisti dan bo Gospod branil prebivalce Jeruzalema. Kdor bo na tisti dan med njimi slaboten, bo kakor David in Davidova hiša bo kakor Bog, kakor Gospodov angel pred njimi.
9 Katika siku hiyo nitatoka kuangamiza mataifa yote yatakayoshambulia Yerusalemu.
In zgodilo se bo na tisti dan, da si bom prizadeval uničiti vse narode, ki pridejo zoper Jeruzalem.
10 “Nami nitamiminia nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu roho ya neema na maombi. Watanitazama mimi, yule waliyemchoma. Nao watamwombolezea kama mtu anayemwombolezea mwanawe wa pekee na kusikitika kwa uchungu kama anayemsikitikia mzaliwa wake wa kwanza wa kiume.
Na Davidovo hišo in na prebivalce Jeruzalema bom izlil duha milosti in ponižnih prošenj in gledali bodo name, ki so ga prebodli in žalovali bodo za njim, kakor nekdo žaluje za svojim edinim sinom in v grenkobi bodo za njim, kakor nekdo, ki je v grenkobi zaradi svojega prvorojenca.
11 Katika siku hiyo kilio kitakuwa kikubwa Yerusalemu, kama kilio cha Hadad-Rimoni katika tambarare ya Megido.
Na tisti dan bo v Jeruzalemu veliko žalovanje, kakor žalovanje za Hadád Rimónom v dolini Megído.
12 Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yake, nao wake zao peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi na wake zao, ukoo wa nyumba ya Nathani na wake zao,
Dežela bo žalovala, vsaka družina posebej; družina Davidove hiše posebej in njihove žene posebej, družina Natánove hiše posebej in njihove žene posebej,
13 ukoo wa nyumba ya Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake zao,
družina Lévijeve hiše posebej in njihove žene posebej, Šimíjeva družina posebej in njihove žene posebej.
14 na koo zote zilizobaki na wake zao.
Vse družine, ki preostanejo, vsaka družina posebej in njihove žene posebej.«