< Zekaria 10 >

1 Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli; ndiye Bwana atengenezaye mawingu ya tufani. Huwapa watu manyunyu ya mvua, pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.
Просите от Господа дождя во время ранняго и поздняго: Господь сотвори привидения, и дождь зимен даст им, комуждо злак на селе.
2 Sanamu huzungumza udanganyifu, waaguzi huona maono ya uongo; husimulia ndoto ambazo si za kweli, wanatoa faraja batili. Kwa hiyo watu wanatangatanga kama kondoo walioonewa kwa kukosa mchungaji.
Зане провещающии глаголаша труды, и вражбителие видения ложна и сония лжива глаголаху, суетными утешаху: сего ради изсхоша яко овцы, и озлоблени быша, понеже не бе изцеления.
3 “Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji, nami nitawaadhibu viongozi; kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote atalichunga kundi lake, nyumba ya Yuda, naye atawafanya kuwa kama farasi mwenye kiburi akiwa vitani.
На пастырей прогневася ярость Моя, и на агнцы посещу: и посетит Господь Бог Вседержитель стадо Свое, дом Иудин, и учинит я аки коня благолепна Своего во брани.
4 Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni, kutoka kwake vitatoka vigingi vya hema, kutoka kwake utatoka upinde wa vita, kutoka kwake atatoka kila mtawala.
И от него призре, и от него учини, и от него лук в дусе ярости, и от него изыдет всяк изгоняяй в том.
5 Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa wanaokanyaga barabara za matope wakati wa vita. Kwa sababu Bwana yu pamoja nao, watapigana na kuwashinda wapanda farasi.
И будут яко ратницы попирающе брение на путех во брани, и ополчатся, яко Господь с ними, и постыдятся всадницы коннии.
6 “Nitaiimarisha nyumba ya Yuda na kuiokoa nyumba ya Yosefu. Nitawarejesha kwa sababu nina huruma juu yao. Watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwakataa kwa sababu mimi ndimi Bwana Mungu wao, nami nitawajibu.
И укреплю дом Иудов и дом Иосифов спасу, и вселю я, понеже возлюбих я, и будут аки бы не отвратих их: зане Аз Господь Бог их и услышу я.
7 Waefraimu watakuwa kama mashujaa, mioyo yao itafurahi kana kwamba ni kwa divai. Watoto wao wataona na kufurahi, mioyo yao itashangilia katika Bwana.
И будут яко ратницы Ефремовы, и возрадуется сердце их аки от вина: и чада их увидят и возвеселятся, и возрадуется сердце их о Господе.
8 Nitawaashiria na kuwakusanya ndani. Hakika nitawakomboa, nao watakuwa wengi kama walivyokuwa mwanzoni.
Возвещу им и прииму я, зане искуплю их, и умножатся, якоже бяху мнози:
9 Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa, hata hivyo wakiwa katika nchi za mbali watanikumbuka mimi. Wao na watoto wao watanusurika katika hatari nao watarudi.
и всею я в людех, и дальнии помянут Мя, и воспитают чада своя, и обратятся:
10 Nitawarudisha kutoka Misri na kuwakusanya toka Ashuru. Nitawaleta katika nchi ya Gileadi na Lebanoni, na hapo hapatakuwa na nafasi ya kuwatosha.
и возвращу я от земли Египетския и от Ассириан прииму я, и в Галаадит и в Ливан введу я, и не имать остати от них ни един.
11 Watapita katika bahari ya mateso; bahari iliyochafuka itatulizwa na vilindi vyote vya Mto Naili vitakauka. Kiburi cha Ashuru kitashushwa, nayo fimbo ya utawala ya Misri itatoweka.
И пройдут морем узким и поразят в мори волны, и изсякнут вся глубины речныя, и отимется всяко досаждение Ассирийско, и скиптр Египетск отимется.
12 Nitawaimarisha katika Bwana, na katika jina lake watatembea,” asema Bwana.
И укреплю я о Где Бозе их, и о имени Его восхвалятся, глаголет Господь.

< Zekaria 10 >