< Tito 3 >
1 Wakumbushe watu kuwanyenyekea watawala na kuwatii wenye mamlaka, wawe tayari kutenda kila lililo jema.
Przypominaj im, aby zwierzchnościom i władzom byli poddani i posłuszni, gotowi do każdego dobrego uczynku;
2 Wasimnenee mtu yeyote mabaya, wasiwe wagomvi, bali wawe wapole, wakionyesha unyenyekevu kwa watu wote.
Nikomu nie ubliżali, nie byli kłótliwi, [ale] uprzejmi, okazujący wszelką łagodność wobec wszystkich ludzi.
3 Maana sisi wenyewe wakati fulani tulikuwa wajinga, wasiotii, tukiwa watumwa wa tamaa mbaya na anasa za kila aina. Tuliishi katika uovu na wivu, tukichukiwa na kuchukiana sisi kwa sisi.
Niegdyś bowiem i my byliśmy głupi, oporni, błądzący, służący rozmaitym pożądliwościom i rozkoszom, żyjący w złośliwości i zazdrości, znienawidzeni i nienawidzący jedni drugich.
4 Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa,
Lecz gdy się objawiła dobroć i miłość Boga, naszego Zbawiciela, względem ludzi;
5 alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,
Nie z uczynków sprawiedliwości, które my spełniliśmy, ale według swego miłosierdzia zbawił nas przez obmycie odrodzenia i odnowienie Ducha Świętego;
6 ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu,
Którego wylał na nas obficie przez Jezusa Chrystusa, naszego Zbawiciela;
7 ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. (aiōnios )
Abyśmy, usprawiedliwieni jego łaską, stali się dziedzicami zgodnie z nadzieją życia wiecznego. (aiōnios )
8 Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.
Wiarygodne to słowo i chcę, abyś o tym zapewniał, żeby ci, którzy uwierzyli Bogu, zabiegali o celowanie w dobrych uczynkach. Jest to dobre i pożyteczne dla ludzi.
9 Lakini jiepushe na maswali ya kipuzi, mambo ya koo, mabishano na ugomvi kuhusu sheria, kwa sababu hayana faida, tena ni ubatili.
Unikaj zaś głupich dociekań, rodowodów, sporów i kłótni o prawo; są bowiem nieużyteczne i próżne.
10 Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.
Heretyka po pierwszym i drugim upomnieniu unikaj;
11 Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye amejihukumu mwenyewe.
Wiedząc, że taki [człowiek] jest przewrotny i grzeszy, i sam siebie osądza.
12 Mara nitakapomtuma Artema au Tikiko kwako, jitahidi kuja unione huko Nikopoli, kwa sababu nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya baridi.
Gdy poślę do ciebie Artemasa lub Tychika, staraj się przybyć do mnie do Nikopolis, bo tam postanowiłem spędzić zimę.
13 Fanya kila uwezalo uwasafirishe Zena yule mwanasheria na Apolo na uhakikishe kwamba wana kila kitu wanachohitaji katika safari yao.
Zenasa, uczonego w prawie, i Apollosa starannie wypraw, aby im niczego nie brakowało.
14 Watu wetu hawana budi kujifunza kutenda mema, ili waweze kuyakimu mahitaji ya kila siku, wasije wakaishi maisha yasiyokuwa na matunda.
A niech i nasi uczą się przodować w dobrych uczynkach, gdzie tego potrzeba, żeby nie byli bezowocni.
15 Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani. Neema iwe nanyi nyote. Amen.
Pozdrawiają cię wszyscy, którzy są ze mną. Pozdrów tych, którzy nas miłują w wierze. Łaska [niech będzie] z wami wszystkimi. Amen.