< Tito 1 >

1 Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo kwa ajili ya imani ya wateule wa Mungu na kuijua kweli iletayo utauwa:
Pāvils, Dieva kalps un Jēzus Kristus apustulis, pēc Dieva izredzēto ticības un pēc patiesības atzīšanas uz dievbijāšanu,
2 imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, (aiōnios g166)
Mūžīgas dzīvošanas cerībā, ko Dievs, kas nevar melot, no mūžīgiem laikiem ir apsolījis, (aiōnios g166)
3 naye kwa wakati wake aliouweka alilidhihirisha neno lake kwa njia ya mahubiri ambayo mimi nimewekewa amana kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu:
Bet savā laikā Savu vārdu ir darījis zināmu caur to sludināšanu, kas man ir uzticēta pēc Dieva, mūsu Pestītāja, pavēles:
4 Kwa Tito, mwanangu hasa katika imani tunayoshiriki sote: Neema iwe kwako na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Mwokozi wetu.
Titum, savam īstam dēlam pēc tās ticības, kas mums abiem kopā: žēlastība un miers no Dieva, Tā Tēva, un no Tā Kunga Jēzus Kristus, mūsu Pestītāja.
5 Sababu ya mimi kukuacha huko Krete ni ili uweke utaratibu mambo yale yaliyosalia na kuwaweka wazee wa kanisa katika kila mji, kama nilivyokuagiza.
Tādēļ tevi esmu atstājis Krietā, ka tu izdarītu, kas vēl trūka, un pa pilsētām vecajus ieceltu, kā es tev esmu pavēlējis,
6 Mzee wa kanisa asiwe na lawama, awe mume wa mke mmoja, mtu ambaye watoto wake ni waaminio na wala hawashtakiwi kwa ufisadi.
Ja kam ir laba slava, kas ir vienas sievas vīrs, kam ir ticīgi bērni, nedz palaidņi, nedz neklausīgi.
7 Kwa kuwa mwangalizi, kama wakili wa Mungu, imempasa kuwa mtu asiye na lawama, asiwe mwenye majivuno au mwepesi wa hasira, wala mlevi, wala asiwe mtu mwenye tamaa ya mapato yasiyo ya halali.
Jo bīskapam kā Dieva nama turētājam jābūt vīram, kam laba slava, ne iedomīgam, ne dusmīgam, ne dzērājam, ne rējējam, ne negodīgas peļņas dzinējam;
8 Bali awe mkarimu, anayependa mema, mwenye kiasi, mwenye haki, mwadilifu, mnyofu, mtakatifu na mwenye kuitawala nafsi yake.
Kas labprāt mājas vietu dod, labu mīl, kas prātīgs, taisns, svēts, šķīsts,
9 Inampasa alishike kwa uthabiti lile neno la imani kama lilivyofundishwa, kusudi aweze kuwaonya wengine kwa mafundisho manyofu na kuwakanusha wale wanaopingana nayo.
Kas pastāvīgi turas pēc tā uzticamā vārda mācības, ka viņš ir spēcīgs, arī pamācīt caur to veselīgo mācību, un pārmācīt tos, kas pretī runā,
10 Kwa maana wako wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo na maana, hasa wale wa kikundi cha tohara.
Jo ir daudz nebēdnieki, kas niekus runā un viltnieki, visvairāk tie no apgraizīšanas;
11 Hao ni lazima wanyamazishwe, kwa sababu wanaharibu watu wa nyumba nzima wakifundisha mambo yasiyowapasa kufundisha. Wanafanya hivyo kwa ajili ya kujipatia mapato ya udanganyifu.
Tiem vajag muti aizbāzt, jo tie veselus namus pārgroza negodīgas peļņas dēļ mācīdami, kas neklājās.
12 Hata mmojawapo wa manabii wao mwenyewe amesema, “Wakrete ni waongo siku zote, wanyama wabaya, walafi, wavivu.”
Kāds no tiem, viņu pašu pravietis, ir sacījis: Krieti vienmēr melkuļi, nikni zvēri, slinki vēderi.
13 Ushuhuda huu ni kweli. Kwa hiyo, uwakemee kwa ukali wapate kuwa wazima katika imani,
Šī liecība ir patiesīga; tāpēc pārmāci tos stingri, lai tie paliek veseli ticībā
14 ili wasiendelee kuangalia hadithi za Kiyahudi au maagizo ya wale watu wanaoikataa kweli.
Un nedodas uz Jūdu pasakām un uz tādu cilvēku baušļiem, kas nogriežas no patiesības.
15 Kwa wale walio safi, kila kitu ni safi kwao. Lakini kwa wale waliopotoka na wasioamini, hakuna chochote kilicho safi. Kwa kweli nia zao na dhamiri zao zimepotoka.
Visas lietas ir šķīstas šķīstiem; bet apgānītiem un neticīgiem nekas nav šķīsts; bet gan viņu prāts ir apgānīts, gan viņu zināma sirds.
16 Wanadai kumjua Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana. Hao watu ni chukizo, wasiotii, wasiofaa kwa jambo lolote jema.
Tie saka, ka Dievu pazīstot, bet ar darbiem tie Viņu aizliedz, neganti būdami un neklausīgi un pie ikviena laba darba nederīgi.

< Tito 1 >