< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio bora wa Solomoni.
غزل غزلهای سلیمان.
2 Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.
مرا با لبانت ببوس، زیرا عشق تو دلپذیرتر از شراب است.
3 Manukato yako yananukia vizuri, jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa. Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!
تو خوشبو هستی و نامت رایحهٔ عطرهای دل‌انگیز را به خاطر می‌آورد؛ عجیب نیست که دختران شیفتهٔ تو می‌شوند.
4 Nichukue twende nawe, na tufanye haraka! Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake. Marafiki Tunakushangilia na kukufurahia, tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai. Mpendwa Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!
مرا با خود بِبَر، بیا تا از اینجا دور شویم. پادشاه مرا به حجلۀ خود ببرد. دوستان تو مایۀ شادی و سرور ما هستی؛ عشق تو را بیش از شراب می‌ستاییم. محبوبه شایسته است که تو را تحسین کنند.
5 Mimi ni mweusi, lakini napendeza, enyi binti za Yerusalemu, mweusi kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya hema la Solomoni.
ای دختران اورشلیم، من سیاه اما زیبا هستم، همچون چادرهای قیدار و خیمه‌های سلیمان.
6 Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. Wana wa mama yangu walinikasirikia na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu. Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.
به من که سیاه هستم اینچنین خیره مشوید، زیرا آفتاب مرا سوزانیده است. برادرانم بر من خشمگین شده مرا فرستادند تا در زیر آفتاب سوزان از تاکستانها نگاهبانی کنم، و من نتوانستم از تاکستان خود مراقبت نمایم.
7 Niambie, wewe ambaye ninakupenda, unalisha wapi kundi lako la kondoo na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela karibu na makundi ya rafiki zako?
ای محبوب من، به من بگو امروز گله‌ات را کجا می‌چرانی؟ هنگام ظهر گوسفندانت را کجا می‌خوابانی؟ چرا برای یافت تو، در میان گله‌های دوستانت سرگردان شوم؟
8 Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote, fuata nyayo za kondoo, na kulisha wana-mbuzi wako karibu na hema za wachungaji.
ای زیباترین زن دنیا، اگر نمی‌دانی، رد گله‌ها را بگیر و به سوی خیمه‌های چوپانان بیا و در آنجا بزغاله‌هایت را بچران.
9 Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.
ای محبوبهٔ من، تو همچون مادیان ارابهٔ فرعون، زیبا هستی.
10 Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.
گونه‌هایت با گوشواره‌هایت چه زیباست، گردنت با جواهراتش چه دلرباست.
11 Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.
ما برایت گوشواره‌های طلا با آویزه‌های نقره خواهیم ساخت.
12 Wakati mfalme alipokuwa mezani pake, manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.
آنگاه که پادشاه بر سفرۀ خویش نشسته بود، اتاق از رایحۀ عطر من پر شد.
13 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.
محبوب من که در سینه‌هایم آرمیده، رایحه‌ای چون مُر خوشبو دارد.
14 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.
محبوب من مانند شکوفه‌های حنا است که در باغهای عِین جِدی می‌رویند.
15 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Tazama jinsi ulivyo mzuri! Macho yako ni kama ya hua.
تو چه زیبایی، ای محبوبهٔ من! چشمانت به زیبایی و لطافت کبوتران است.
16 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Ee, tazama jinsi unavyopendeza! Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.
ای محبوب من، تو چه جذاب و دوست داشتنی هستی! سبزه‌زارها بستر ما هستند
17 Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.
و درختان سرو و صنوبر بر ما سایه می‌افکنند.

< Wimbo wa Sulemani 1 >