< Wimbo wa Sulemani 1 >
1 Wimbo ulio bora wa Solomoni.
Zailom: Hiche hi Solomon la ho lah’a apipen, adang jouse sanga thupi ahi.
2 Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.
Mounu: Neichop in lang, avel in neichop in, ajeh chu nei deibolna chu lengpitwi sang in jong alhumjoi.
3 Manukato yako yananukia vizuri, jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa. Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!
Gimnamtwi nakinu chu iti namtwija hitam, namin ngei hi agim namtwi kitungdoh tobang ahi. Akidang poi, khangdong nungah jousen hibang loma nahin deiju hi!
4 Nichukue twende nawe, na tufanye haraka! Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake. Marafiki Tunakushangilia na kukufurahia, tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai. Mpendwa Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!
Kei jong neipuijin, hung in; kijam ta hite! Lengpan ajalna pindan’ah ei puilut hen. Zailom: Iti kahin kipapiu hitam, O Lengpa. Na milungset dan hi lengpitwi sang in ka ngaisang jouve. Mounu: Nahin ngaisangnau hi adih tangeiye!
5 Mimi ni mweusi, lakini napendeza, enyi binti za Yerusalemu, mweusi kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya hema la Solomoni.
Keima ka vouso avom vang'in kamelhoi nai, Vo Jerusalem Chanute-Cedar phaiya ponbuh kisongho banga vom, Solomon pondal banga vom chu ka hinai.
6 Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. Wana wa mama yangu walinikasirikia na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu. Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.
Kavouso avom jeh-in, Neihin vehih-uvin-nisan ei kahdup jeh ahibouve. Ka sopi pasal ho ka chung ah alunghang uve, alengpi leiju vekol ding in eino uvin, hijeh chun kei le kei ka kijen joupoi; keima lengpilei ka kivet kol man poi.
7 Niambie, wewe ambaye ninakupenda, unalisha wapi kundi lako la kondoo na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela karibu na makundi ya rafiki zako?
Nei seipeh-in, O goldei, tuni na kelngoi honho hoilama na puiding ham? Sun teng hoikoma na kol sah ding ham? Ajeh chu keima hi noti banga naloi-napaiho chule kelngoite lah’a iti ka vavai le jeng thei ding ham?
8 Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote, fuata nyayo za kondoo, na kulisha wana-mbuzi wako karibu na hema za wachungaji.
Moulang: Na het loule, O nungah melhoipen nu; ka kelngoi ho kikaina nung juiyin lang, kelngoi chingho ponbuh vel’a chun na kelchate vah-in.
9 Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.
O ka deinu, na nunnop dan hi Pharaoh sakol lagol lah-a khat toh nabang’e.
10 Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.
Na bengmai alangtoa hi iti deium hitam! Na bilba tenin asal emsel jeng’e! Nangong jong iti dei um hitam, na sana bilba hung kailha chun ajem hoi be cheh-e.
11 Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.
Zailom: Sanavui sempeh-ungting, kicheina ding dangkavui toh thosah-unge.
12 Wakati mfalme alipokuwa mezani pake, manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.
Mounu: Lengpa jalkhun chung ah alum in, gimnamtwi ka kinu gimnam hi aki tunglut jel jeng’e.
13 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.
Ka goldeipa hi ka ang-a Myrrh gim namtwi theineo kikhai abangin ahi.
14 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.
Ama hi En-gedi lengpileiya henna pahcha-boh toh abange.
15 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Tazama jinsi ulivyo mzuri! Macho yako ni kama ya hua.
Moulang: Iti hoiya hoi nahi hitam, O ka goldei nu! Namit teni hi vakho te abang jeng’e.
16 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Ee, tazama jinsi unavyopendeza! Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.
Mounu: Nangma jong na hoi ngeije, O goldei, kam’a seidoh jou hoi hilouvin dei na um nalom’e! Hampa dong nem hiuheo khu i-jalkhun lhon ding in alom e.
17 Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.
Namtwi tah Cedar thingbah ho jeng jong i-inkam lhon ding in apang uvin, chahthing ho jeng jong i-insun lhon ding in apang’uve.