< Wimbo wa Sulemani 1 >
1 Wimbo ulio bora wa Solomoni.
Laa rhoek khuikah Laa he Solomon kah ni.
2 Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.
Namah hlo tah misurtui lakah then tih a ka dongkah moknah neh kai m'mok lah sue.
3 Manukato yako yananukia vizuri, jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa. Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!
Namah tah situi bo neh na then pai tih situi loh na ming a puem pai. Te dongah ni hula rhoek long nang n'lungnah.
4 Nichukue twende nawe, na tufanye haraka! Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake. Marafiki Tunakushangilia na kukufurahia, tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai. Mpendwa Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!
Namah hnukah kai m'mawt lamtah yong mai sih. Kai he manghai loh amah imhman la n' khuen coeng. Rhoihui Namah ah ka omngaih uh tih ka kohoe uh. Nang kah hlo rhoek tah misurtui lakah ka poek uh tih vanat la nang n'lungnah uh.
5 Mimi ni mweusi, lakini napendeza, enyi binti za Yerusalemu, mweusi kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya hema la Solomoni.
Ka muem cakhaw Jerusalem nu rhoek tah Kedar dap banglam khaw, Solomon himbaiyan banglam khaw rhoeprhui mai.
6 Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. Wana wa mama yangu walinikasirikia na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu. Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.
Khomik loh kai n'hmuh tih ka muem dongah nim kai nan hmuh pawh? Ka manu ca rhoek te kai taengah sai tih misurdum aka hung la kai n'khueh uh. Kamah taengkah ka misurdum ka hung pawt ah.
7 Niambie, wewe ambaye ninakupenda, unalisha wapi kundi lako la kondoo na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela karibu na makundi ya rafiki zako?
Ka hinglu kah a lungnah te kamah taengah thui lah. Melam na luem sak? Khothun ah melam na kol sak? Te boel tah balae tih na hui rhoek kah tuping taengah aka kulup bangla ka om?
8 Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote, fuata nyayo za kondoo, na kulisha wana-mbuzi wako karibu na hema za wachungaji.
Huta rhoek khuiah sakthen te na ming pawt atah boiva kholaeh ah namah cet. Na maae-ca te aka dawn rhoek kah dungtlungim ah luem sak.
9 Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.
Ka cangyaeh namah tah Pharaoh leng dongkah ka marhang manu kam puet sak.
10 Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.
Na kam te aitlaeng neh, na rhawn khaw oidik neh damyal mai.
11 Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.
Nang hamla sui aitlaeng neh cak hnathawn khaw n'saii bitni.
12 Wakati mfalme alipokuwa mezani pake, manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.
Kamah kah rhai-ul tah manghai amah loh a caboei dongah a hmuehmuei la a khueh.
13 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.
Kamah hlo kah murrah cun tah kamah ham ka rhangsuk laklo ah rhaeh coeng.
14 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.
Kamah taengkah kamah hlo tah Engedi misurdum kah tlansum thaihsu ni.
15 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Tazama jinsi ulivyo mzuri! Macho yako ni kama ya hua.
Ka cangyaeh tah na rhoep ne, vahui na mik khaw na sakthen ne.
16 Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Ee, tazama jinsi unavyopendeza! Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.
Ka hlo nang tah na sakthen ne, mah kah soengca hingsuep khaw naepnoi bal.
17 Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.
Lamphai tah mah im kah tungpum saeh lamtah hmaical tah mah kah paekhop saeh.