< Wimbo wa Sulemani 8 >

1 Laiti ungelikuwa kwangu kama ndugu wa kiume, ambaye aliyanyonya matiti ya mama yangu! Kisha, kama ningekukuta huko nje, ningelikubusu, wala hakuna mtu yeyote angelinidharau.
Di da loladafa ani dodo afae gilisili mai ganiya: be. Amasea, na da di logoa gousa: sea, na da di nonogosea, enoga da anima bagade hame dawa: la: loba.
2 Ningelikuongoza na kukuleta katika nyumba ya mama yangu, yeye ambaye amenifundisha. Ningelikupa divai iliyokolezwa unywe, asali ya maua ya mikomamanga yangu.
Na da di na: me ea diasuga oule ahoa: noba. Amogawi di da nama sasagesu hou olelema: la: loba. Na da digili ‘bomegala: nidi’ waini hano hedama: ne legele nasu, amoga legei moma: la: loba.
3 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kuume unanikumbatia.
Dia fofadi lobo da na dialuma hagudu diala, amola dia lobodafa da na sogoba: le guda: sa.
4 Binti za Yerusalemu, ninawaagiza: msichochee wala kuamsha mapenzi hata yatakapotaka yenyewe.
Yelusaleme uda! Dilia ania sasagesu hou mae hedofama: ne, anima ilegele sia: ma.” Yelusaleme Uda ilia da amane sia: i,
5 Ni nani huyu anayekuja kutoka nyikani akimwegemea mpenzi wake? Mpendwa Nilikuamsha chini ya mtofaa, huko mama yako alipotunga mimba yako, huko yeye alipata utungu akakuzaa.
“Nowa da hafoga: i sogeganini ea sasagesu dunu amo ela lobo sioga: ne manabela: ?” Uda da amane sia: sa, ‘A: bele’ ifaha (amogawi di lalelegei) na da di didilisi.
6 Nitie kama muhuri moyoni mwako, kama muhuri kwenye mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama mauti, wivu wake ni mkatili kama kuzimu. Unachoma kama mwali wa moto, kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa. (Sheol h7585)
Dia nama fawane sasagema. Amola dia loboga eno mae sogoba: le, na fawane sogoba: ma. Be gia: i bagade mudasu hou amo da bogosu ea gasa defele gala. Amo hou da lalu agoane heloa: gala: le, lalu gegemoi defele nenana. (Sheol h7585)
7 Maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo, mito haiwezi kuugharikisha. Kama mtu angelitoa mali yote ya nyumbani mwake kwa ajili ya upendo, angelidharauliwa kabisa.
Hanoga haba: domu da hamedei. Hano heda: le, amo magufale haba: dolesimu gogolemu. Be dunu da ea muni bagade amoga sasagesu hou bidi lamusa: dawa: loba, e da enoga higale migasisu fawane ba: la: loba.” Uda ea yolalali ilia da amane sia: i,
8 Tunaye dada mdogo, matiti yake hayajakua bado. Tutafanya nini kwa ajili ya dada yetu wakati atakapokuja kuposwa?
“Ninia da uda mano ninia aeya gala. Be ea dodo da asa, hame misi. Goi ayeligi da e lamusa: lobo dila masea, ninia da amo uda manoma adi hamoma: bela: ?
9 Kama yeye ni ukuta, tutajenga minara ya fedha juu yake. Na kama yeye ni mlango, tutamzungushia mbao za mierezi.
E da fedege agoane dobea agoane esalea, ninia da e gaga: ma: ne silifa diasu sedade gagagula heda: mu. Be e da logo ga: su agoane esalea, ninia da e gaga: ma: ne, dolo ifa gaga: i beano amo sagamu.” Uda da amane sia: sa,
10 Mimi ni ukuta, nayo matiti yangu ni kama minara. Ndivyo ambavyo nimekuwa machoni pake kama yule anayeleta utoshelevu.
“Na da dobea gala. Na dodo da amo dobea ea diasu sedade gagagula heda: i. Na sasagesu dunu da dawa: Na da ani esalea, olofole amola dogo denesi agoane ba: sa. Dunu da amane sia: i,
11 Solomoni alikuwa na shamba la mizabibu huko Baal-Hamoni; alikodisha shamba lake la mizabibu kwa wapangaji. Kila mmoja angeleta kwa ajili ya matunda yake shekeli 1,000 za fedha.
Soloumane da Ba: ile Ha: imone moilaiga waini efe sagai diala. Waini efe sagai ouligisu dunu ilia da amo sagai amoga hawa: hamone, gamimusa: , su (rent) ema bidi iaha. Ilia da afae afae silifa fage 1000agoane ema iaha.
12 Lakini shamba langu la mizabibu ambalo ni langu mwenyewe ni langu kutoa; hizo shekeli 1,000 ni kwa ajili yako, ee Solomoni, na shekeli mia mbili ni kwa ajili ya wale wanaotunza matunda yake.
Be na waini efe sagai amo da na: Amola na da na hanaiga fawane eno dunuma iaha. Silifa fage 1000 amo na da di, Soloumane dima iaha. Amola waini sagai ouligisu dunu da ilia la: idi muni silifa fage 200 amo lamu da defea. Dunu da amane sia: i,
13 Wewe ukaaye bustanini pamoja na marafiki mliohudhuria, hebu nisikie sauti yako!
“Na dogolegei! Na da dia sia: sagaiaganini sia: be nabima: ma! Na sigi aligisu dunu da dia sia: be nabimusa: oulela.” Uda da amane sia: i,
14 Njoo, mpenzi wangu, uwe kama swala au kama ayala kijana juu ya milima iliyojaa vikolezo.
“Na sasagesu! Nama misa! ‘Gasele dia’ amola waha debe ‘dia’ gawali goumi alelaloi (amogawi hedama: ne fodole nasu bugi da heda: sa) amoga esalebe, agoaiwane nama misa. Sia: ama dagoi

< Wimbo wa Sulemani 8 >