< Wimbo wa Sulemani 7 >

1 Ee binti wa mwana wa mfalme, tazama jinsi inavyopendeza miguu yako katika viatu! Miguu yako yenye madaha ni kama vito vya thamani, kazi ya mikono ya fundi stadi.
Mily szépek a te lábaid a sarukban, nemesnek leánya te; csipőid fordulatai mint ékszerek, művész kezeinek munkája.
2 Kitovu chako ni kama bilauri ya mviringo ambayo kamwe haikosi divai iliyochanganywa. Kiuno chako ni kichuguu cha ngano kilichozungukwa kwa yungiyungi.
Köldököd mint a kerek medencze- ne legyen hiján a kész italnak; hasad buzahalmaz, bekeritve liliomokkal.
3 Matiti yako ni kama wana-paa wawili, mapacha wa paa.
Két emlőd mint két gida, szarvasünőnek ikrei;
4 Shingo yako ni kama mnara wa pembe ya ndovu. Macho yako ni vidimbwi vya Heshboni karibu na lango la Beth-Rabi. Pua lako ni kama mnara wa Lebanoni ukitazama kuelekea Dameski.
nyakad mint elefántcsont-torony, szemeid ama tavak Chesbónban, a népes város kapuja mellett; orrod mint a Libánon tornya, mely Damaszkus felé tekint.
5 Kichwa chako kinakuvika taji kama mlima Karmeli. Nywele zako ni kama zulia la urujuani; mfalme ametekwa na mashungi yake.
Fejed te rajtad mint a Karmel, s fejed hajzata olyan, mint a bíbor: király, megkötve fürtökben.
6 Tazama jinsi ulivyo mzuri na unavyopendeza, ee pendo, kwa uzuri wako!
Mily szép vagy és mily kedves vagy, szerelem, a gyönyörüségekben!
7 Umbo lako ni kama la mtende, nayo matiti yako kama vishada vya matunda.
Ez a te termeted hasonlít a pálmához és emlőid szőlőfürtökhöz;
8 Nilisema, “Nitakwea mtende, nami nitayashika matunda yake.” Matiti yako na yawe kama vishada vya mzabibu, harufu nzuri ya pumzi yako kama matofaa,
azt mondtam: hadd megyek föl a pálmára, megragadom galyait; s legyenek a te emlőid mint szőlőtőnek fürtjei és orrod illata, mint az almáké,
9 na kinywa chako kama divai bora kuliko zote. Mpendwa Divai na iende moja kwa moja hadi kwa mpenzi wangu, ikitiririka polepole juu ya midomo na meno.
és ínyed mint a jó bor – mely símán folyik barátomnak, megszólaltatja az alvók ajkait.
10 Mimi ni mali ya mpenzi wangu, nayo shauku yake ni juu yangu.
Én barátomé vagyok s hozzám van vágyakozása.
11 Njoo, mpenzi wangu, twende mashambani, twende tukalale huko vijijini.
Jer, barátom, menjünk ki a mezőre, háljunk meg a falvakon;
12 Hebu na twende mapema katika mashamba ya mizabibu tuone kama mizabibu imechipua, kama maua yake yamefunguka, na kama mikomamanga imetoa maua: huko nitakupa penzi langu.
korán induljunk a szőlőkbe, lássuk, vajon kivirult-e a szőlőtő, megnyílt-e a szőlővirág, kivirágoztak-e a gránátfák: ott adom neked szerelmemet.
13 Mitunguja hutoa harufu zake nzuri, kwenye milango yetu kuna matunda mazuri, mapya na ya zamani, ambayo nimekuhifadhia wewe, mpenzi wangu.
A nadragulyák illatot adnak és ajtóink mellett mindenféle drága gyümölcsök, újak is, régiek is: számodra, barátom, tettem el.

< Wimbo wa Sulemani 7 >