< Wimbo wa Sulemani 5 >

1 Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; nimekusanya manemane yangu pamoja na kikolezo changu. Nimekula sega langu la asali na asali yangu; nimekunywa divai yangu na maziwa yangu. Marafiki Kuleni, enyi marafiki, mnywe; kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.
Mutan se su saok sik, su nga ako in payuk se, Nga utyak nu in ima luk. Nga kunsani mwe akkeng luk wi myrrh; Nga engankin eman honey luk ma oan in nien honey uh; Ac nga nim wain ac milk nimuk. Komtal mwet kawuk luo an, mongo ac nim Nwe ke na komtal mutkakinya lungse lomtal!
2 Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho. Sikiliza! Mpenzi wangu anabisha: “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, asiye na hitilafu. Kichwa changu kimeloa umande, na nywele zangu manyunyu ya usiku.”
Ke nga oan in motul, insiuk ngetnget na. Oana ngan lohng mu el su nga lungse el towol srungul uh. Ikasla nga in utyak, mutan su saok sik, Kom su kuiyuk, ac oana wuleoa nutik. Insifuk sroksroki ke aunfong, Ac aunsifuk olalaek ke ohu uh.
3 Nimevua joho langu: je, ni lazima nivae tena? Nimenawa miguu yangu: je, ni lazima niichafue tena?
Nga sarukla nuknuk luk ah tari; Mwe mea nga in sifil nuknukyang? Nga ohlla niuk tari; Mwe mea ngan sifil akfohkfokyela?
4 Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo; moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili yake.
El su nga pwar se el isongang paol nu in mutunoa, Ac nga pulakin pwar na yohk insiuk.
5 Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu, mikono yangu ikidondosha manemane, vidole vyangu vikitiririka manemane, penye vipini vya komeo.
Nga tukakek in ikasla elan utyak. Pouk mosrweyukla ke myrrh, Ac kufinpouk ke sronin myrrh Ke nga saplakang nu ke mwe ikak ke srungul uh.
6 Nilimfungulia mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu alishaondoka; alikuwa amekwenda zake. Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake. Nilimtafuta lakini sikumpata. Nilimwita lakini hakunijibu.
Nga ikasla srungul uh nu sel su nga lungse, Tuh el nu som tari. Nga lukunna mulalla ke nga tia lohngak pusracl! Nga sokol tuh tia ku in konalak; Nga pangnol, a el tia topukyu.
7 Walinzi walinikuta walipokuwa wakifanya zamu za ulinzi mjini. Walinipiga, wakanijeruhi, wakaninyangʼanya joho langu, hao walinzi wa kuta!
Mwet topang su forfor taran siti uh elos liyeyuyak. Elos puokyuwi ac kanteyuwi; Mwet liyaung pot uh elos tulakunla nuknuk se ma afinyu.
8 Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza: kama mkimpata mpenzi wangu, mtamwambia nini? Mwambieni ninazimia kwa mapenzi.
Kowos mutan Jerusalem, wulema nu sik Lah kowos fin konauk el su nga lungse, Kowos ac fahkang nu sel lah nga kuf na pwaye ke nunkeyal.
9 Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani, wewe uliye mzuri kupita wanawake wote? Je, mpendwa wako ni mzuri kuliko wengine, namna gani, hata unatuagiza hivyo?
Kom su oaskulana inmasrlon mutan uh, Ya mukul se ingan sie liki na mukul nukewa? Mea se arulana wo kacl uh Ku kut in orek wulela nu sum kac?
10 Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu, wa kuvutia miongoni mwa wanaume kumi elfu.
Mukul se nga lungse inge el ku ac fokoko finsroa; Inmasrlon mukul nukewa, wangin sie oana el.
11 Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote, nywele zake ni za mawimbi na ni nyeusi kama kunguru.
Mutal oana wolana lun gold uh; Aunsifal makoskos Ac sroalsroal oana sie won raven.
12 Macho yake ni kama ya hua kandokando ya vijito vya maji, aliyeogeshwa kwenye maziwa, yaliyopangwa kama vito vya thamani.
Atronmutal kato oana wuleoa sisken sie unon in kof, Wuleoa ma fasrfasr oana milk, ac tu pe infacl srisrik uh.
13 Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo yakitoa manukato. Midomo yake ni kama yungiyungi inayodondosha manemane.
Foulin likintupal keng oana sie ima Ma sessela ke mahsrik ac ma keng uh. Ngoasrol oana kiuf uh, Ma sroksrok ke sronin myrrh.
14 Mikono yake ni fimbo za dhahabu iliyopambwa kwa krisolitho. Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyongʼarishwa iliyopambwa na yakuti samawi.
Wo lumweyen paol, Ac el ringkin ring ma yunla ke wek saok. Manol fwel oana fweliyen ivory Ma naweyuk ke eot sapphire.
15 Miguu yake ni nguzo za marmar zilizosimikwa katika vitako vya dhahabu safi. Sura yake ni kama Lebanoni, bora kama miti yake ya mierezi.
Nial oana sru orekla ke eot alabaster Ma loangeyukyak ke gold. Woiyen lumahl oana Fineol in acn Lebanon, Ac ku oana sak cedar we.
16 Kinywa chake chenyewe ni utamu, kwa ujumla yeye ni wa kupendeza. Huyu ndiye mpenzi wangu, huyu ndiye rafiki yangu, ee binti za Yerusalemu.
Emwem oalul ke nga ngok uh, Ac nga lungse ma nukewa kacl. Mutan Jerusalem, Pa inge luman kawuk luk su nga lungse.

< Wimbo wa Sulemani 5 >