< Wimbo wa Sulemani 3 >

1 Usiku kucha kwenye kitanda changu nilimtafuta yule moyo wangu umpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
Na łożu mojem w nocy szukałam tego, którego miłuje dusza moja; szukałam go, alem go nie znalazła.
2 Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini, katika barabara zake na viwanja; nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye. Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata.
Już tedy wstanę, a obieżę miasto; po rynkach i po ulicach będę szukać tego, którego miłuje dusza moja; szukałam go, alem go nie znalazła.
3 Walinzi walinikuta walipokuwa wakizunguka mji. Nikawauliza, “Je, mmemwona yule moyo wangu umpendaye?”
Natrafili mię stróżowie, którzy chodzili po mieście; i spytałem: Widzieliżeście tego któego miłuje dusza moja?
4 Kitambo kidogo tu baada ya kuwapita nilimpata yule moyo wangu umpendaye. Nilimshika na sikumwachia aende mpaka nilipomleta katika nyumba ya mama yangu, katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.
A gdym maluczko odeszła od nich, zarazem znalazła tego, którego miłuje dusza moja. Uchwyciłam się go, a nie puszczę go, aż go wprowadzę do domu matki mojej, i do pokoju rodzicielki mojej.
5 Binti za Yerusalemu, ninawaagiza kwa paa na kwa ayala wa shambani: Msichochee wala kuamsha mapenzi hata yatakapotaka yenyewe.
Poprzysięgam was, córki Jeruzalemskie! przez sarny i łanie polne, abyście nie budziły ani przerywały snu miłego mojego, dokądby nie zechciał.
6 Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwani kama nguzo ya moshi, anayenukia manemane na uvumba iliyotengenezwa kwa vikolezo vyote vya mfanyabiashara?
Któraż to jest, co występuje z puszczy jako słuoy dymu, okurzona będąc myrrą i kadzidłem droższem nad wszelaki proszek aptekarski?
7 Tazama! Ni gari la Solomoni lisindikizwalo na mashujaa sitini, walio wakuu sana wa Israeli,
Oto łoże Salomonowe, około którego stoi sześćdziesiąt mocarzów z mocarzów Izraelskich.
8 wote wamevaa panga, wote wazoefu katika vita, kila mmoja na upanga wake pajani, wamejiandaa kwa ajili ya hofu za usiku.
Wszyscy ci trzymają miecz, będąc wyćwiczeni do bitwy; każdy z nich ma swój miecz przy boku swym dla strachu nocnego.
9 Mfalme Solomoni alijitengenezea gari; alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.
Pałac sobie król Salomon wystawił z drzewa Libańskiego.
10 Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha, kitako chake kwa dhahabu. Kiti chake kilipambwa kwa zambarau, gari lake likanakshiwa njumu kwa upendo na binti za Yerusalemu.
Słupy jego poczynił srebrne, a pokład jego złoty, podniebienie szarłatne, a wewnątrz usłany jest miłością córek Jerozolimskich.
11 Tokeni nje, ninyi binti za Sayuni, mkamtazame Mfalme Solomoni akiwa amevaa taji, taji ambalo mama yake alimvika siku ya arusi yake, siku ambayo moyo wake ulishangilia.
Wynijdźcie, córki Syońskie! a oglądajcie króla Salomona w koronie, którą go ukoronowała matka jego w dzień zrękowin jego, i w dzień wesela serca jego.

< Wimbo wa Sulemani 3 >