< Wimbo wa Sulemani 3 >

1 Usiku kucha kwenye kitanda changu nilimtafuta yule moyo wangu umpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
Paa mit Leje om Natten søgte jeg ham, som min Sjæl har kær, jeg søgte, men fandt ham ikke.
2 Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini, katika barabara zake na viwanja; nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye. Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata.
»Saa staar jeg op og gaar om i Byen, om Paa dens Gader og Torve og søger ham, som min Sjæl har kær.« Jeg søgte, men fandt ham ikke.
3 Walinzi walinikuta walipokuwa wakizunguka mji. Nikawauliza, “Je, mmemwona yule moyo wangu umpendaye?”
Vægterne, som færdes i Byen, traf mig: »Saa I mon ham, som min Sjæl har kær?«
4 Kitambo kidogo tu baada ya kuwapita nilimpata yule moyo wangu umpendaye. Nilimshika na sikumwachia aende mpaka nilipomleta katika nyumba ya mama yangu, katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.
Knap var jeg kommet forbi dem, saa fandt jeg ham, som min Sjæl har kær; jeg greb ham og slap ham ikke, før jeg fik ham ind i min Moders Hus, i hendes Kammer, som fødte mig.
5 Binti za Yerusalemu, ninawaagiza kwa paa na kwa ayala wa shambani: Msichochee wala kuamsha mapenzi hata yatakapotaka yenyewe.
Jeg besværger eder, Jerusalems Døtre, ved Gazeller og Markens Hjorte: Gør ikke Kærligheden Uro, væk den ikke, før den ønsker det selv!
6 Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwani kama nguzo ya moshi, anayenukia manemane na uvumba iliyotengenezwa kwa vikolezo vyote vya mfanyabiashara?
Hvad er det, som kommer fra Ørkenen i Støtter af Røg, omduftet af Myrra og Røgelse, alskens Vellugt?
7 Tazama! Ni gari la Solomoni lisindikizwalo na mashujaa sitini, walio wakuu sana wa Israeli,
Se, det er Salomos Bærestol, omgivet af tresindstyve Helte, Israels Helte,
8 wote wamevaa panga, wote wazoefu katika vita, kila mmoja na upanga wake pajani, wamejiandaa kwa ajili ya hofu za usiku.
alle med Sværd i Haand, oplærte til Krig, hver med sit Sværd ved Lænd mod Nattens Rædsler.
9 Mfalme Solomoni alijitengenezea gari; alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.
Kong Salomo laved sig en Bærekarm af Træ fra Libanon,
10 Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha, kitako chake kwa dhahabu. Kiti chake kilipambwa kwa zambarau, gari lake likanakshiwa njumu kwa upendo na binti za Yerusalemu.
gjorde dens Støtter af Sølv, dens Arme af Guld; i Midten er Ibenholt indlagt, Sædet er Purpur.
11 Tokeni nje, ninyi binti za Sayuni, mkamtazame Mfalme Solomoni akiwa amevaa taji, taji ambalo mama yake alimvika siku ya arusi yake, siku ambayo moyo wake ulishangilia.
Jerusalems Døtre, gaa ud og se paa Kong Salomo, paa Kronen, hans Moder kroned ham med paa hans Brudefærds Dag, hans Hjertens Glædes Dag!

< Wimbo wa Sulemani 3 >