< Wimbo wa Sulemani 3 >

1 Usiku kucha kwenye kitanda changu nilimtafuta yule moyo wangu umpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
Na gasi huluane bobaligilalebe, na da na golasuga golai dialu, na sasagesu dunu simasia ba: i. Na da e hogolalu be hame ba: i.
2 Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini, katika barabara zake na viwanja; nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye. Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata.
Na da moilai bai bagadega amoga logoba: le amola logo fonoboiba: le, e hogosa lalalu. Na da e hogolalu, be hame ba: i.
3 Walinzi walinikuta walipokuwa wakizunguka mji. Nikawauliza, “Je, mmemwona yule moyo wangu umpendaye?”
Sosodo aligisu dunu amo da moilai ouligili lalebe da na ba: i. Na da ilima amane adole ba: i, ‘Dilia da na sasagesu dunu ba: bela: ?’
4 Kitambo kidogo tu baada ya kuwapita nilimpata yule moyo wangu umpendaye. Nilimshika na sikumwachia aende mpaka nilipomleta katika nyumba ya mama yangu, katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.
Na da ili yolesilalu, e ba: i. Na da e gagulaligili, amola e masa: ne mae yolesili dialobawane, na da e adole, na: me ea diasuga oule asili, sesei amoga na da lalelegei, amoga e oule asi.
5 Binti za Yerusalemu, ninawaagiza kwa paa na kwa ayala wa shambani: Msichochee wala kuamsha mapenzi hata yatakapotaka yenyewe.
Yelusaleme uda dilia! Hehenasu ‘dia’ amola ‘gasele dia’ ilia houba: le, sia: dafawaneyale ilegema! Ania sasagesu gilisili fibi hou mae hedofama: ne sia: ma!” Uda da amane sia: i,
6 Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwani kama nguzo ya moshi, anayenukia manemane na uvumba iliyotengenezwa kwa vikolezo vyote vya mfanyabiashara?
“Hafoga: i sogeganini manebe liligi da adila: ? Amo da mobi ganumu amo da gabusiga: manoma amola ‘me’ (bidi lasu dunu amoga lasu liligi agoai) agoane naba, agoai liligi ba: sa.
7 Tazama! Ni gari la Solomoni lisindikizwalo na mashujaa sitini, walio wakuu sana wa Israeli,
Soloumane da ea fisu da: iya fili, enoga gaguli manebe ba: sa. Dadi gagui dunu Isala: ili soge ganodini baligili noga: i dunu 60 agoane da ea da: i sosodo aligisu dunu, e sigi manebe ba: sa.
8 wote wamevaa panga, wote wazoefu katika vita, kila mmoja na upanga wake pajani, wamejiandaa kwa ajili ya hofu za usiku.
Ilia huluane da gobihei bagade amoga gegemu hou bagade dawa: Ilia da gegesu bagohame hamobeba: le, gasa bagade gala. Soloumane ea ha lai da gasia ema doagala: sa: besa: le, ilia afae afae da gegesu gobihei gagusa.
9 Mfalme Solomoni alijitengenezea gari; alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.
Hina bagade Soloumane da fisu amo noga: idafa ifa amoga hamoi, amoga fila heda: le, enoga gaguli ahoanebe ba: sa.
10 Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha, kitako chake kwa dhahabu. Kiti chake kilipambwa kwa zambarau, gari lake likanakshiwa njumu kwa upendo na binti za Yerusalemu.
Amo fisu ea bada da silifa amoga dedeboi. Abula amo da gouliga ga: muga: legei da ea fisu dedebosa. Ea bada fugulu dedebosu liligi da yoi abula amo Yelusaleme uda ilia da asigiwane amunasi.
11 Tokeni nje, ninyi binti za Sayuni, mkamtazame Mfalme Solomoni akiwa amevaa taji, taji ambalo mama yake alimvika siku ya arusi yake, siku ambayo moyo wake ulishangilia.
Saione uda, dilia! Hina bagade Soloumane ba: la misa! Ea dialuma da: iya, habuga figisi dialebe ba: sa. Ea uda lasu esoga, e da hahawane bagade ba: i. Amola ea: me da amo esoga amo habuga ea dialuma da: iya figisi.”

< Wimbo wa Sulemani 3 >