< Wimbo wa Sulemani 2 >
1 Mimi ni ua la Sharoni, yungiyungi ya bondeni.
Eu sou uma rosa de Sharon, um lírio dos vales.
2 Kama yungiyungi katikati ya miiba ndivyo alivyo mpenzi wangu katikati ya wanawali.
Como um lírio entre espinhos, Assim é meu amor entre as filhas.
3 Kama mti wa mtofaa miongoni mwa miti ya msituni ndivyo alivyo mpenzi wangu miongoni mwa wanaume vijana. Ninafurahia kuketi kivulini mwa mwanaume huyu, na tunda lake ni tamu kwangu.
Como a macieira entre as árvores da madeira, Assim é minha amada entre os filhos. Sentei-me sob sua sombra com grande deleite, sua fruta era doce ao meu paladar.
4 Amenichukua mpaka kwenye ukumbi wa karamu, na bendera ya huyu mwanaume juu yangu ni upendo.
Ele me trouxe para o salão de banquetes. Seu estandarte sobre mim é o amor.
5 Nitie nguvu kwa zabibu kavu, niburudishe kwa matofaa, kwa maana ninazimia kwa mapenzi.
Strengthen me com uvas passas, refrescar-me com maçãs; pois estou desmaiado de amor.
6 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kuume unanikumbatia.
Sua mão esquerda está sob minha cabeça. Sua mão direita me abraça.
7 Binti za Yerusalemu, ninawaagiza kwa paa na kwa ayala wa shambani: Msichochee wala kuamsha mapenzi hata yatakapotaka yenyewe.
Eu vos conjuro, filhas de Jerusalém, pelas ovas, ou pelo vento do campo, que não se agita, nem se desperta o amor, até que o deseje.
8 Sikiliza! Mpenzi wangu! Tazama! Huyu hapa anakuja, akirukaruka juu milimani akizunguka juu ya vilima.
A voz de minha amada! Eis que ele vem, saltando sobre as montanhas, saltando sobre as colinas.
9 Mpenzi wangu ni kama paa au ayala kijana. Tazama! Anasimama nyuma ya ukuta wetu, akitazama kupitia madirishani, akichungulia kimiani.
Minha amada é como uma ova ou um jovem cervo. Eis que ele está atrás de nosso muro! Ele olha para as janelas. Ele olha através da grade.
10 Mpenzi wangu alizungumza na kuniambia, “Inuka, mpenzi wangu, mrembo wangu, tufuatane.
Minha amada falou, e me disse, “Levanta-te, meu amor, meu lindo, e vem embora”.
11 Tazama! Wakati wa masika umepita, mvua imekwisha na ikapita.
Pois eis que o inverno é passado. A chuva acabou e se foi.
12 Maua yanatokea juu ya nchi; majira ya kuimba yamewadia, sauti za njiwa zinasikika katika nchi yetu.
As flores aparecem sobre a terra. Chegou a hora de cantar, e a voz da rola é ouvida em nossa terra.
13 Mtini unatunga matunda yake ya mwanzoni, zabibu zinazochanua zaeneza harufu nzuri. Inuka, njoo mpenzi wangu. Mrembo wangu, tufuatane.”
A figueira amadurece seus figos verdes. As videiras estão em floração. Eles dão sua fragrância. Levantai-vos, meu amor, meu lindo, e sair”.
14 Hua wangu penye nyufa za majabali, mafichoni pembezoni mwa mlima, nionyeshe uso wako, na niisikie sauti yako, kwa maana sauti yako ni tamu, na uso wako unapendeza.
Minha pomba nas fendas da rocha, nos esconderijos da encosta da montanha, deixe-me ver seu rosto. Deixe-me ouvir sua voz; pois sua voz é doce e seu rosto é lindo.
15 Tukamatie mbweha, mbweha wale wadogo wanaoharibu mashamba ya mizabibu, mashamba yetu ya mizabibu yaliyochanua.
Apanhe para nós as raposas, as pequenas raposinhas que saqueiam os vinhedos; para nossos vinhedos estão em floração.
16 Mpenzi wangu ni wangu, nami ni wake, yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.
Minha amada é minha, e eu sou dele. Ele navega entre os lírios.
17 Mpaka jua linapochomoza, na vivuli vikimbie, rudi, mpenzi wangu, na uwe kama paa, au kama ayala kijana juu ya vilima vya Betheri.
Até o dia ficar frio e as sombras fugirem, volta, minha amada, e ser como uma ova ou um jovem cervo nas montanhas de Bether.