< Ruth 1 >
1 Wakati Waamuzi walipotawala Israeli, kulikuwa na njaa katika nchi. Mtu mmoja kutoka nchi ya Bethlehemu ya Yuda, pamoja na mke wake na wanawe wawili, akaenda kuishi katika nchi ya Moabu.
A u ono vrijeme kad suðahu sudije bi glad u zemlji; i jedan èovjek iz Vitlejema Judina otide da živi kao došljak u zemlji Moavskoj sa ženom svojom i sa dva sina svoja.
2 Mtu huyu aliitwa Elimeleki, mkewe aliitwa Naomi, na hao wanawe wawili waliitwa Maloni na Kilioni. Walikuwa Waefrathi kutoka Bethlehemu ya Yuda. Wakaenda katika nchi ya Moabu, wakaishi huko.
A ime tomu èovjeku bješe Elimeleh, a ženi mu ime Nojemina, a imena dvojice sinova njegovijeh Malon i Heleon; i bijahu Efraæani, iz Vitlejema Judina; i doðoše u zemlju Moavsku i nastaniše se ondje.
3 Elimeleki mumewe Naomi akafa, hivyo Naomi akabaki na wanawe wawili.
Potom umrije Elimeleh muž Nojeminin i ona osta sa dva sina svoja.
4 Nao wakaoa wanawake Wamoabu, jina la mmoja aliitwa Orpa, na wa pili aliitwa Ruthu. Baada ya kama miaka kumi,
Oni se oženiše Moavkama: jednoj bješe ime Orfa a drugoj Ruta; i ondje stajahu do deset godina.
5 Maloni na Kilioni pia wakafa. Basi Naomi akabaki hana mume wala wanawe wawili.
Potom umriješe obojica, Malon i Heleon; i žena osta bez dva sina svoja i bez muža svojega.
6 Aliposikia akiwa huko Moabu kwamba Bwana amewasaidia watu wake kwa kuwapa chakula, Naomi na wakweze wakajiandaa kurudi nyumbani.
Tada se ona podiže sa snahama svojima da se vrati iz zemlje Moavske, jer èu u zemlji Moavskoj da je Gospod pohodio narod svoj davši im hljeba.
7 Yeye na wakweze wawili wakaondoka pale walipokuwa wakiishi na kushika njia kurudi nchi ya Yuda.
I izide iz mjesta gdje bijaše, i obje snahe njezine s njom; poðoše putem da se vrate u zemlju Judinu.
8 Ndipo Naomi akawaambia wale wakwe zake wawili, “Rudini, kila mmoja wenu nyumbani kwa mama yake. Bwana na awatendee fadhili kama mlivyowatendea hao waliofariki, na pia mimi.
Tada reèe Nojemina objema snahama svojima: idite, vratite se svaka u dom matere svoje; Gospod neka vam uèini milost kao što vi uèiniste umrlima i meni.
9 Bwana na amjalie kila mmoja wenu maisha mema nyumbani kwa mume mwingine.” Kisha akawabusu, nao wakalia kwa sauti kubwa,
Da vam da Gospod da naðete poèinak svaka u domu muža svojega. I poljubi ih; a one povikavši zaplakaše,
10 wakamwambia, “Tutarudi pamoja na wewe nyumbani kwa watu wako.”
I rekoše joj: ne, nego æemo se s tobom vratiti u tvoj narod.
11 Lakini Naomi akasema, “Rudini nyumbani, binti zangu. Kwa nini mnifuate? Je, mimi nitaweza tena kuwa na wana wengine ambao wataweza kuwaoa ninyi?
A Nojemina im reèe: idite natrag, kæeri moje; što biste išle sa mnom? zar æu još imati sinova u utrobi svojoj da vam budu muževi?
12 Rudini nyumbani, binti zangu; mimi ni mzee kiasi kwamba siwezi kumpata mume mwingine. Hata kama ningefikiria kuwa bado kuna tumaini kwangu, hata kama ningekuwa na mume usiku huu na kuwazaa wana,
Vratite se, kæeri moje, idite; jer sam ostarjela i nijesam za udaju. A i da kažem da se nadam i da se još noæas udam, i da rodim sinove,
13 je, mngesubiri mpaka wakue? Mngebakia bila kuolewa mkiwasubiri? La, hasha, binti zangu. Nimepata uchungu kuliko ninyi, kwa sababu mkono wa Bwana umekuwa kinyume nami!”
Zar æete ih vi èekati dok odrastu? zar æete toga radi stajati neudate? Nemojte, kæeri moje; jer su moji jadi veæi od vaših, jer se ruka Gospodnja podigla na me.
14 Kisha wakalia tena kwa sauti. Orpa akambusu mama mkwe wake, akaenda zake, lakini Ruthu akaambatana naye.
Tada one podigavši glas svoj plakaše opet; i Orfa poljubi svekrvu svoju; a Ruta osta kod nje.
15 Naomi akamwambia, “Tazama, mwenzako anarejea kwa watu wake na kwa miungu yake. Rudi pamoja naye.”
A ona joj reèe: eto, jetrva se tvoja vratila narodu svojemu i k bogovima svojim; vrati se i ti za jetrvom svojom.
16 Lakini Ruthu akajibu, “Usinisihi nikuache au niache kukufuata. Utakakokwenda nami nitakwenda, na wewe utakapoishi nitaishi. Watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.
Ali Ruta reèe: nemoj me nagovarati da te ostavim i od tebe otidem; jer kuda god ti ideš, idem i ja; i gdje se god ti nastaniš, nastaniæu se i ja; tvoj je narod moj narod, i tvoj je Bog moj Bog.
17 Pale utakapofia nami nitafia hapo, na papo hapo nitazikwa. Bwana na aniadhibu vikali, kama kitu kingine chochote kitanitenga nawe isipokuwa kifo.”
Gdje ti umriješ, umrijeæu i ja, i ondje æu biti pogrebena. To neka mi uèini Gospod i to neka mi doda, smrt æe me samo rastaviti s tobom.
18 Naomi alipotambua kwamba Ruthu amenuia kufuatana naye, hakuendelea kumsihi tena.
A ona kad vidje da je tvrdo naumila iæi s njom, presta je odvraæati.
19 Kwa hiyo hao wanawake wawili wakaondoka, wakafika Bethlehemu. Walipofika Bethlehemu, mji mzima ulitaharuki, wanawake wakashangaa, wakasema, “Huyu aweza kuwa ni Naomi?”
Tako idoše obje dok ne doðoše u Vitlejem; a kad doðoše u Vitlejem, sav grad uzavre njih radi, i govorahu: je li to Nojemina?
20 Akawaambia, “Msiniite tena Naomi, niiteni Mara, kwa sababu Mwenyezi amenitendea mambo machungu sana.
A ona im govoraše: ne zovite me više Nojemina, nego me zovite Mara, jer mi velike jade zadade svemoguæi.
21 Mimi niliondoka hali nimejaa, lakini Bwana amenirudisha mtupu. Kwa nini kuniita Naomi? Bwana amenitendea mambo machungu; Mwenyezi ameniletea msiba.”
Obilna sam otišla, a praznu me vrati Gospod. Zašto me zovete Nojemina, kad me Gospod obori i svemoguæi me ucvijeli.
22 Kwa hiyo Naomi alirudi pamoja na Ruthu Mmoabu mkwe wake, nao wakafika Bethlehemu mwanzoni mwa kuvuna shayiri.
Tako doðe natrag Nojemina i s njom Ruta Moavka, snaha njezina, vrativši se iz zemlje Moavske; a doðoše u Vitlejem o poèetku jeèmene žetve.