< Ruth 4 >
1 Boazi akakwea mpaka kwenye lango la mji, akaketi pale. Yule mtu wa jamaa aliyekuwa wa karibu wa kukomboa, ambaye Boazi alimtaja, akaja. Boazi akasema, “Njoo hapa, rafiki yangu. Karibu uketi.” Naye akakaribia, akaketi.
Boua: se e sia: sa: imusa: gilisibi sogebi amoga asili amola logo gadenene amogai esalu. Amogai esaloba amola Ilimelege ea gadenene fi dunu (bu bidi lasu fi dunu ilia da sia: su - da: i sia: da ‘kinsman-redeemer) amo mafiadalebe ba: i. Amola Boua: se ea e wele sia: i, “Na na: iyado! Di fila misa. Na da sia: fonobahadi sia: mu gala.” Amalalu, e da misini fi.
2 Boazi akatwaa watu kumi miongoni mwa wazee wa mji, akawaambia, “Ketini hapa.” Nao wakaketi.
Amanoba, Boua: se e bu bidi lasu dunu amo e da musa: sia: i ema amane sia: i, “Di gui fila misa.” Amanoba, e da misini bulagi.
3 Kisha akamwambia yule jamaa wa karibu wa kukomboa, “Naomi, aliyerudi hapa kutoka nchi ya Moabu, anauza sehemu ya ardhi iliyokuwa mali ya ndugu yetu Elimeleki.
Amalalu, Boua: se da moilai ouligisu dunu nabuane lale, Ilimelege ea bu bidi lasu fi dunu ema amane sia: i, “Na: ioumi da waha Moua: be soge yolesili, misi dagoi. E da ania sosogo fi dunu Ilimelege amo ea soge bidi lamu hanai galebe.
4 Nami niliwaza nikujulishe wewe na kukuambia uinunue mbele ya hawa waliopo hapa, na mbele ya wazee wa watu wangu. Kama wewe utaikomboa, haya fanya hivyo. Lakini kama hutaikomboa, uniambie, ili nijue. Kwa kuwa hakuna mtu mwingine mwenye haki ya kuikomboa ila wewe na baada yako ni mimi.” Naye akasema, “Nitaikomboa mimi.”
Amaiba: le, na dima sia: be goea, be di hanai galea, goe soge di lama. Fada: i dunu nabuane agoane ilia dia sia: nabima: ne sia: ma. Be higa: i galea amo higa: i fawane sia: ma. Bai di da hanai galea, di da lamu defele gala. Be dia higasea, na da lamu defele gala.” Ilimelege ea bu bidi lasu fi dunu e da amane sia: i, “Na da lamu!”
5 Ndipo Boazi akasema “Siku utakaponunua hiyo ardhi kutoka kwa Naomi na Ruthu, Mmoabu, itakubidi kumchukua pia huyo mjane, ili kudumisha jina la marehemu pamoja na mali yake.”
Boua: se e amane sia: i;, “Defeadafa! Be dia Na: ioumi ea soge lasea, di da Ludi (Moua: be uda didalo) amola bidiga lasa. Amasea, amo soge da bogoi ea sosogo fi amo ganodini dialumu.
6 Aliposikia hili, yule jamaa wa karibu wa kukomboa akasema, “Basi mimi sitaweza kuikomboa, kwa sababu inaonekana nitauhatarisha urithi wangu. Wewe ikomboe mwenyewe. Mimi sitaweza.”
Amanoba, bu bidi lasu fi dunu da amane sia: i, “Amai galea, na amola soge agoe bidiga lamu, be amo da agoane, na mano ilia soge hame galumu. Amaiba: le dia lama. Be Na da bu hame lamu.”
7 (Basi katika siku za kale huko Israeli, ili kukamilisha tendo la kukomboa na kukabidhiana mali, mmoja huvua kiatu chake na kumpatia mwingine. Hii ilikuwa ni njia ya kuhalalisha mabadilishano katika Israeli.)
Amo esoha ilia da hou agoane hamosu. Isala: ili ilia sia: sa: imusa: o bu afadenemusa: ilia amola da hou agoane hamosu. Dunu afae da ea emo salasu gisa: le, dunu eno igili iasu. Amo hou da Isala: ili fi dunu ilia hou. Ilia da bidi lasu hou ilegema: ne agoane hamosu.
8 Basi yule jamaa wa karibu wa kukomboa akamwambia Boazi, “Wewe inunue mwenyewe.” Naye huyo jamaa akavua kiatu chake.
Amabeba: le, amola Ilimilege ea bu bidi lasu fi dunu da Boua: se ema amane sia: i, “Di bidiga lama!” E da ea emo salasu gisa: le amola Boua: sema i.
9 Kisha Boazi akawatangazia wazee na watu wote waliokuwepo, “Leo ninyi ni mashahidi kwamba mimi nimenunua kutoka kwa Naomi yote yaliyokuwa mali ya Elimeleki, Kilioni na Maloni.
Amalalu, Boua: se e dunu fada: i ilima amola oda esalebe dunu ilima amane adoi, “Dilia huluane ba: ma! Amola waha da na Na: ioumi ea soge amo Ilimelege amola ea mano Gilione amola Malone ilia soge, amo na bidiga lai dagoi.
10 Nimemchukua pia Ruthu, Mmoabu, mjane wa Maloni, awe mke wangu, ili kuendeleza jina la marehemu pamoja na mali zake, ili jina lake marehemu lisitoweke miongoni mwa jamaa yake, wala katika kumbukumbu za mji wake. Leo hivi ninyi ni mashahidi!”
Amola na da sia: fonobahadi sia: mu gala. Na agoane dawa: Ludi e da na uda esalumu da defea. Ludi amo uda da Moua: be dunu fi amola Malone ea lai galu, be Malone e bogobeba: le yolesi. Na da Ludi lamu hanai galebe, amola Malone ea sosogo fi da ea soge gaguiwane dialumu. Amola egaga fi da ea fidafa amola ea moilaidafa amo ganodini fifi lamu. Amola amo hou hahamoi amo dili huluane ba: i ama.
11 Kisha wazee pamoja na watu wote waliokuwa langoni wakasema, “Sisi ni mashahidi. Bwana na amfanye mwanamke huyu aingiaye nyumbani mwako kuwa kama Raheli na kama Lea, wale wanawake wawili ambao pamoja waliijenga nyumba ya Israeli. Nawe ufanikiwe katika Efrathi na uwe mashuhuri katika Bethlehemu.
Dunu huluane ilia amane sia: i, “Defea! Amo ilegele hou ninia da ba: i dagoi.” Amola fada: i dunu huluane da amane sia: i, “Goe uda waha dia diasu ganodini misi, amo da Hina Gode amo Hi fawane da La: isele amola Lia elea esoa: fi Isala: ili fi ganodini hamoi defele ema hamomu. Ela da Ya: igobema mano bagohame lai. Ludi da ela defele hamomu da defea. Amola difawane da liligi bagade gagui agoane hamoma. Efala: de fi amo ganodini amola di da Bedeleheme moilai fi ganodini fada: i dunu agoane esaloma.
12 Kupitia kwa watoto ambao Bwana atakupa kutokana na huyu mwanamwali, jamaa yako na ifanane na ya Peresi, ambaye Tamari alimzalia Yuda.”
Amola dia sosogo fi da bagadewane heda: mu da defea. Di da amo a: fini didalo lasea, Hina Gode da alima mano bagohame imunu da defea. Amasea, dia sosogo fi da Yuda amola Da: ima elea mano Bilese amo ea sosogo fi hamoi amo defele ba: mu.
13 Basi Boazi akamwoa Ruthu, naye akawa mke wake. Alipoingia kwake, Bwana akamjalia Ruthu, naye akapata mimba, akamzaa mtoto wa kiume.
Amanoba Boua: se ea Ludi lale, ea diasuga oule asi. Be Hina Gode da ema hahawane dogolegele amola asigili hamobeba: le, e abula agui ba: i amola dunu mano lalelegei.
14 Wanawake wakamwambia Naomi: “Ahimidiwe Bwana, asiyekuacha bila kuwa na jamaa wa karibu wa kukomboa. Na awe mashuhuri katika Israeli yote!
Uda ilia da misini, Na: ioumima amane sia: i, “Hahawane Hina Godema nodoma! E da waha dia aowa lalelegei amo da di ouligima: ne. Amola amo mano da Isala: ili fi amo ganodini gasa bagade esaluma: mu.
15 Atakurejeshea uhai wako na kukuangalia katika siku za uzee wako. Kwa maana mkweo ambaye anakupenda, na ambaye kwako ni bora zaidi ya watoto wa kiume saba, ndiye alimzaa.”
Disoa: ea amola da dima asigisa amola ea dima fidisu hou da dunu mano fesuale gala ilia fidisu hou baligi dagoi. Amola e da wali dima aowa i dagoi. Amo da dia da: i hamobe amo ganodini e da di noga: le ouligimu.”
16 Basi Naomi akamchukua yule mtoto, akampakata na akawa mlezi wake.
Na: ioumi ea mano amo seba: le, amola noga: le fofoi.
17 Wanawake waliokuwa jirani zake wakasema, “Naomi ana mtoto wa kiume.” Wakamwita jina lake Obedi. Yeye ndiye baba yake Yese, aliye baba yake Daudi.
Amola uda gadenene fi misini, mano ea dio Oubede asuli. Ilia dunu huluane ilima adoi, “Na: ioumi e da dunu mano lalelegei dagoi!” Amola Oubede da asigilale amola mano ea dio amo Yesi lai. Yesi da Da: ibidi lalelegei.
18 Hivi ndivyo vizazi vya Peresi: Peresi alimzaa Hesroni,
Goe da Bilese ea sosogo fi asili Da: ibidima doaga: i hou. Bilese amo da Heselone ea ada, Heselone e da Lame ea ada, Lame da A: minada: be ea ada, A:minada: be e da Nasone ea ada, Nasone da Sa: lamone ea ada, Sa: lamone da Boua: se ea ada, Oubede da Yesi ea ada, amola Yesi e da Da: ibidi ea ada. Amo fi da amane fifi misi goa. Sia: ama dagoi
19 Hesroni akamzaa Ramu, Ramu akamzaa Aminadabu,
20 Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
21 Salmoni akamzaa Boazi, Boazi akamzaa Obedi,
22 Obedi akamzaa Yese, na Yese akamzaa Daudi.