< Warumi 1 >

1 Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu,
Bulu canga Yesu Almasiya co na yilam nii tomange, take cokom coke na fulen kert Kwama.
2 Injili ambayo Mungu alitangulia kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika Maandiko Matakatifu,
Won co fulen kere do co ma nore ki kining nob tomangeb dukume ce more bifumero wucakke.
3 yaani, Injili inayomhusu Mwanawe, yeye ambaye kwa uzao wa mwili alikuwa mzao wa Daudi,
Dor bi bwece wo bo bowe naniya Dauda mor bwiye.
4 na ambaye kwa uwezo wa Roho wa utakatifu alidhihirishwa kuwa Mwana wa Mungu kwa ufufuo wake kutoka kwa wafu, yaani, Yesu Kristo, Bwana wetu.
Fuye kwenka cek mor nobo tuwe, cin yo co a yilam bi Bwe Kwama bi Kwane ki yuwa tangbe ko wo wucakke- Yesu Almasiya.
5 Kwa kupitia kwake na kwa ajili ya Jina lake, tumepokea neema na utume ili kuwaita watu miongoni mwa watu wa mataifa yote, waje kwenye utii utokanao na imani.
Fiye wo co wiye bin nyo luma kange tomange ker ciyaka bilnke mor nobo kumtacili, ker dene ce.
6 Ninyi nyote pia mko miongoni mwa watu walioitwa ili mpate kuwa mali ya Yesu Kristo.
Mor nobo wuro kumtacili, kom ken cin cuwo kom, kom yilam na Yesu Almasiya ce.
7 Kwa wote walioko Rumi wapendwao na Mungu na kuitwa kuwa watakatifu: Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
Bifumero wo ki nobo mor Rome gwam, kom nobo ma cwitiye wo Kwama ce, nobo wo cuwo cowe na yilam wucakke. Di luma ayi wari kange kom, kange fuwor nere Te be Kwama nin kange Teluwe be Yesu Almasiya.
8 Kwanza kabisa, namshukuru Mungu wangu kwa njia ya Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa sababu imani yenu inatangazwa duniani kote.
Ki kiba ma bu` Kwama nin kang ti fiye Yesu Almasiya wiye ker kimer gwam wori cii tok fulen bilen ke kumero ti dor bitiner gwam.
9 Kwa maana Mungu ninayemtumikia kwa moyo wangu wote katika kuhubiri Injili ya Mwanawe, ni shahidi wangu jinsi ninavyowakumbuka
Kwama wo ma wabti mor dume mi, mor fulen kerer Bi bweceu co warke mi, wo bwen fiyang di ma tok kom tiye.
10 katika maombi yangu siku zote, nami ninaomba kwamba hatimaye sasa kwa mapenzi ya Mungu, njia ipate kufunguliwa kwa ajili yangu ili nije kwenu.
Kang-kang ma ken ti mor dilo mi bwen ki ma nyi ri ki bwiri nan fiya caka kaba boka fiye kom wiye ki ciyaka Kwama.
11 Ninatamani sana kuwaona ili nipate kuweka juu yenu karama za rohoni ili mwe imara,
Ma cwiti nan to kom nan ne kom ne kako kange na yuwa tangbeko ce, nan ne kom bikwan.
12 au zaidi, ninyi pamoja nami tuweze kutiana moyo katika imani sisi kwa sisi.
Mi ki nin tangi nan fiya neka bikwanek more kume, fiye bilenke bwiti be, wo kumeu kange miu.
13 Ndugu zangu, napenda mfahamu kwamba mara nyingi nimekusudia kuja kwenu (ingawa mpaka sasa nimezuiliwa), ili nipate kuvuna mavuno miongoni mwenu kama nilivyovuna miongoni mwa wengine ambao ni watu wa Mataifa wasiomjua Mungu.
Na weu ma cwibo kom yilam ki bwini yomka, keb mibo, ma cwi na bou kumen kang-kang, [dila no kebo na wori' no cii dob yebo], nami yilam ki bibei wo yuwa tangbe ko ce more kume, kambo ma fiya tangnum nubembo nineu.
14 Mimi ni mdeni kwa Wayunani na kwa wasio Wayunani, kwa wenye hekima na kwa wasio na hekima.
Ma tum ki tutum nobo Helina kange tangnum nobembo, wuro ki yilene kange wo manki yilene.
15 Ndiyo sababu ninatamani sana kuihubiri Injili kwenu pia ninyi mlioko Rumi.
Ma yim ki bati nan tok fulen keret cero kumen kom wuro mor Roma.
16 Mimi siionei haya Injili ya Kristo kwa maana ni uweza wa Mungu uletao wokovu kwa kila aaminiye, kwanza kwa Myahudi na kwa Myunani pia.
Mani ma nuwa kwenduwe tok fullen keret cet ti, bi kwan Kwama wo fulokakoce ki gwam nii wuro ne bilenkere, ki kaba Yahudawa, nimde Helinawa.
17 Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo kwa njia ya imani hadi imani. Kama ilivyoandikwa: “Mwenye haki ataishi kwa imani.”
Wuro more ce cak-cake Kwama ceru yanglang fiye bilenke yaciko bilenke, nawo ci mulangeu,” Nii wo cak-cakeu an bu ker bilenke.
18 Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi wote na uovu wa wanadamu ambao huipinga kweli kwa uovu wao,
Kwama nung funer cero firen dii Kwama dor bwini wabka, kange bwini cak-cake na bi bwe nifiroce, wo bimum bilenke ki fiye bwini wucakke ciye.
19 kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameyadhihirisha kwao.
wori dikero daten cii nyimom dor Kwama re yanglang fiye cii wiye. Wori Kwama fwetang cii nen bilenke.
20 Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. (aïdios g126)
Wori kabal cero wo twelum meu, bi kan cero bak-ni-bakeu wi fiya fwelka kale, mor fwelka kwilenti. Nobo buro ci man ki tabanka fiti. (aïdios g126)
21 Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kama ndiye Mungu wala hawakumshukuru, bali fikira zao zimekuwa batili na mioyo yao ya ujinga ikatiwa giza.
Dike bwiye, bwentano cii nuwa ti ciin nyumom Kwama, dila cii nebo dur a nyo con Kwama. Kaka cii nung cinen buka kangek. Nyo, lacin ciin yilam kule, mor nere ciye, neer cero manki bulanka kumta cili tam ci.
22 Ingawa walijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga
Cii tu dor cero ti na nobo ki nyomka, dila ciin yilam kule tini.
23 na kubadili utukufu wa Mungu aishiye milele kwa sanamu zilizofanywa zifanane na mwanadamu ambaye hufa, na mfano wa ndege, wanyama na viumbe vitambaavyo.
Ciin fulongum duktonka Kwama nii diriye ki cer kanka dikero wo mani da diriye, na nii fir, bilibetinim, biyuwaro wo nako na'are kange wo kwob ti ki fwere.
24 Kwa hiyo, Mungu akawaacha wazifuate tamaa mbaya za mioyo yao katika uasherati, hata wakavunjiana heshima miili yao wao kwa wao.
Last nyo Kwama nekenci fiye dilanka, yeika nerek, cii ne bwiti dotange bwiti cii.
25 Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen. (aiōn g165)
Ciin fulongum bilenke Kwama ki cwerke, take Ciin ma wabka kange bwanka dike wo fwelfwele, nyi Nii Fweli wo diker bilanka diri. A ti nyo. (aiōn g165)
26 Kwa sababu hii, Mungu aliwaacha wavunjiane heshima kwa kufuata tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao wakabadili matumizi ya asili ya miili yao wakaitumia isivyokusudiwa.
Dor dikero wo, Kwama neken cii fite kayaka kange dotange, la natum ciyebo fulongum dam kurambo wo lerumme, la nwiye ki da kange nawiye
27 Vivyo hivyo wanaume pia wakiacha matumizi ya asili ya wanawake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume wakafanyiana matendo ya aibu na wanaume wengine nao wakapata katika maisha yao adhabu iliyowastahili kwa ajili ya upotovu wao.
La nabarum ciyebo ken fulongum dam kurambo lerum nawiye kange bwayile, yilam bwayile kange bwayile cima kayaka ti. Wo co nabarubo dati kange nabarube cii ma nangen yeitumer ti, cii biye dike ci fiye ti.
28 Nao kwa kuwa hawakuona umuhimu wa kudumisha ufahamu wa Mungu, yeye akawaachilia wafuate akili za upotovu, watende mambo yale yasiyostahili kutendwa.
Wori cii ciyabo kange Kwama mor yime ciye, Kwama neken cii fiye litanka nerek naci ma dikewo bwira bwira.
29 Wakiwa wamejawa na udhalimu wa kila namna, uasherati, uovu, tamaa mbaya na hila. Wamejawa na husuda, uuaji, ugomvi, udanganyifu, hadaa na nia mbaya. Wao pia ni wasengenyaji,
Cii diim ki bwini wucakke, Cil, nung-nung, biciren, kange kiye. Ciin nob koreb, twalkanka, bolkanka kange bwiran neret.
30 wasingiziaji, wanaomchukia Mungu, wajeuri, wenye kiburi na majivuno, wenye hila, wasiotii wazazi wao,
Ciin nob cuwarumeb, kange mwelka, nob kiyeb Kwama, wo kung kiyan tiye, nob kwici duwe, kange nob mwelka dikero bwir, nobo ko bwangka tebcibe.
31 wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.
Nobo man ki nyomka, cii kebo diker ciyaka, wo mani cwi bwiti, man ki cika bwine.
32 Ingawa wanafahamu sheria ya haki ya Mungu kwamba watu wanaofanya mambo kama hayo wanastahili mauti, si kwamba wanaendelea kutenda hayo tu, bali pia wanakubaliana na wale wanaoyatenda.
Ki nyoka cik dike Kwama ki nobo ma dikewo tiye ciin daten warke bwarek. Kebo ka maka dike wo, ciin ti bwaka bwiko nobo matiyeu.

< Warumi 1 >