< Warumi 6 >
1 Tuseme nini basi? Je, tuendelee kutenda dhambi ili neema ipate kuongezeka?
Tiyanje yenu eshi? Lendelele humbibhi huje owene wanjelele?
2 La hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutawezaje kuendelea kuishi tena katika dhambi?
Haa. Ata tatifwiye hu mbibhi tibhawezye ntele adele hwenyo?
3 Au hamjui ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?
Huje semumenye aje bhala bhabhahojile hwa Kilisiti bhahojile hufwa yakwe?
4 Kwa hiyo tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kwa utukufu wa Baba, vivyo hivyo sisi nasi pia tupate kuenenda katika upya wa uzima.
Taliti syelelwe tetinomwene ashilile owoziwa hufwa. Eli lyabhombwilwe aje eshi huje shila oKilisiti shabhosewe afume hufwa ashilile otutumusu owa Baba, aje eshi natetiwezye ajende huu pya owa dele.
5 Kwa maana ikiwa tumeungana naye katika mauti yake, bila shaka tutaungana naye katika ufufuo wake.
Eshi nkashile tikhomenywe peka nawo hushifwani eshefwa yakwa, nantele taikhomanyiziwa hufwa yakwe.
6 Kwa maana twajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja naye ili ule mwili wa dhambi upate kuangamizwa, nasi tusiendelee kuwa tena watumwa wa dhambi.
Ate timenyu eshi, outu wetu owehale wakhobhehenywe pamo nawo, aje eshi obele ogwe mbibhi gunankanye. Eli lyafumile aje neshi tisihwendelele bhatumwa bhe mbibhi.
7 Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
Omwene yali afwiye abhombwilwe wehaki alengane nezambe.
8 Basi ikiwa tulikufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba pia tutaishi pamoja naye.
Eshi nkashele tifwiye pamo no Kilisiti, tihwamini aje tidela pamo nomwene nantele.
9 Kwa maana tunajua kwamba Kristo, kwa sababu alifufuliwa kutoka kwa wafu, hawezi kufa tena; mauti haina tena mamlaka juu yake.
Timenye aje oKilisiti azyozyelwe afume hwabha fwe saga fwe nantele efwa saga ehutabhala nantele.
10 Kifo alichokufa, aliifia dhambi mara moja tu, lakini uzima alio nao anamwishia Mungu.
Hwa huje eshi ejango eyafwe shafwiye humbibhi, afwiye limo hwajili ya bhoti hata eshi edelo zyadela adela hwajili ya Ngolobhe.
11 Vivyo hivyo, jihesabuni wafu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.
Hwi dala lyelyo, namwe huje muhwanziwa ahwibhazye aje bhafwe hu mbibhi, aje bhomi hwa Ngolobhe hwa Kilisiti oYesu.
12 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii tamaa mbaya.
Hwa huje esho esiluhusu ezambe etabhale ombele gwaho aje obhene shishi hu nyonyo zyakwe.
13 Wala msivitoe viungo vya miili yenu vitumike kama vyombo vya uovu vya kutenda dhambi, bali jitoeni kwa Mungu, kama watu waliotolewa kutoka mautini kuingia uzimani. Nanyi vitoeni viungo vya miili yenu kwake kama vyombo vya haki.
Osihwefwe esehemu ezyembele gwaho humbibhi nashi evyombo vyasaga viline haki. Eshi hwifumi mwemwe hwa Ngolobhe. Nashi bhali bhomi afume hufwe eshi zifumi esehemu ezye mabele genyu abhe vyombo vyehaki hwa Ngolobhe.
14 Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.
Mganje aileshe zambe ebha tabhale hwa huje sagamli pasi yendajizyo, huje pasi wene.
15 Ni nini basi? Je, tutende dhambi kwa kuwa hatuko chini ya sheria bali chini ya neema? La, hasha!
Yenu eshi tibhombe embibhi hwa huje sutihweli pansi ye ndajizyo, huje pasi ayewene? Ha aa.
16 Je, hamjui kwamba mnapojitoa kwa mtu yeyote kama watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa yule mnayemtii, aidha watumwa wa dhambi, ambayo matokeo yake ni mauti, au watumwa wa utii ambao matokeo yake ni haki?
Semmenye aje hwamwene yuoyo yali muhwifumya mwemwe nashi atumwi mwamuli mwemwe mubhabhe bhatumi bhakwe omwene, yahwanziwa humwogope? Eshi lyoli hata nkashile amwemuli bhatumwa bhezambe eyo yebha twalila hufwa naje bhatumwa mwa bheshishi wauwatwalila huhaki.
17 Lakini Mungu ashukuriwe kwa kuwa ninyi ambao kwanza mlikuwa watumwa wa dhambi, mmekuwa watii kutoka moyoni kwa mafundisho mliyopewa.
Hwa huje asalifiwe Ongolobhe! Huje mwali bhatumwa bhe mbibhi, eshi mwahogope afume humwoyo ela yeli yefudizyo zyamwapewilwe.
18 Nanyi, mkiisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mmekuwa watumwa wa haki.
Mbhombwilwe wene afume mbibhi na mbhombwilwe ubhe bhatumwa bhi haki.
19 Ninasema kwa namna ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wenu wa hali ya asili. Kama vile mlivyokuwa mkivitoa viungo vya miili yenu kama watumwa wa mambo machafu na uovu uliokuwa ukiongezeka zaidi, hivyo sasa vitoeni viungo vyenu kama watumwa wa haki inayowaelekeza mpate kutakaswa.
Eyanga nashi je mtu owe sababu ye mabhine age mabele getu huje nashi shila shamwahefwizye eviungo evyambelegwenyu abhe bhatumwa bhe chafu ne mbibhi zya zili nashi ezyo, eshifumi eviungo evye mabelegenyu aje mulibhatumwa bhe haki hu wozwo.
20 Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki.
Hwa hubhe pamwali bhatumwa bhembibhi mwali wene huje nelyoli.
21 Lakini mlipata faida gani kwa mambo hayo ambayo sasa mnayaonea aibu? Mwisho wa mambo hayo ni mauti.
Hu siku ezyo, mwali nidodolo lyali hu hunongwa gali geshi mulola esoni hwego? Hwa huje efumilo yenongwa eyo hufwe.
22 Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele. (aiōnios )
Hwa hubhe eshi mubhombwilwe wene shibhala ne mbibhi na mubhombeshe abhe bhatumwa bha Ngolobhe, mli nidodola huajili yewozye. Afume huwoni owewila. (aiōnios )
23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )
Hwa huje emposhezi ye mbibhi hufwe eshiopezi owu wene wilawila owa Ngolobhe huje womi owe wilawila hwa Kilisiti oYesu Ogosi wetu. (aiōnios )