< Warumi 4 >
1 Tuseme nini basi, kuhusu Abrahamu baba yetu kwa jinsi ya mwili: yeye alipataje kujua jambo hili?
Cóż tedy, rzeczemy, znalazł Abraham, ojciec nasz według ciała?
2 Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, basi, anacho kitu cha kujivunia, lakini si mbele za Mungu.
Bo jeźli Abraham z uczynków jest usprawiedliwiony, ma się czem chlubić, ale nie u Boga.
3 Kwa maana Maandiko yasemaje? “Abrahamu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”
Albowiem cóż Pismo mówi? Uwierzył Abraham Bogu i przyczytano mu to za sprawiedliwość.
4 Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.
A robiącemu zapłata nie bywa przyczytana podług łaski, ale podług długu;
5 Lakini kwa mtu ambaye hafanyi kazi na anamtumaini Mungu, yeye ambaye huwahesabia waovu haki, imani yake inahesabiwa kuwa haki.
Nie robiącemu zaś, lecz wierzącemu w tego, który usprawiedliwia niepobożnego, przyczytana bywa wiara jego za sprawiedliwość.
6 Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena juu ya baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo:
Jako i Dawid powiada, że błogosławieństwo człowieka jest, któremu Bóg przyczyta sprawiedliwość bez uczynków, mówiąc:
7 “Wamebarikiwa wale ambao wamesamehewa makosa yao, ambao dhambi zao zimefunikwa.
Błogosławieni, których odpuszczone są nieprawości, a których zakryte są grzechy;
8 Heri mtu yule Bwana hamhesabii dhambi zake.”
Błogosławiony mąż, któremu Pan grzechu nie przyczyta.
9 Je, huku kubarikiwa ni kwa wale waliotahiriwa peke yao, au pia na kwa wale wasiotahiriwa? Tunasema, “Imani ya Abrahamu ilihesabiwa kwake kuwa haki.”
To tedy błogosławieństwo tylko na obrzezkę przychodzi, czy też na nieobrzezkę? Gdyż mówimy, iż wiara Abrahamowi jest przyczytana za sprawiedliwość.
10 Je, ni lini basi ilipohesabiwa kwake kuwa haki? Je, ilikuwa kabla au baada ya kutahiriwa kwake? Haikuwa baada, ila kabla hajatahiriwa.
Jakoż mu tedy jest przyczytano? Gdy był w obrzezce, czyli w nieobrzezce? Nie w obrzezce, ale w nieobrzezce.
11 Alipewa ishara ya tohara kuwa muhuri wa haki aliyokuwa nayo kwa imani hata alipokuwa bado hajatahiriwa. Kusudi lilikuwa kumfanya baba wa wote wale waaminio pasipo kutahiriwa na ambao wamehesabiwa haki.
I przyjął znak obrzezki za pieczęć sprawiedliwości onej wiary, która była w nieobrzezce, na to, aby był ojcem wszystkich wierzących w nieobrzezce, aby i onym przyczytana była sprawiedliwość;
12 Vivyo hivyo awe baba wa wale waliotahiriwa ambao si kwamba wametahiriwa tu, bali pia wanafuata mfano wa imani ambayo Baba yetu Abrahamu alikuwa nayo kabla ya kutahiriwa.
I aby był ojcem obrzezki, nie tylko tych, którzy są z obrzezki, ale też i tych, którzy chodzą stopami wiary ojca naszego Abrahama, która była w nieobrzezce.
13 Kwa maana ile ahadi kwamba angeurithi ulimwengu haikuja kwa Abrahamu au kwa wazao wake kwa njia ya sheria bali kwa njia ya haki ipatikanayo kwa imani.
Albowiem nie przez zakon się stała obietnica Abrahamowi albo nasieniu jego, aby był dziedzicem świata, ale przez sprawiedliwość wiary.
14 Kwa maana ikiwa wale waishio kwa sheria ndio warithi, imani haina thamani na ahadi haifai kitu,
Bo jeźli ci, którzy są z zakonu, dziedzicami są, tedyć zniszczała wiara i wniwecz się obróciła obietnica.
15 kwa sababu sheria huleta ghadhabu. Mahali ambapo hakuna sheria hakuna makosa.
Gdyż zakon gniew sprawuje; albowiem gdzie zakonu nie masz, tam ani przestępstwa.
16 Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya imani, ili iwe ni kwa neema, na itolewe kwa wazao wa Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria peke yao, bali pia kwa wale walio wa imani ya Abrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote.
Przetoż z wiary jest dziedzictwo, aby było z łaski, i żeby była warowna obietnica wszystkiemu nasieniu, nie tylko temu, które jest z zakonu, ale i temu, które jest z wiary Abrahamowej, który jest ojcem nas wszystkich;
17 Kama ilivyoandikwa: “Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.” Yeye ni baba yetu mbele za Mungu, ambaye yeye alimwamini, yule Mungu anaye fufua waliokufa, na kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.
(Jako napisano: Ojcem wielu narodów wystawiłem cię) przed Bogiem, któremu uwierzył, który ożywia umarłe i który przywołuje te rzeczy, których nie masz, i jakoby były.
18 Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, Abrahamu akaamini, akawa baba wa mataifa mengi, kama alivyoahidiwa kwamba, “Uzao wako utakuwa mwingi mno.”
Który (Abraham) przeciwko nadziei w nadzieję uwierzył, że się stanie ojcem wielu narodów według tego, co mu powiedziano: Tak będzie nasienie twoje.
19 Abrahamu hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya mwili wake, ambao ulikuwa kama uliokufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia moja, au alipofikiri juu ya ufu wa tumbo la Sara.
A nie będąc słabym w wierze, nie patrzył na ciało swoje już obumarłe, mając około stu lat, ani na obumarły żywot Sary.
20 Lakini Abrahamu hakusitasita kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,
O obietnicy tedy Bożej nie wątpił z niedowiarstwa; ale się umocnił wiarą i dał chwałę Bogu,
21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.
Będąc też tego pewien, że cokolwiek on obiecał, mocen jest i uczynić.
22 Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”
Przetoż przyczytano mu to za sprawiedliwość.
23 Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,
A nie napisano tego dla niego samego, iż mu to przyczytano,
24 bali kwa ajili yetu sisi pia ambao Mungu atatupa haki, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.
Ale i dla nas, którym ma być przyczytano, którzy wierzymy w tego, który wzbudził Jezusa, Pana naszego, z martwych;
25 Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuliwa kutoka mauti ili tuhesabiwe haki.
Który wydany jest dla grzechów naszych, a wstał z martwych dla usprawiedliwienia naszego.