< Warumi 3 >
1 Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Au kuna thamani gani katika tohara?
Vulotu nzi Majuda vuva Kwete? Intuso nzi ina hamupato?
2 Kuna faida kubwa kwa kila namna! Kwanza kabisa, Wayahudi wamekabidhiwa lile Neno halisi la Mungu.
Inkando kuhi no kuhi. Chentanzi kuzonse, Majuda vava vikiwa manzwi azwa kwa Ireeza.
3 Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu?
Cwale kambe Majuda kana vavena Intumelo? Nji kuti kusa zumina kwavo mukufosise ku sepahala kwa Ireeza?
4 La hasha! Mungu na aonekane mwenye haki, na kila mwanadamu kuwa mwongo, kama ilivyoandikwa: “Ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena, na ukashinde utoapo hukumu.”
Kenzi kuvi vulyo. Kono, musiye Ireeza a wanike kuva wina initi, Niha kuva kuti muntu ni muntu wina mapa. Sina hakuva ñoletwe, ili kuti muvoniswe kuluka mu manzwi enu, ni kukoma chimweza kuatulwa.
5 Ikiwa uovu wetu unathibitisha haki ya Mungu waziwazi, tuseme nini basi? Je, Mungu kuileta ghadhabu yake juu yetu ni kwamba yeye si mwenye haki? (Nanena kibinadamu.)
Kono heva kusa luka kwetu niku tondeza kuluka kwe Ireeza, tuwola kuwamba nzi? Kana Ireeza kalukite hanyandisa cha kuvenga? Niwamba cha kuya ka mano a muntu.
6 La hasha! Kama hivyo ndivyo ilivyo, Mungu angehukumuje ulimwengu?
Sanzi nikuvi vulyo! Hakuva vulyo Ireeza ka watule vule inkanda?
7 Mtu aweza kuuliza, “Kama uongo wangu unasaidia kuonyesha kweli ya Mungu na kuzidisha utukufu wake, kwa nini basi mimi nahukumiwa kuwa mwenye dhambi?”
Kono heva vuniti vwe Ireeza cha mapa angu vuleta kulumba Ireeza kusamani, chinzi hanisi atulwa kuva ni muezalivi?
8 Nasi kwa nini tusiseme, kama wengine wanavyotusingizia kuwa tunasema, “Tutende maovu ili mema yapate kuja?” Wao wanastahili hukumu yao.
Chinzi kusa wamba, sina hatuwambiwa cha mapa kuwamba, mi sina vamwi havazumina kuti tuwamba, “Tupange vuvi, nji kuti vulotu vwize”? Inkatulo havali ilukite.
9 Tusemeje basi? Je, sisi ni bora kuwaliko wao? La hasha! Kwa maana tumekwisha kuhakikisha kwa vyovyote kwamba Wayahudi na watu wa Mataifa wote wako chini ya nguvu ya dhambi.
Linu chinzi? Tulizwisa kuvamwi? Nanta. Chituva hambilizi kale ma Juda ni ma Gerike vonse, cha kuva mwi konde lya chivi.
10 Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
Ichi china vuti kamuchi va ñolelwe: “Kakwina yolukite, nanga yenke.
11 Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu, hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.
Kakwina yo zuwisisa. Kakwina yogana Ireeza.
12 Wote wamepotoka, wote wameoza pamoja; hakuna atendaye mema, naam, hakuna hata mmoja.”
Vonse vava sanduki. Hamwina vava sanduki kusava ni ntuso. Kakwina yopanga vulotu, nanta, nanga yenke.
13 “Makoo yao ni makaburi wazi; kwa ndimi zao wao hufanya udanganyifu.” “Sumu ya nyoka iko midomoni mwao.”
Mimino yavo ivita lyi yalukite. Malimi avo ava chengi. Chifanu che nzoka china kunsi ye milomo.
14 “Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.”
Tuholo twavo twizwile zikuto ni vuvi.
15 “Miguu yao ina haraka kumwaga damu;
Matende avo mahuvilila kukwi tila malaha.
16 maangamizi na taabu viko katika njia zao,
Insinyeho ni masukuluka zina mwi nzila zavo.
17 wala njia ya amani hawaijui.”
Ava vantu kaveni kwiziva inzila ye nkozo.
18 “Hakuna hofu ya Mungu machoni pao.”
Kava tiyi Ireeza mumenso avo.”
19 Basi tunajua ya kwamba chochote sheria inachosema, inawaambia wale walio chini ya sheria ili kila kinywa kinyamazishwe na ulimwengu wote uwajibike kwa Mungu.
Hanu chitwizi zonse ziuwamba mulawo, uwamba kuvena mwi konde lyamulawo. Ili nji vaka lyo kuta kuti tuholo tonse twi yale, ili kuti inkanda yonse ive ni vuikalavelo kwa Ireeza.
20 Kwa hiyo hakuna binadamu hata mmoja atakayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa matendo ya sheria, kwa maana sheria hutufanya tuitambue dhambi.
Chelyo ivaka kakwina muntu nihaiva yenke yete avikwe yo lukite cha mitendo ya mulawo mu menso akwe. Cha mulawo kwiza mano achivi.
21 Lakini sasa, haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa pasipo sheria, ambayo Sheria na Manabii wanaishuhudia.
Kono kunde ya mulao kulika kwa Ireeza kuve zivahanzwa. Kuva pakwa mulawo ni maporofita,
22 Haki hii itokayo kwa Mungu hupatikana kwa Yesu Kristo kwa wote wamwaminio. Kwa maana hapo hakuna tofauti,
uko, njikuluka kwe Ireeza che ntumelo kwa Jesu Kelesite ku vonse vazumina. kakuli ka kwina muva fapene.
23 kwa kuwa wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,
Vonse vava pangi chivi ni kwiza kusa wana hande ikanya ya Ireeza
24 wanahesabiwa haki bure kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu.
Vavikitwe cha kuluka feela cha chishemo chakwe cha kuhazwa kwina mwa Kelesite Jesu.
25 Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabihu ya upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa.
Ireeza ava leti Keresite Jesu kutiave chitavelo che ntumelo mumalaha akwe. Ava hi Keresite kuti a ve vupaki vo kuluka. kakuli kana va loli zivi
26 Alifanya hivyo ili kuonyesha haki yake wakati huu, ili yeye awe mwenye haki na mwenye kumhesabia haki yule anayemwamini Yesu.
zo kuma sule cha vuiswalo vwakwe. Izi ziva pangahali che mboniso zakuluka kwakwe mweinu inako. Izi zivena vuti ili kuti atondeze kuluka kwakwe, ni kutondeza kuti ushemuva zumwi ni zumwi che ntumelo ya Jesu.
27 Basi, kujivuna kuko wapi? Kumewekwa mbali. Kwa sheria gani? Je, ni kwa ile ya matendo? La hasha, bali kwa ile sheria ya imani.
Kulitemba kwina kuhi? kuvazwisiwa. Cho wuhi mulawo? Ya mitendo? Nanta, kono cha mulawo we ntumelo.
28 Kwa maana twaona kwamba mwanadamu huhesabiwa haki kwa njia ya imani wala si kwa matendo ya sheria.
Tu kolwa kuti muntu uvikwa yo lukite che ntumelo nikusena mitendo yo mulawo.
29 Je, Mungu ni Mungu wa Wayahudi peke yao? Je, yeye si Mungu wa watu wa Mataifa pia? Naam, yeye ni Mungu wa watu wa Mataifa pia.
Kapa Ireeza nji Ireeza wa ma Juda vulyo? Kapa kana njiyena Ireeza wa machava? Eni, wa machava navo.
30 Basi kwa kuwa tuna Mungu mmoja tu, atawahesabia haki wale waliotahiriwa kwa imani na wale wasiotahiriwa kwa imani iyo hiyo.
Heva, initi, Ireeza yenke, vavayi mumupato kavapange valukite che ntumelo, ni vasena vavayi mumupato che ntumelo.
31 Je, basi ni kwamba tunaibatilisha sheria kwa imani hii? La, hasha! Badala yake tunaithibitisha sheria.
Nji kuti tumana mulawo che ntumelo? Kete ni kuve vulyo, Kono, tukoza mulawo.