< Warumi 2 >
1 Kwa hiyo huna udhuru wowote, wewe utoaye hukumu kwa mwingine, kwa maana katika jambo lolote unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu unafanya mambo hayo hayo.
Seepärast ei ole sinulgi mingit vabandust, kes sa ka iganes oled, sina, kes mõistad kohut! Sest milles sa teise üle kohut mõistad, selles mõistad sa süüdi ka ennast, sest sina, kes sa kohut mõistad, teed sedasama!
2 Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.
Me teame, et Jumala kohtuotsus sääraste tegude tegijale on õige.
3 Hivyo wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?
Sina aga, kes teiste üle kohut mõistad, ise aga sedasama teed, kas sa arvad, et sa saad põgeneda Jumala kohtu eest?
4 Au waudharau wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu wake, bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza kwenye toba?
Või põlgad sa tema helduse, sallivuse ja pika meele rohkust? Kas sa ei saa aru, et Jumala heldus juhib sind meelt parandama?
5 Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa.
Sa kogud enesele viha oma südame kanguse ja kahetsuseta südamega Jumala viha päevaks, kui tema õiglane kohus saab avalikuks.
6 Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
Jumal „tasub igaühele ta tegude järgi“:
7 Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
igavest elu neile, kes püsiva heategemise kaudu püüdlevad kirkust, au ja kadumatust, (aiōnios )
8 Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
ent viha ja raevu neile, kes on isekad, põlgavad ära tõe ja järgivad kurja.
9 Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,
Valu ja vaev saab osaks igale inimhingele, kes teeb kurja – esmalt juudile, siis mittejuudile,
10 bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa.
kuid kirkus, au ja rahu igaühele, kes teeb head – esmalt juudile, siis mittejuudile.
11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.
Sest Jumal ei tee vahet isikute vahel!
12 Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote wale waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.
Kes teevad pattu Seadust tundmata, ka hukkuvad Seadust tundmata, ja kes teevad pattu seadusealustena, mõistetakse süüdi Seaduse alusel.
13 Kwa maana si wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria ndio watakaohesabiwa haki.
Ei ole ju Seaduse kuuljad õiged Jumala ees, vaid Seaduse täitjad mõistetakse õigeks.
14 (Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria.
Seepärast kui mittejuudid, kellel Seadust ei ole, loomusunnil teevad seda, mida Seadus nõuab, on nad Seadust omamata iseendale seaduseks.
15 Wao wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.)
Nad näitavad, et Seaduse nõuded on kirjutatud neile südamesse. Seda kinnitab ka nende südametunnistus, kui mõtted neid vaheldumisi süüdistavad või kaitsevad.
16 Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili yangu.
Minu evangeeliumi kohaselt sünnib see päeval, kui Jumal Jeesuse Kristuse läbi mõistab kohut inimeste saladuste üle.
17 Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu,
Kuidas on lugu sinuga, kes sa nimetad end juudiks? Sa loodad Seadusele, sa kiitled Jumalast,
18 kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,
sa tunned tema tahet ja oskad eristada olulist, sest sa oled seda Seadusest õppinud.
19 kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,
Sul on kindel veendumus, et sina oled pimedate teejuht, pimeduses olijate valgus,
20 mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria,
arutute juhendaja, väetimate õpetaja, sest on ju teadmine ja tõde sinu päralt Seaduse kujul.
21 basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba?
Kuidas siis sina, kes sa õpetad teisi, ennast ei õpeta? Sa kuulutad: „Ära varasta!“, aga ise varastad?
22 Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu?
Sa ütled: „Ära riku abielu!“, aga ise rikud abielu? Sa jälestad ebajumalaid, aga riisud Templit?
23 Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?
Sa uhkustad Seadusega, aga oma üleastumisega Seadusest sa heidad halba varju Jumalale!
24 Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”
Sest nagu Pühakirjas öeldakse: „Teie pärast teotatakse Jumala nime mittejuutide seas!“
25 Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.
Ümberlõikamisest on ju tõesti kasu, kui sa toimid Seaduse järgi. Aga kui sa Seadust rikud, ei ole sa millegi poolest parem ümberlõikamatuist.
26 Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?
Seepärast, kui mõni ümberlõikamatu Seaduse nõudeist kinni peab, eks loeta siis ta võrdseks ümberlõigatutega?
27 Ndipo wale ambao hawakutahiriwa kimwili lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi, ambao ingawa mmetahiriwa na kuijua sana sheria ya Mungu iliyoandikwa, lakini mwaivunja.
Ja see ihu poolest ümberlõikamatu, kes järgib Seadust, mõistab kord kohut sinu üle, kes sa rikud Seadust kirjatähest ja ümberlõikamisest hoolimata.
28 Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha nje au cha kimwili.
Sest juut ei ole ju see, kes seda on väliselt, ja ümberlõikamine see, mida ihul võib näha,
29 Lakini mtu ni Myahudi alivyo ndani, nayo tohara ya kweli ni jambo la moyoni, ni la Roho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu bali kwa Mungu.
vaid juut on see, kes seda on sisemiselt, ja ümberlõikamine on südame ümberlõikamine Vaimu läbi, mitte kirjutatud käsu läbi. Selline saab kiituse mitte inimestelt, vaid Jumalalt.