< Warumi 2 >

1 Kwa hiyo huna udhuru wowote, wewe utoaye hukumu kwa mwingine, kwa maana katika jambo lolote unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu unafanya mambo hayo hayo.
Hlang boeih lai aka tloek aw basa tloel la na om coeng, hlang tloe te me nen lae lai na tloek. Amah te tla kho na boe tih lai aka tloek tah namah na boe coeng.
2 Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.
Tedae tebang khosa rhoek soah Pathen kah laitloeknah loh oltak ningla a om te m'ming uh.
3 Hivyo wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?
He he na thuep dae a? Aw nang hlang tebang khosak neh aka saii tih amih soah lai aka tloek, te nen a Pathen kah laitloeknah te na poenghal eh?
4 Au waudharau wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu wake, bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza kwenye toba?
Amah kah rhennah neh a uehnah, thinsennah aka soep te nim na sit? Yutnah dongah nang aka mawt ham Pathen kah a kodam te na mangvawt nim.
5 Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa.
Tedae na mangkhaknah neh thinko a cailak vanbangla kosi khohnin kah kosi neh Pathen kah laitloeknah dongah pumphoenah ni na tung coeng.
6 Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
Amah loh pakhat rhip he a bibi tarhing la a thuung ni.
7 Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Bibi then kah uehnah nen ngawn tah thangpomnah, hinyahnah, aka nguel dungyan hingnah ni a toem uh. (aiōnios g166)
8 Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Te phoeiah koevoeinah neh oltak te a aek tih boethae la aka caemtuh tah kosi neh thinsanah,
9 Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,
phacip phabaem neh citcai te lamhma ah Judah, te phoeiah Greek neh boethae aka thoeng sak hlang kah hinglu boeih soah tla ni.
10 bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa.
Tedae thangpomnah, hinyahnah neh ngaimongnah tah boethen aka saii boeih neh lamhma la Judah, te phoeiah Greek taengah om ni.
11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.
Pathen taengah maelhmai sawtnah a om moenih.
12 Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote wale waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.
Aka tholh khungrhap boeih tah khungrhap la poci van vetih olkhueng hmuiah aka tholh rhoek boeih tah olkhueng loh lai a tloek pah ni.
13 Kwa maana si wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria ndio watakaohesabiwa haki.
Olkhueng aka yakung rhoek loh Pathen taengah dueng pawt tih, olkhueng aka vai ni a tang eh.
14 (Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria.
Namtom rhoek loh olkhueng a khueh uh pawt vaengah a coengnah neh olkhueng te a vai uh. Amih loh olkhueng la khueh uh pawt cakhaw amih taengah olkhueng la om coeng.
15 Wao wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.)
Amih thinko ah a tarhit olkhueng kah khoboe te amamih loh a phoe. Amamih kah mingcimnah neh pakhat kah poeknah laklo ah a mingpuei tih paelnaeh uh thae, huul uh thae.
16 Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili yangu.
Jesuh Khrih rhangneh kai kah olthangthen bangla hlang rhoek kah olhuep te Pathen loh lai a tloek khohnin ah tueng ni.
17 Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu,
Tedae namah loh Judah na ti atah, olkhueng na pangtung tih Pathen dongah na pomsang.
18 kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,
A kongaih te na ming tih olkhueng neh n'thuituen vaengah a tanglue te na soepboe.
19 kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,
Namah neh namah te na uep na tih mawtkung mikdael rhoek, yinnah khuiah vangnah la om ham,
20 mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria,
Aka ang rhoek hlinsaikung neh cahmang rhoek kah saya, mingnah lungsak neh olkhueng dongah oltak te na dang tih,
21 basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba?
Hlang tloe aka thuituen tangloeng loh namah na thuituen uh mahnim? Huen pawt ham aka hoe loh na huen nama?
22 Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu?
Samphaih boeh aka ti loh na samphaih, mueirhol aka tuei loh bawkim te na muk nama?
23 Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?
Olkhueng dongah aka pomsang loh boekoeknah neh olkhueng rhangneh Pathen te yah na bai.
24 Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”
Nangmih kongah ni Pathen kah ming tah namtom taengah a daek tangtae vanbangla a soehsal uh.
25 Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.
Olkhueng te na hingpuei atah yahvinrhetnah khaw hoeikhang ngawn dae olkhueng dongah boekoekkung la na om atah nang kah yahvinrhetnah te pumdul la poeh.
26 Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?
Te dongah pumdul loh olkhueng kah rhilam rhoek te a tuem atah anih kah pumdul te yahvinrhetnah la nawt mahpawt nim?
27 Ndipo wale ambao hawakutahiriwa kimwili lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi, ambao ingawa mmetahiriwa na kuijua sana sheria ya Mungu iliyoandikwa, lakini mwaivunja.
A coengnah dongah pumdul dae olkhueng aka soep sak loh, cabu neh yahvinrhetnah rhangneh olkhueng dongkah boekoekkung nang te lai han tloek ni.
28 Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha nje au cha kimwili.
Judah hlang a mingpha la om he moenih. Pumsa ah aka mingpha yahvinrhetnah te moenih.
29 Lakini mtu ni Myahudi alivyo ndani, nayo tohara ya kweli ni jambo la moyoni, ni la Roho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu bali kwa Mungu.
Tedae a olhuep dongkah Judah hlang ni a ti. Te phoeiah cabu nen pawt tih mueihla ah thinko yahvinrhetnah ni a ti. Anih kah thangthennah tah hlang lamkah pawt tih Pathen taeng lamkah ni.

< Warumi 2 >