< Warumi 2 >
1 Kwa hiyo huna udhuru wowote, wewe utoaye hukumu kwa mwingine, kwa maana katika jambo lolote unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu unafanya mambo hayo hayo.
Na weu mwi manki taka fiti mo nii fir, mo nii wo ma bolang tiye, dirkero mwi ma warke dor kangere, kuwa nen mwki bwimo. Wori mo nii bolangeu mo ma dii ke cuwo ti.
2 Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.
Dila bin nyumom bolang kwamako bilenke, an bou yaru dor nobo marang dike wo tiye.
3 Hivyo wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?
Dila ti yora, mo nii, wo ma bolang ti dor nobo ma dike wo tiye bwenno mo ki mai ken duwaleu. Mo toti ri mwan kam funer Kwamara?
4 Au waudharau wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu wake, bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza kwenye toba?
Kakaa mwiki cuwekang luma ceko, wo bou ki tibranka warke ce, kange birom ne ce? Mo nyombo mwiki luma neceu ki nung na ya kinnen yiloka ka?
5 Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa.
Wori kwici ka duwe mweko kange ner mwero man ki yiloka mo ki tang dor mwero nin funer, bi diye funere, kakuk cerkangka bolang wucakke Kwama.
6 Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
Can ya nobo dong dong dike nii mane.
7 Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
ki nobo wuro ma nangen luma man ki kurongka, ciin fiya dor ciyero nin caklangka, bwayilen kange wucake, can ne ci dume diri. (aiōnios )
8 Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Dila nobo cwi dor tiye, wuro ko ciyaka bilenke, ri la ciya kange bwini bilenkeu, funer kange kwenanka wo cilong cilonge an bo cii nen.
9 Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,
Kwama an yirau ki dikero bwir kange fir neret ki dume wo ma cile, ater ki Yahudawa ri nimde Helinawa.
10 bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa.
Dila caklanka kange bwayilen, kange fuwor neret ciyan yi kange nobo gwam wo ma nangen do keneu, ater ki Yahudawa nimde Helinawa.
11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.
Wori Kwama kebo nii nanne.
12 Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote wale waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.
Ki nobo gwam wo ma bwiranke kebo ki bolangeu, ciyan bwiya kebo ki bolang, ki nobo wuro ma bwiranke mor bolage a war cinen ki bolang
13 Kwa maana si wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria ndio watakaohesabiwa haki.
Di kebo nobo nuwa bolangti nobo wucak kabum Kwama me, dila nobo ma dikero bolanka tokke ti ciya kaaka tiye.
14 (Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria.
Dila no nobo kumtacili wo nyombo bolange, dila ciin ma dike dong dong daten bolange ce nur yime ce, ciin kwom bolangko dorcer, bwen duwal bolang man dor cireu.
15 Wao wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.)
Ki wo, ciin nungi dikero bolanko cwi tiyeu mulangum mulange mor nere ce. Diker mor nere ciye macinen warke ti, dume ne ceu ken neci warketi kange kwa nere ciyeko kua cii kaka tikang ci dor cero nin
16 Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili yangu.
kange Kwama nin. Wuro an bwi bidiye Kwama a ma bolang dike yurangum yurange wo nobo ce gwam, dor fulen keret Yecu Almasiya.
17 Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu,
Bwen duwal mo co dor mweroti Bayahude la mo yim dor bolange mwi kwilangti ki ki Kwama,
18 kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,
ri mo nyumom dike co cwitiye, di mon ciya kange dike dong donge wori cin merang mwen mor bolange;
19 kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,
Bwen no mon ciya moki bwimwi mo nii tika kabak fugmanin ri, filang fiye nobo wo mor kumtacili,
20 mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria,
wo ywel kule tini tiye, nii merangka bi beiyo bi duwatini, la kom wi ki nyomka kange wo bilenke ce mor bolange la wo ke yim kimem bo nyi?
21 basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba?
Kom nobo merang kangembo nin tiyeu, kom merangbo dor kimero nina? kom wo kom ma bi weretti kom ki a kure kwiyeu, kom ku kui tiya?
22 Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu?
Kom wo ko tokti kom ki kange a mare kayaka, kom ma kayatum tiya? Kom wo kom ko fulen neu, kom ku kui ti bikur wabe ra?
23 Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?
Kom nubo wo ma bilangtum ti kange kungka duwe ki bolangeu, kom ma Kwama nin bangtu ti ki bwini bwanka bolange ka?
24 Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”
La “den Kwama ro fiyabo neka durek nubo kumtacili nin ki ker kumer,” nawo kweri cii mulange.
25 Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.
Nyo biyeka te lareu wiki mwem fiye kom wiye tano kom bwangten bolangko ri, tano kom yilam nobo mani bwangten bolangko tiyeri, biyeka te lau yilam bwini biyeka te larek.
26 Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?
Tano, nii biye bo te la'u bwangten dikero bolangko cwitiye ri, ma ni ba tuu nii biyebo te la ce ti na nii wo biyem te la ka?
27 Ndipo wale ambao hawakutahiriwa kimwili lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi, ambao ingawa mmetahiriwa na kuijua sana sheria ya Mungu iliyoandikwa, lakini mwaivunja.
Nii wo biyebo te la ce bwiyeu, di bwangten bolangeu mani a dolti makimen bolang kom nobo biyem te la ra? Wori kom wiki bolangko mulangum mulangeu kange biyeka te la, di duwal kom bwangten bo bolangko!
28 Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha nje au cha kimwili.
Wori ci kebo Bayahudi kale; kaka nii biyem te laak wo diker bwiyereu.
29 Lakini mtu ni Myahudi alivyo ndani, nayo tohara ya kweli ni jambo la moyoni, ni la Roho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu bali kwa Mungu.
Dila cin Bayahudi mor, nyo tak ri biyeka te laa ceko nawo mor nere, kange yuwa tangbe ri kebo bifumer. Nii wo caklanka ceko mania bou fiye nubo wiye, dila abou fiye Kwama wiye.