< Warumi 16 >

1 Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
A zalecam wam Febę, siostrę naszę, która jest służebnicą zboru Kienchreeńskiego;
2 Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao.
Abyście ją przyjęli w Panu, jako przystoi świętym, i stali przy niej, w którejkolwiek by was rzeczy potrzebowała; albowiem i ona wielom gospody użyczała, aż i mnie samemu.
3 Wasalimuni Prisila na Akila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu.
Pozdrówcie Pryscyllę i Akwilę, pomocniki moje w Chrystusie Jezusie;
4 Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu; wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia makanisa yote ya watu wa Mataifa.
(Którzy za duszę moję swojej własnej szyi nadstawiali; którym nie ja sam dziękuję, ale i wszystkie zbory pogańskie.)
5 Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani mwao. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Epaineto, aliyekuwa mtu wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia.
Także zbór, który jest w domu ich. Pozdrówcie Epeneta miłego mojego, który jest pierwiastkiem Achai do Chrystusa.
6 Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
Pozdrówcie Maryję, która wiele pracowała dla nas.
7 Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.
Pozdrówcie Andronika i Junijasza, krewnych moich i spółwięźni moich, którzy znacznymi są między Apostołami, którzy i przede mną byli w Chrystusie.
8 Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.
Pozdrówcie Amplijasa, miłego mojego w Panu.
9 Msalimuni Urbano, mtendakazi mwenzetu katika Kristo, pamoja na rafiki yangu mpendwa Stakisi.
Pozdrówcie Urbana, pomocnika naszego w Chrystusie i Stachyna mnie miłego.
10 Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha imani yake katika Kristo. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
Pozdrówcie Apellesa doświadczonego w Chrystusie. Pozdrówcie tych, którzy są z domu Arystobulowego.
11 Msalimuni ndugu yangu Herodioni. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Bwana.
Pozdrówcie Herodijona, pokrewnego mojego. Pozdrówcie tych, którzy są z domu Narcyssowego, tych, którzy są w Panu.
12 Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi, mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii katika Bwana.
Pozdrówcie Tryfenę i Tryfosę, które pracują w Panu. Pozdrówcie Persydę miłą, która wiele pracowała w Panu.
13 Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.
Pozdrówcie Rufa, wybranego w Panu i matkę jego, i moję.
14 Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
Pozdrówcie Asynkryta, Flegonta, Hermana, Patrobę, Hermena i braci, którzy są z nimi.
15 Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa na watakatifu wote walio pamoja nao.
Pozdrówcie Filologa i Juliję, Nerego i siostrę jego, i Olimpa, i wszystkich świętych, którzy są z nimi.
16 Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu.
Pozdrówcie jedni drugich z pocałowaniem świętem. Pozdrawiają was zbory Chrystusowe.
17 Ndugu zangu, nawasihi mjihadhari na kujiepusha na wale watu waletao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu dhidi ya mafundisho mliyojifunza.
A proszę was, bracia! abyście upatrywali tych, którzy czynią rozerwania i zgorszenia przeciwko tej nauce, którejście się wy nauczyli; i chrońcie się ich.
18 Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia maneno laini na ya kubembeleza, hupotosha mioyo ya watu wajinga.
Albowiem takowi Panu naszemu Jezusowi Chrystusowi nie służą, ale własnemu brzuchowi swemu, a przez łagodną mowę i pochlebstwo serca prostych zwodzą.
19 Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu.
Bo posłuszeństwo wasze wszystkich doszło. A przetoż raduję się z was; ale chcę, abyście byli mądrymi na dobre, a prostymi na złe.
20 Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.
A Bóg pokoju zetrze szatana pod nogi wasze w rychle. Łaska Pana naszego Jezusa Chrystusa niech będzie z wami. Amen.
21 Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu.
Pozdrawiają was Tymoteusz, pomocnik mój, i Lucyjusz, i Jazon, i Sosypater, pokrewni moi.
22 Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana.
Pozdrawiam was w Panu ja Tercyjusz, którym ten list pisał.
23 Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu. [
Pozdrawia was Gajus, gospodarz mój i wszystkiego zboru. Pozdrawia was Erastus, szafarz miejski, i Kwartus brat.
24 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]
Łaska Pana naszego Jezusa Chrystusa niech będzie z wami wszystkimi. Amen.
25 Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios g166)
A temu, który was może utwierdzić według Ewangielii mojej i opowiadania Jezusa Chrystusa, według objawienia tajemnicy od czasów wiecznych zamilczanej, (aiōnios g166)
26 Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios g166)
Lecz teraz objawionej i przez Pisma prorockie według postanowienia wiecznego Boga ku posłuszeństwu wiary między wszystkimi narody oznajmionej; (aiōnios g166)
27 Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
Temu, samemu mądremu Bogu niech będzie chwała przez Jezusa Chrystusa na wieki. Amen. (aiōn g165)

< Warumi 16 >