< Warumi 16 >
1 Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
Men jeg anbefaler eder Føbe, vor Søster, som er Tjenerinde ved Menigheden i Kenkreæ,
2 Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao.
for at I maa modtage hende i Herren, som det sømmer sig de hellige, og yde hende Bistand, i hvad som helst hun maatte trænge til eder; thi ogsaa hun har været en Hjælperske for mange og for mig selv med.
3 Wasalimuni Prisila na Akila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu.
Hilser Priska og Akvila, mine Medarbejdere i Kristus Jesus,
4 Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu; wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia makanisa yote ya watu wa Mataifa.
som jo for mit Liv have sat deres egen Hals i Vove, hvem ikke alene jeg takker, men ogsaa alle Hedningernes Menigheder;
5 Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani mwao. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Epaineto, aliyekuwa mtu wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia.
og hilser Menigheden i deres Hus! Hilser Epænetus, min elskede, som er Asiens Førstegrøde for Kristus.
6 Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
Hilser Maria, som har arbejdet meget for eder.
7 Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.
Hilser Andronikus og Junias, mine Frænder og mine medfangne, som jo ere navnkundige iblandt Apostlene og tilmed have været i Kristus før mig.
8 Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.
Hilser Ampliatus, min elskede i Herren!
9 Msalimuni Urbano, mtendakazi mwenzetu katika Kristo, pamoja na rafiki yangu mpendwa Stakisi.
Hilser Urbanus, vor Medarbejder i Kristus, og Stakys, min elskede!
10 Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha imani yake katika Kristo. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
Hilser Apelles, den prøvede i Kristus. Hilser dem, som ere af Aristobulus's Hus.
11 Msalimuni ndugu yangu Herodioni. Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Bwana.
Hilser Herodion, min Frænde! Hilser dem af Narkissus's Hus, som ere i Herren.
12 Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana. Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi, mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii katika Bwana.
Hilser Tryfæna og Tryfosa, som arbejde i Herren. Hilser Persis, den elskede, som jo har arbejdet meget i Herren.
13 Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.
Hilser Rufus, den udvalgte i Herren, og hans og min Moder!
14 Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
Hilser Asynkritus, Flegon, Hermes, Patrobas, Hermas og Brødrene hos dem!
15 Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa na watakatifu wote walio pamoja nao.
Hilser Filologus og Julia, Nereus og hans Søster og Olympas og alle de hellige hos dem!
16 Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu.
Hilser hverandre med et helligt Kys! Alle Kristi Menigheder hilse eder!
17 Ndugu zangu, nawasihi mjihadhari na kujiepusha na wale watu waletao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu dhidi ya mafundisho mliyojifunza.
Men jeg formaner eder, Brødre! til at give Agt paa dem, som volde Splittelserne og Forargelserne tvært imod den Lære, som I have lært, og viger bort fra dem!
18 Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia maneno laini na ya kubembeleza, hupotosha mioyo ya watu wajinga.
Thi saadanne tjene ikke vor Herre Kristus, men deres egen Bug, og ved søde Ord og skøn Tale forføre de de troskyldiges Hjerter.
19 Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu.
Eders Lydighed er jo kommen alle for Øre; derfor glæder jeg mig over eder. Men jeg vil, at I skulle være vise med Hensyn til det gode og enfoldige med Hensyn til det onde.
20 Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.
Men Fredens Gud skal hastelig knuse Satan under eders Fødder. Vor Herres Jesu Kristi Naade være med eder!
21 Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu.
Timotheus, min Medarbejder, og Lukius og Jason og Sosipater, mine Frænder, hilse eder.
22 Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana.
Jeg, Tertius, som har nedskrevet dette Brev, hilser eder i Herren.
23 Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu. [
Kajus, min og den hele Menigheds Vært, hilser eder. Erastus, Stadens Rentemester, hilser eder, og Broderen Kvartus. [
24 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]
Vor Herres Jesu Kristi Naade være med eder alle! Amen.]
25 Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios )
Men ham, som kan styrke eder i mit Evangelium og Forkyndelsen af Jesus Kristus, i Overensstemmelse med Aabenbarelse af en Hemmelighed, som var fortiet fra evige Tider, (aiōnios )
26 Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios )
men nu er bragt for Dagen og ved profetiske Skrifter efter den evige Guds Befaling kundgjort for alle Hedningerne til Tros-Lydighed: (aiōnios )
27 Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn )
den ene vise Gud ved Jesus Kristus, ham være Ære i Evigheders Evighed! Amen. (aiōn )